Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
-
- #401
Tutabaki hivyo hivyoAkili za kuambiwa changanya na zako hawa wanawake wenye mafanikio historia yao huwa CD imescratch sehemu hata alikuwa na sponsor hiyo hata ingiza mtoto mzuri kama huyu uniambie hata laki tano alianza nayo kama mtaji ntabisha hadi Yesu arudi
Pole sana mwalimu wa darasa la pili FFikiria kazi nzuri ya kuwa mhudumu wa ndege za Fastjet lakini huyu Dada akaona anapoteza muda kwani hatatajirika kwa kuajiriwa ikabidi akafungua glocery akaweka vinywaji hata vya laki tano havifiki.
Baada ya miaka mitano akaanza kukua kibiashara mwisho wa siku bar za kitambaa cheupe zinatikisa Dar nzima.
Inahitaji commitment na dedication kuacha kazi unayolipwa zaidi ya $3000 Kwa mwezi ukaenda kufungua kigrocery ukiwa na ndoto ipo siku itakuwa bar kubwa.
Lakini akili za walimu ukiwaambia vitu kama hivi wanaishia kudondosha udenda tu ila kufanya maamuzi kama haya hawawezi. Walimu mtabaki makapuku mpaka kaburini, mnaona hiyo kazi ni alpha na omega, mimi bora nikaendeshe guta sokoni.
View attachment 2708851
Nakazia ujumbe mkuuUnasemaje kuhusu wafanyakazi waliokopa Benji hela ndefu na kuingiza kwenye biashara Kisha zikafeli na wakayumba Sana
Unasemaje kuhusu watu walioacha kazi wakaingia kwenye biashara Kisha biashara zikafeli na wakatamani warudi kwenye kazi na ikashindikana kabisa??
Maisha hayana formula, acha kila mmoja apambane kwa namna inavyompendeza
Watu wanapambana ila hawatoboi
Sio kila aliye maskini hafanyi kazi kwa bidii
Sio kila aliyefanikiwa amefanya kazi bidii.
USiamini kila neno la hawa watu waliofanikiwa. Kunasiri nzito msizozijua.Fikiria kazi nzuri ya kuwa mhudumu wa ndege za Fastjet lakini huyu Dada akaona anapoteza muda kwani hatatajirika kwa kuajiriwa ikabidi akafungua glocery akaweka vinywaji hata vya laki tano havifiki.
Baada ya miaka mitano akaanza kukua kibiashara mwisho wa siku bar za kitambaa cheupe zinatikisa Dar nzima.
Inahitaji commitment na dedication kuacha kazi unayolipwa zaidi ya $3000 Kwa mwezi ukaenda kufungua kigrocery ukiwa na ndoto ipo siku itakuwa bar kubwa.
Lakini akili za walimu ukiwaambia vitu kama hivi wanaishia kudondosha udenda tu ila kufanya maamuzi kama haya hawawezi. Walimu mtabaki makapuku mpaka kaburini, mnaona hiyo kazi ni alpha na omega, mimi bora nikaendeshe guta sokoni.
View attachment 2708851
Nimeona usaili wake kasema alikuwa akilipwa 1.1m kwa mwezi na hakuacha kazi bali shirika alilofanyia kazi lilikufa, pia baa yake ya kwanza kufungua mtaji ulikua 5m ila alifeli baadae akajipanga upya ndio akatoboaAir hostess Gani anaelipwa Dola 3000
Sasa jamaa anatuongopea hapa famba sana mpwayunguNimeona usaili wake kasema alikuwa akilipwa 1.1m kwa mwezi na hakuacha kazi bali shirika alilofanyia kazi lilikufa, pia baa yake ya kwanza kufungua mtaji ulikua 5m ila alifeli baadae akajipanga upya ndio akatoboa
Walimu wanahitaji kushauriwa ahsee
inspekta huyu aka babuuuuu 😄🤣 Hahahah hio kweli ndagu kmmmk. Unaambiwa mapenzi hayachagu,tawala, fukara, dini, kabila, desturi, mila!
Usiamini story za wanawake wa mjini kuna mengi nyuma ya paziaFikiria kazi nzuri ya kuwa mhudumu wa ndege za Fastjet lakini huyu Dada akaona anapoteza muda kwani hatatajirika kwa kuajiriwa ikabidi akafungua glocery akaweka vinywaji hata vya laki tano havifiki.
Baada ya miaka mitano akaanza kukua kibiashara mwisho wa siku bar za kitambaa cheupe zinatikisa Dar nzima.
Inahitaji commitment na dedication kuacha kazi unayolipwa zaidi ya $3000 Kwa mwezi ukaenda kufungua kigrocery ukiwa na ndoto ipo siku itakuwa bar kubwa.
Lakini akili za walimu ukiwaambia vitu kama hivi wanaishia kudondosha udenda tu ila kufanya maamuzi kama haya hawawezi. Walimu mtabaki makapuku mpaka kaburini, mnaona hiyo kazi ni alpha na omega, mimi bora nikaendeshe guta sokoni.
View attachment 2708851
Tafadhali sana uwongo huo muache.kuacha kazi unayolipwa zaidi ya $3000
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Ni wakati Sasa wakukaa na walimu meza Moja myamalize
Tuache wanyaki hatutaki uchokozi.Kuhusu Mpwayungu Village nimeandika kwenye mabano kuwa nimemtania.
Kuhusu Kikuyu na Mchaga...kuwafananisha na Waisrael.
Israel ni watafutaji sana wa pesa, wanatumia mbinu nyingi.
Ukimleta Mwisrael hapa Tanzania aje tu na bag lake bila mtaji, atakushangaza baada ya miaka mitano, atakuuzia akili, maarifa namna ya kulima kisasa au kubuni chochote.
Mchaga kwenye pesa sio mtaji pekee.
Kinywa/mdomo wa mchaga unaweza kugeuka mtaji
Wewe mwajiri kufanya lolote yaani mbele ya pesa ni mnyenyekevu sana yuko tayari kumuosha boss miguu tena kiroho safi maadamu tu pesa ni uhakika.
Ndio maana anafanikiwa.
Je..kijana wa KINYAKYUSA anaweza kujishuklsha kiasi hicho?