Ila uwoya hachuji huenda anatumia na uchawiWasioweza walioweza wote ni wale wale tu kitega uchumi chao ni kinajulikana, so hatuwezi kuwatumia kama mtoa mada anavyotaka kutuaminisha ni 'inspirational figure' no not for my daughter
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila uwoya hachuji huenda anatumia na uchawiWasioweza walioweza wote ni wale wale tu kitega uchumi chao ni kinajulikana, so hatuwezi kuwatumia kama mtoa mada anavyotaka kutuaminisha ni 'inspirational figure' no not for my daughter
Unajua huniwezi unalazimisha vita tu😂😂[emoji23][emoji125]
Wasioweza walioweza wote ni wale wale tu kitega uchumi chao ni kinajulikana, so hatuwezi kuwatumia kama mtoa mada anavyotaka kutuaminisha ni 'inspirational figure' no not for my daughterMbona Uwoya na Wema Wana na ma-sponsor Ila biashara hawawez?
Laiti ungejua maagano behind b**chz used pu*ssiezKipochi hakichuji Ni wewe kujisafisha tu aingie mwingine
Fastjet ulipwe $3000 kweli wewe na deo kisandu akili zenu sawaFikiria kazi nzuri ya kuwa mhudumu wa ndege za Fastjet lakini huyu Dada akaona anapoteza muda kwani hatatajirika kwa kuajiriwa ikabidi akafungua glocery akaweka vinywaji hata vya laki tano havifiki.
Baada ya miaka mitano akaanza kukua kibiashara mwisho wa siku bar za kitambaa cheupe zinatikisa Dar nzima.
Inahitaji commitment na dedication kuacha kazi unayolipwa zaidi ya $3000 Kwa mwezi ukaenda kufungua kigrocery ukiwa na ndoto ipo siku itakuwa bar kubwa.
Lakini akili za walimu ukiwaambia vitu kama hivi wanaishia kudondosha udenda tu ila kufanya maamuzi kama haya hawawezi. Walimu mtabaki makapuku mpaka kaburini, mnaona hiyo kazi ni alpha na omega, mimi bora nikaendeshe guta sokoni.
View attachment 2708851
KATIKA post yako moja unatamani kuwa mwanamke anyways nimejua naongea na mtu wa capacity ganiTutabaki hivyo hivyo
we kweli kiazi si ndio ulipost utopolo huuTutabaki hivyo hivyo
Naam mwanamke njia za maumbile yake ni kupokea🙃🙂😊🥰😛🤩Kama wewe ni mwanaume acha kabisa kutamani mafanikio ya wanawake, wameumbwa kupokea!
Hiyo rangi sio mkorogo kweli maana baba ake ni mweusi tii!Anabebwa na rangi yapo mastaafu mengi yanapesa za kuchezea mjini yakionyeshwa shanga tu