Jesca Magufuli amemtembelea Odinga ili kumtakia heri katika uchaguzi wa Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika (AUC)

Jesca Magufuli amemtembelea Odinga ili kumtakia heri katika uchaguzi wa Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika (AUC)

Jesca uwezo wake wa kielimu uko chini sana, jamani ubunge sio nafasi ya kusomba watu tu sbb ya jina la mzazi wako, lazima uwe na uwezo, ni nafasi nyeti sana kuwakilisha wananchi bungeni.
 
Jesca ilitakiwa arithi mikoba ya baba yake ili kuendeleza uzalendo wa baba yake Kwa kuwa mtoto wa nyoka ni nyoka.Naamini tusingekuwa na mamikopo ya ajabuajabu kama alivyosema mzalendo ndugai we have ninety eight trillion of debt under tyrant regime of lice mother.its not fair.
Magufuli hakuwa mzalendo. Kwa % kubwa aliongea mengine huku akitenda mengine ya tofauti. Wajinga na wasiomfahamu vizuri ndo aliwakamata vichwa!

Ukirejea kwa huyo Jesca, kwa tunaomfahamu vizuri watu wqnajipigiaga tu huku akisuburi mbeleko!
 
Na wewe pia ni mke wa Yesu?
Yesu Kristu sio mine wa mtu yeyote.
Ila kwa sababu za haraka haraka mtu anatafuta mfano wa kulinganisha uhusiano wa Kanisa na Yesu,anasema Yesu ni mume wa Kanisa.
Lakini ungeweza kusema Yesu ni mwalimu na Kanisa ni mwanafunzi.
Au Yesu ni Jemedari na Kanisa ni foot soldiers.
 
Jesca uwezo wake wa kielimu uko chini sana, jamani ubunge sio nafasi ya kusomba watu tu sbb ya jina la mzazi wako, lazima uwe na uwezo, ni nafasi nyeti sana kuwakilisha wananchi bungeni.
Kwa hiyo msukuma, kibajaji, babu tale et al., wao wana uwezo gani kielimu?
 
Kichwa Cha habari Cha jielezea
Ni myukano kati ya Rwaikondo katware na JESCA JOHN MTAKATIFU JOSEPH POMBE MAGUFULI WA CHATO.

Kinachonishangaza ni mtoto wa mtakatifu kufata baraka za kuwa mbunge Kenya kwa Mzee raila odinga yaani kweli chato hakuna wazee wa baraka mpaka aende kwa. Kenya kwa raila odinga?
 
Kichwa Cha habari Cha jielezea
Ni myukano kati ya Rwaikondo katware na JESCA JOHN MTAKATIFU JOSEPH POMBE MAGUFULI WA CHATO.

Kinachonishangaza ni mtoto wa mtakatifu kufata baraka za kuwa mbunge Kenya kwa Mzee raila odinga yaani kweli chato hakuna wazee wa baraka mpaka aende kwa. Kenya kwa raila odinga?
Raila Odinga ni mwenyeji wa Chato🐼
 
Kichwa Cha habari Cha jielezea
Ni myukano kati ya Rwaikondo katware na JESCA JOHN MTAKATIFU JOSEPH POMBE MAGUFULI WA CHATO.

Kinachonishangaza ni mtoto wa mtakatifu kufata baraka za kuwa mbunge Kenya kwa Mzee raila odinga yaani kweli chato hakuna wazee wa baraka mpaka aende kwa. Kenya kwa raila odinga?
Chato aisee is a cursed jimbo, hatakiwi mtu mwenye akili/uzalendo atokee tena. Ila mi nawaambia wana CCM wenzangu kuwa, zipo siasa zinakuja siyo za network ya TISS bali ni umefanya nini kwa wananchi? Na hapo ndipo hakuna kujuana.
 
IMG_5258.jpeg
IMG_5259.jpeg
IMG_5257.jpeg
 
Haijaondoa uzuri wake wala kuondoa kuwa ni mtoto wa Rais.

Unatuambia hayo ili iweje?

Tunamupenda hatuangalii form wala shule.

Weka picha ya girlfriend wako tumuone☺️😜

makutupora njoo huku, washaanza siasa za majitaka.

Watu bhana .... Eeeeeeeh alifeli form four ndo Nini sasa? So what

Sisi tunampenda ivo ivooooo

Mtoto wa kiume ana wivu na janeti wetuuuuu 😂
 
Back
Top Bottom