Jeshi Israel lamnasa kamanda Hezbollah alijificha handakini chini ardhini lenye silaha na mahitaji muhimu, apelekwa Israel kuhojiwa

Jeshi Israel lamnasa kamanda Hezbollah alijificha handakini chini ardhini lenye silaha na mahitaji muhimu, apelekwa Israel kuhojiwa

Attachments

  • Screenshot_2024-10-13-09-10-52-764.jpg
    Screenshot_2024-10-13-09-10-52-764.jpg
    435.6 KB · Views: 2
  • Screenshot_2024-10-13-13-50-31-188.jpg
    Screenshot_2024-10-13-13-50-31-188.jpg
    389.7 KB · Views: 2
  • Screenshot_2024-10-13-09-55-35-169.jpg
    Screenshot_2024-10-13-09-55-35-169.jpg
    396.7 KB · Views: 2
Kumbe Beirut kusini iko mpakani?.
😂😂😂😂😂😂Ona huyu jamaa.
Beirut iko Central Lebanon mpakani mwa Lebanon na Israel ni Kusini viunga vya Jubeir na maeneo mengine.
Hata ramani huijui unaropokwa.
 
Propaganda as usual.
Hakuna kitu Israel wanaweza ila ni kuzusha tu wawape matumaini raia wao.
Sasa sijui habari za uongo zitawasaidia nini na kuwapeleka wapi!??
 
Back
Top Bottom