Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
HahahahaBorned? Hiki kiingereza cha wapi mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaBorned? Hiki kiingereza cha wapi mkuu?
Labda awe mbunge wa county ya narockSasa rasmi familia ya JPM itadhibiti siasa za Geita na Chato View attachment 3230723kwa miaka kadhaa ijayo. Nguli wa siasa za Afrika Mashariki kaweka mkono wake.
hivi jesica bado hajapewa mikono ya udokita maana hamuchelewagiJessica hatimaye.
Yule kilazaNduo yule mwenye Div zero fofo ?
Huyu sio ndio yule alizungusha 0 kwenye mtihani wa taifa.Sasa rasmi familia ya JPM itadhibiti siasa za Geita na Chato View attachment 3230723kwa miaka kadhaa ijayo. Nguli wa siasa za Afrika Mashariki kaweka mkono wake.
Mbona contents zinaonesha tofauti?Sasa rasmi familia ya JPM itadhibiti siasa za Geita na Chato View attachment 3230723kwa miaka kadhaa ijayo. Nguli wa siasa za Afrika Mashariki kaweka mkono wake.
Magufuli hakuwa mzalendo. Kwa % kubwa aliongea mengine huku akitenda mengine ya tofauti. Wajinga na wasiomfahamu vizuri ndo aliwakamata vichwa!Jesca ilitakiwa arithi mikoba ya baba yake ili kuendeleza uzalendo wa baba yake Kwa kuwa mtoto wa nyoka ni nyoka.Naamini tusingekuwa na mamikopo ya ajabuajabu kama alivyosema mzalendo ndugai we have ninety eight trillion of debt under tyrant regime of lice mother.its not fair.
Huyo ndio wanasema alikuwa kilaza kule udom au sio huyoSasa rasmi familia ya JPM itadhibiti siasa za Geita na Chato View attachment 3230723kwa miaka kadhaa ijayo. Nguli wa siasa za Afrika Mashariki kaweka mkono wake.
Yesu Kristu sio mine wa mtu yeyote.Na wewe pia ni mke wa Yesu?
Kwa hiyo msukuma, kibajaji, babu tale et al., wao wana uwezo gani kielimu?Jesca uwezo wake wa kielimu uko chini sana, jamani ubunge sio nafasi ya kusomba watu tu sbb ya jina la mzazi wako, lazima uwe na uwezo, ni nafasi nyeti sana kuwakilisha wananchi bungeni.
Yule Mwarabu koko, mwenye uraia wa Iran na Mmiliki wa nchi ya Tanzania Rostam Aziz alijua jambo hilo ?Jesca Shujaa Magufuli awe Waziri Mkuu
Raila Odinga ni mwenyeji wa Chato🐼Kichwa Cha habari Cha jielezea
Ni myukano kati ya Rwaikondo katware na JESCA JOHN MTAKATIFU JOSEPH POMBE MAGUFULI WA CHATO.
Kinachonishangaza ni mtoto wa mtakatifu kufata baraka za kuwa mbunge Kenya kwa Mzee raila odinga yaani kweli chato hakuna wazee wa baraka mpaka aende kwa. Kenya kwa raila odinga?
Chato aisee is a cursed jimbo, hatakiwi mtu mwenye akili/uzalendo atokee tena. Ila mi nawaambia wana CCM wenzangu kuwa, zipo siasa zinakuja siyo za network ya TISS bali ni umefanya nini kwa wananchi? Na hapo ndipo hakuna kujuana.Kichwa Cha habari Cha jielezea
Ni myukano kati ya Rwaikondo katware na JESCA JOHN MTAKATIFU JOSEPH POMBE MAGUFULI WA CHATO.
Kinachonishangaza ni mtoto wa mtakatifu kufata baraka za kuwa mbunge Kenya kwa Mzee raila odinga yaani kweli chato hakuna wazee wa baraka mpaka aende kwa. Kenya kwa raila odinga?
Haijaondoa uzuri wake wala kuondoa kuwa ni mtoto wa Rais.
Unatuambia hayo ili iweje?
Tunamupenda hatuangalii form wala shule.
Weka picha ya girlfriend wako tumuone☺️😜
makutupora njoo huku, washaanza siasa za majitaka.