Jeshi la Iran wameonya US baada ya kupokea vifaa vya mapambano vya majini zaidi ya 100

Kama umeelewa vyema nilichosema usingeniuliza swali hilo.

Ni dhahiri na ni wazi kwamba hujanielewa ndiyo maana unarudia kitu kilekile.

Zaidi, ni vyema ukapata kufahamu matumizi sahihi ya maneno 'host' na 'hosting'.
Na wale wanajeshi waliopata mtindio wa ubongo kutokana na shambulio hilo ni wa nchi gani?
@FRANC THE GREAT mjibu jamaa hapa pengne anaweza akawa kakuelewa kuliko mimi MKUU.....
 
Unaongelea mambo rahisi sana MKUU aliuwawa aliuwawa na serikali husika?!

Kama hana silaha zakushambulia mbali unahisi angepiga Kambi za US pale IRAQ

Unahisi angeshambulia pale SYRIA ana makombora yanayofika mpaka UGIRIKI unataka umbali upi ?!

Unataka sababu gani IRAN wazipate ili wapigwe na US unahisi kupiga kambi sio sababu ?!

Unadhani kuteka Meli ya UK sio sababu ?!

Unadhani kufadhili magaidi wanao dai wali sababisha 9/11 sio sababu ?

Kufadhili magaidi IRAQ walivamia ubaloz wa IRAQ kudhamini magaidi waliopenya mifumo yaulinzi wa US pale SAUDI ARABIA kudhamini Magaidi wa HAMAS kudhamini magaidi wa HIZBULLAH hizi zote hazijawa sababu MKUU ?!

Wakati IRAQ walimtoa madarakani kwasababu ipi ?!

Unatakiwa uelewe IRAN majeshi yao yote yanatambulika kama nimajeshi ya KIGAIDI na US

Sababu ama kipi akikifanya IRAN ndio kwako utakitafsriri kama jamaa ka CROSS RED LINE ?!
 
Mwambie Nchi yake ijaribu Kama hivyo vitu vidogo , hamna Nchi hata 1 kati ya nchi za ulaya zinazoweza kufanya alichokifanya Irani shenziiiii
 
Teh teh teh eti baada ya General wa Iraq kuwashtua,mbona hakuwashtua Iran wakati General wao alipouawa ndani ya Iraq?
 
Hayo makombora ya siri yalijaribiwa uvunguvu mwa kitanda cha Ayatollah?
 
Teh teh teh eti baada ya General wa Iraq kuwashtua,mbona hakuwashtua Iran wakati General wao alipouawa ndani ya Iraq?
Mishen ilifanywa nanani ?!
Wakati US walipo dai kumuua OSAMA pale afghanistan unakumbuka serikali ya AFGHANISTAN walisema nini kuhusiana nalile shambulio lililosemekana limeondoka na OSAMA!?
 
Hiyo inaitwa Shock and Awe
 
Mishen ilifanywa nanani ?!
Wakati US walipo dai kumuua OSAMA pale afghanistan unakumbuka serikali ya AFGHANISTAN walisema nini kuhusiana nalile shambulio lililosemekana limeondoka na OSAMA!?
Kumbe Osama aliuliwa Afghanistan,nilikuwa sijui hili.
 
Majeshi ya ugaidi na kiongozi wao kauwawa. Huyu hapa akiwa na chaja sijui ya Tecno.
 
Majeshi ya ugaidi na kiongozi wao kauwawa. Huyu hapa akiwa na chaja sijui ya Tecno.View attachment 1468973View attachment 1468974View attachment 1468975
sasa anakua target na anauwawa akiwa Nje ya IRAN [emoji23][emoji23]

akiwa ndani ya IRAN anakua malaika ?!

Kwanini wasinge mfata huko huko IRAN wakamtwanga ?!

Mpaka wamvizie huko uhamishoni !?

Wanatofauti gani na Alshabab wanaouwa kwakuvizia wakat wanajua mtu anakaa wapi na anapatikanika wapi[emoji23]

Baada ya hilo tukio walichokipata wanakikumbuka vyema sana.....
 
Mkuu unachopaswa kufahamu silaha haipimwi uwezo wake kwa kuangalia ukubwa, nimekuambia hizo boats za Iran zinateka hilo li carrier ambapo nimekuambia hio ni air base iliyoko majini, hizo boats zipo very very fast na uwezo wake unatisha.

Labda nikuambie kitu kimoja, kuna silaha moja inaitwa Stinger mfano FIM-92 Stinger hio ni Portable air defense system ya kimarekani, hio ni portable na inawekwa begani tu but inapiga airbus 380 na hakuna abiria anabaki kama ndege imebeba abiria 300 ujue wameisha. hio hio stinger ya kubeba begani inapiga hata yale madege ya kirusi ya kivita kama Kamov Ka vizuri tu bila shida.

stinger

Unaifahamu Javelin? hio ni portable pia, ni ya kuweka begani tu, but ni anti tanker mzee, inatungua kifaru huwezi kuamini, minyororo inakaa kulia, engine kushoto, sasa endele kudharau silaha kisa unaizidi urefu, ndio silaha utaizidi urefu, utaizidi uzito, utaibeba but inapotumiwa itakuzidi kila kitu πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ .

javelin


Hizo boats zina piga rockets, zina vifaa vya kisasa na radar, pia zina uwezo mkubwa wa kuhimili bahari iliyo chafuka, sasa endelea kujidanganya, wanazo boats zaidi ya 1500, thats why unaona USA ina tengeneza laser weapon kuangamiza boats hizo but range ya laser ni fupi (2km) wakati hizo boats zina rocket launcher na heavy machine gun, so what do you expect mzee? Endelea kusema unazizidi urefu.

Seraj-1.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…