Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 3,504
- 6,809
Kwahiyo EAC uliokuwa unazungumzia kupigana na SADC ni ipi? Rwanda ndio EAC?Ngoja na Burundi zianze ethnic wars kwasababu Burundi ni Bomu linaloenda kupasuka Burundi pia kuna mgogoro uliopoa wa Hutu na Tutsi itakayoathirika ni Tanzania kwa sababu ya Maelfu ya Wakimbizi watavuka mpaka.
Mimi nawashauri Wanasiasa waache kuuchochea huu mgogoro tena nawaomba sana🙏🏼
Akili kama hizi ndio zilianzisha genocide na sasa Congolese, ukabila and ignorance ni sumuTuache unafiki, Mmatusi hachangamaniki na binadamu mwingine yeyote hapa duniani.., they are too full of themselves, wabaki Rwanda kwa amani. Wasivamie nchi zingine.., kipindi kile waliitwa coakroaches, and rightly so, ona wanavyomiminika kwa ukorofi kwenye nchi ya watu, kama mende toka chooni, warudi chooni kwao!
Rwanda bila kuwekewa shinikizo la kiuchumi na wakubwa hii vita ya kikanda itaibuka.Kua suluhu inafanyiwa kazi, ikiwa tayari wote mtashangaa
Kama EAC force inafukuzwa na Tishekedi kama Mbwa basi hii Jumuiya ni kama Baraza la HarusiKwahiyo EAC uliokuwa unazungumzia kupigana na SADC ni ipi? Rwanda ndio EAC?
Kwenye vita vya aina hii hakuna yeyote atakeyetoboa, watakaoumia ni raia tu.Uganda Tangu juzi wamepeleka majeshi mipakani na Congo. Lakini nachojua hata uganda akiingia ilimradi Tz, SA, Malawi, Burundi na hata Zimbabwe wanasaport Serikali ya Congo, na hata jumuia ya kimataifa inawaomba Rwanda watoe majeshi yake Congo, basi amini Rwanda, Uganda hawatoboi.
Suluhisho ni kumtoa PK tu ,hii kazi ili zembeaRwanda bila kuwekewa shinikizo la kiuchumi na wakubwa hii vita ya kikanda itaibuka.
Hili litaleta maafa zaidi, Bora watafute njia nyingine ya kumaliza vitaSuluhisho ni kumtoa PK tu ,hii kazi ili zembea
Dunia inatembea kwa speed ya Kimbunga!!! Acha kabisa!!!Yaani dunia hakuna kupoa, kuisha Kwa mashariki ya kati ni kuanza Kwa Africa
Haya maafa ya Sasa sio maafa ?Hili litaleta maafa zaidi, Bora watafute njia nyingine ya kumaliza vita
unasahau kuwa wew ni mhutu , au unahis kuna kabila linaitwa wahutuHuko pamoto sana..mimi naona kinachoendelea ni vita ya wahutu na watusu nothing more tuwe makini sana tusije kuunga upande wowote ule acheni wamalizane wenyewe huko..
Ideology yake ndio inaleta matatizo haya, Sasa ondoa mbeba maonoHili litaleta maafa zaidi, Bora watafute njia nyingine ya kumaliza vita
Ni maafa ila hayo ya kutumia mabavu yataleta athari mbaya zaidi kuliko sasa.Haya maafa ya Sasa sio maafa ?
(Kama ni kweli)Tanzania itafaidika nini kutapanya pesa za walipa kodi huko Burundi??Kwa wale msiojua, jeshi la Burundi limepewa msaada wa vifaa na kivita na Tanzania, hii ni brainchild ya JK baada ya kuingizwa mchezoni..
Yeah! Regime change ikitokea Kigali, Drc mashariki itapumua ila kutumia mabavu kufanikisha hilo ni balaaIdeology yake ndio inaleta matatizo haya, Sasa ondoa mbeba maono
Hahahaha,unajua maamuzi magumu ? Kumbe hamtaki suluhisho la east CongoNi maafa ila hayo ya kutumia mabavu yataleta athari mbaya zaidi kuliko sasa.
Kila mtu anatamani Drc amani irejee...Hahahaha,unajua maamuzi magumu ? Kumbe hamtaki suluhisho la east Congo
hahahaha aiseYeah! Regime change ikitokea Kigali, Drc mashariki itapumua ila kutumia mabavu kufanikisha hilo ni balaa