Jeshi la Congo na Burundi yaanzisha mashumbulizi jijini Goma dhidi ya M23.

Dogo tutolee hapa hizi stori za kwenye gahawa na tangawizi.Njoo na facts acha mbwembwe.
 
Huko pamoto sana..mimi naona kinachoendelea ni vita ya wahutu na watusu nothing more tuwe makini sana tusije kuunga upande wowote ule acheni wamalizane wenyewe huko..
Sisi kama wazee wao hatutakiwi kukaa kimya mtoto miyeyusho lazima akandwe
 
Rwanda izuiwe kuanzisha vita vya kikanda.
 
kwa akili ndogo na za hovyo zilizojaa ukabila kama wewe na Congolese, I hope M23 washinde vita
Tuache unafiki, Mmatusi hachangamaniki na binadamu mwingine yeyote hapa duniani.., they are too full of themselves, wabaki Rwanda kwa amani. Wasivamie nchi zingine.., kipindi kile waliitwa coakroaches, and rightly so, ona wanavyomiminika kwa ukorofi kwenye nchi ya watu, kama mende toka chooni, warudi chooni kwao!
 
DRC, Tanzania na Burundi hazipo EAC? We unavyoina hawa watakuwa upande wa Rwanda?
Ngoja na Burundi zianze ethnic wars kwasababu Burundi ni Bomu linaloenda kupasuka Burundi pia kuna mgogoro uliopoa wa Hutu na Tutsi itakayoathirika ni Tanzania kwa sababu ya Maelfu ya Wakimbizi watavuka mpaka.

Mimi nawashauri Wanasiasa waache kuuchochea huu mgogoro tena nawaomba sana🙏🏼
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…