Jesca Magufuli amemtembelea Odinga ili kumtakia heri katika uchaguzi wa Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika (AUC)

Jesca Magufuli amemtembelea Odinga ili kumtakia heri katika uchaguzi wa Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika (AUC)

Hivi umesoma hiyo habari kwa undani ukaielewa?sidhani kama kila thread kulalamika namna hii itasaidia uwezo wa kushindana na Serikali hauwezi so ni bora kila mtu apambane na life tupate ugali wa wanaotutegemea maisha yaendelee na mleta thread English imemuacha mbali sana alichokiandika na habari yenyewe iliyo ndani ni Mbingu na Ardhi
Jesca ilitakiwa arithi mikoba ya baba yake ili kuendeleza uzalendo wa baba yake Kwa kuwa mtoto wa nyoka ni nyoka.Naamini tusingekuwa na mamikopo ya ajabuajabu kama alivyosema mzalendo ndugai we have ninety eight trillion of debt under tyrant regime of lice mother.its not fair.
 
Jesca ilitakiwa arithi mikoba ya baba yake ili kuendeleza uzalendo wa baba yake Kwa kuwa mtoto wa nyoka ni nyoka.Naamini tusingekuwa na mamikopo ya ajabuajabu kama alivyosema mzalendo ndugai we have ninety eight trillion of debt under tyrant regime of lice mother.its not fair.
Mikopo ndio chanzo kikuu cha maendeleo ya mtu au kitu chochote duniani
 
🤣🤣🤣🤣 vile uliniwahi🤣🤣🤣🤣
bin vu ukagekluka kuwa borned leader😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yethu😅
😂😂😂 Nimekuwahiii vipiii mkuuu? Hahahaha

Bwana weee! Njia za Mungu hazichunguziki, since Mungu NDIYE Muumbaji wa Duniani na wanadamu wote!

Anaweza kuufanya moyo janie kukupenda na ukamuoa na kusaidiana nae katika kutimiza kusudi la Mungu.

😂
 
😂😂😂 Nimekuwahiii vipiii mkuuu? Hahahaha

Bwana weee! Njia za Mungu hazichunguziki, since Mungu NDIYE Muumbaji wa Duniani na wanadamu wote!

Anaweza kuufanya moyo janie kukupenda na ukamuoa na kusaidiana nae katika kutimiza kusudi la Mungu.

😂
😅 Amina kaka. Utamuwowa lakini?
 
😅 Amina kaka. Utamuwowa lakini?
Ndioooo kaka! Ukimuona mwambie I lavuu haaaa

Nitamfanya awe mwenye furaha na amani nyingiii! Maana pendo la kumpa ninalo maana Roho wa Mungu amemimina pendo la kutosha moyoni mwangu, kwa ajili yake 😂
 
Sasa rasmi familia ya JPM itadhibiti siasa za Geita na Chato View attachment 3230723kwa miaka kadhaa ijayo. Nguli wa siasa za Afrika Mashariki kaweka mkono wake.
Watoto wa viongozi hujikuta katika siasa kwa sababu mbalimbali:

•Ni kwa sababu wanakulia katika mazingira ya siasa hivyo hujikuta wakiitamani siasa mana heka heka na stori za ngumbani ni siasa tu!

• Wazazi huwatengenezea mazingira watoto wao kwa sababu huko ndiko kuna malisho mazuri. Wazazi hutaka kuacha legacy ya ukoo wao
 
Ndioooo kaka! Ukimuona mwambie I lavuu haaaa

Nitamfanya awe mwenye furaha na amani nyingiii! Maana pendo la kumpa ninalo maana Roho wa Mungu amemimina pendo la kutosha moyoni mwangu, kwa ajili yake 😂

Amemimina😂😂😂😂😂😂 utabubujikwa na chozi ukisikia Lucas ametwaa malikia manake na yy huwa wa kumiminia😂😂🤣🤣🥲
 
Sasa rasmi familia ya JPM itadhibiti siasa za Geita na Chato View attachment 3230723kwa miaka kadhaa ijayo. Nguli wa siasa za Afrika Mashariki kaweka mkono wake.
Mama anamuandaa aampe japo Wilaya moja,Mama Samia anamkubali sana Jessica Magufuli, niliona lile tabasamu la Mama siku ya Ufunguzi wa SGR alipomuona Jessica ndani ya SGR, wakasalimiana kwa furahaa sana!!
 
Back
Top Bottom