Jesca Kitambaa Cheupe aliacha kazi ya Airhostess ili akajiajiri

Eureka!! Nimejiridhisha Mpwayungu village ana matatizo ya akili!! Mwanamume kufika mahali akatangaza rasmi kutamani angezaliwa mwanamke huyo lazima maisha yamemgonga sana!! Wengi huishia kuwa mashoga!! (simaanishi kuwa mpwayungu ni shoga, akini akiwa hivyo sitashangaa). Mashoga wote wana matatizo ya akili!!
 
Aahaaaaa,
 
Ni kweli kabisa kwa 90%...!
 
Ungenyooka tu na agenda yako ya kuwatukana walimu kenge mwenye madoa wewe.

Maelezo yako tu ni ushuzi mtupu. Et analipwa zaidi ya $3000kl kwa mwezi alafu amefungua Grosari ambayo mtaji haufiki hata sh laki tano. Kwa akili yako yenye ukurutu hapo unaona sawa
 
Mimi kama jirani yake apa alipojenga kasri lake nawaangalia tu mnavyodanganyana by the way kuna mengi sana nje ya izo biashara uchwara mnazoziona.. kwakuwa sipendagi kuongelea maisha ya watu kwa leo naishia apa...kama kuna mtu atajitolea kuwa mwanasheria wangu kunitetea mahakamani sawa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanakula MPAKA 2M? hilo neno MPAKA linaonesha ndiyo hela ya juu wanayokula, kuna mtu anawaza apanueje mradi wake aingize 1M daily then wewe unahemea 2M monthly?
Hayo ni maneno ya kufikirika!! Ni wafanya biashara wangapi TZ wanaingiza 1M kwa siku? Ingekuwa ni hivyo makusanyo ya TRA kwa mwezi yangekuwa ni matrilioni maana wafanya biashara TZ ni wengi sana kuliko wafanyakazi!! Biashara ni ngumu sana!! Unakuta mtu amejaza duka lakini kimahesabu faida halisi kwa siku ni pesa kidogo sana!! Profit margin kwenye biashara halali ni ndogo sana!! Usiangalie mauzo, angalia net profit!! Ukiona wafanyabiashara wanavutana na TRA ni ushahidi tosha kuwa faida ni ndogo sana!!.
 
Labda yeye ndo hana nguvu za kike!! Anaona kero tu maana hakuna anachosikia!!
Ki ben ten kimekabidhiwa BMW kitembelee faaa masihala nini..alafu jamaa alikuwa mpiga picha wake tu kaulaaa kiulainiiiiii na mtoto kamzalisha na dini kambadilisha jamaa akipita mtaani na BMW yake kila mtu anamuangalia watu wanajiuliza jamaa ametumia ndagu gani [emoji3][emoji3]
 
Kuna Demu Mmoja hapa mtaani ana grocery yake yankawaida tu.

Ni Demu kisuuuu sura umbo matako n.k.


Kwa Sasa anajemga nyumba Kwa Pesa za malofa wanaomtomba Kwa kumununuaa.


Na alivyo Dem mjanja, mpaka akupe K, anakua KESHAJUAA lazima akupukutishe kuanzia 200K .


Nampa Hongera Kwa sababu, tofauti na madem vichwa maji, yeye kaamua kutumia Papuchi kujenga !!.

Na anakuambia,,Nyumba ikiisha tu, natafuta Pesa ya mtaji, nawachana nao wote.
 
You Nailed it brother! Upo sahihi ndo maana nampongeza sana huyo dada amekwenda extra miles.! Ukichukulia kuna baadhi ya madada/watu maarufu wameangukia pua na ni Pini kweli kweli kuliko huyo dada walishikwa wakashindwa.
Huyo dada nampa big up sana.Sio rahisi kama watu wanavofikiria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…