Jeshi Israel lamnasa kamanda Hezbollah alijificha handakini chini ardhini lenye silaha na mahitaji muhimu, apelekwa Israel kuhojiwa

Kwanza hapo alipo anajilaumu na kuwalaumu waliomshika ni kwa nini hawajamuuwa ili shauku yake ya kula mabikra huko akhera itimie 🀣🀣🀣
Anafika akhera anashangaa kumbe bikira mwenyewe ndie yeye
 
Kumbe Beirut kusini iko mpakani?.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Ona huyu jamaa.
Beirut iko Central Lebanon mpakani mwa Lebanon na Israel ni Kusini viunga vya Jubeir na maeneo mengine.
Hata ramani huijui unaropokwa.
 
Propaganda as usual.
Hakuna kitu Israel wanaweza ila ni kuzusha tu wawape matumaini raia wao.
Sasa sijui habari za uongo zitawasaidia nini na kuwapeleka wapi!??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…