Jeshi la Iran wameonya US baada ya kupokea vifaa vya mapambano vya majini zaidi ya 100

Jeshi la Iran wameonya US baada ya kupokea vifaa vya mapambano vya majini zaidi ya 100

Kama umeelewa vyema nilichosema usingeniuliza swali hilo.

Ni dhahiri na ni wazi kwamba hujanielewa ndiyo maana unarudia kitu kilekile.

Zaidi, ni vyema ukapata kufahamu matumizi sahihi ya maneno 'host' na 'hosting'.
Na wale wanajeshi waliopata mtindio wa ubongo kutokana na shambulio hilo ni wa nchi gani?
@FRANC THE GREAT mjibu jamaa hapa pengne anaweza akawa kakuelewa kuliko mimi MKUU.....
 
Kuteka balozi ndo silaha? Kwahiyo US akiwa anapiga Iran, Iran itakuwa inaenda nchi kadhaa kuteka mabalozi wa US. Iran hana silaha za kushambulia mbali, anazo za kuwa hangaisha majirani na kambi sa karibu. Umtoe Iran umpitishe bahari ya Atlantic kwa kutumia hiyo mitumbwi?

Sasa unaipigaje US wakati hata uwezo wa kufika kwake huna. Kuteka mabalozi hata nyinyi si mnaweza kumteka wa hapa Tanzania kama mmejipanga. Wa US in Libya aliuwawa, kipi cha ajabu kilifanyika?
Wa Russia nchini Turkey aliuwawa kipi cha ajabu kilitokea?
Unaongelea mambo rahisi sana MKUU aliuwawa aliuwawa na serikali husika?!

Kama hana silaha zakushambulia mbali unahisi angepiga Kambi za US pale IRAQ

Unahisi angeshambulia pale SYRIA ana makombora yanayofika mpaka UGIRIKI unataka umbali upi ?!

Unataka sababu gani IRAN wazipate ili wapigwe na US unahisi kupiga kambi sio sababu ?!

Unadhani kuteka Meli ya UK sio sababu ?!

Unadhani kufadhili magaidi wanao dai wali sababisha 9/11 sio sababu ?

Kufadhili magaidi IRAQ walivamia ubaloz wa IRAQ kudhamini magaidi waliopenya mifumo yaulinzi wa US pale SAUDI ARABIA kudhamini Magaidi wa HAMAS kudhamini magaidi wa HIZBULLAH hizi zote hazijawa sababu MKUU ?!

Wakati IRAQ walimtoa madarakani kwasababu ipi ?!

Unatakiwa uelewe IRAN majeshi yao yote yanatambulika kama nimajeshi ya KIGAIDI na US

Sababu ama kipi akikifanya IRAN ndio kwako utakitafsriri kama jamaa ka CROSS RED LINE ?!
 
Unaongelea mambo rahisi sana MKUU aliuwawa aliuwawa na serikali husika?!

Kama hana silaha zakushambulia mbali unahisi angepiga Kambi za US pale IRAQ

Unahisi angeshambulia pale SYRIA ana makombora yanayofika mpaka UGIRIKI unataka umbali upi ?!

Unataka sababu gani IRAN wazipate ili wapigwe na US unahisi kupiga kambi sio sababu ?!

Unadhani kuteka Meli ya UK sio sababu ?!

Unadhani kufadhili magaidi wanao dai wali sababisha 9/11 sio sababu ?

Kufadhili magaidi IRAQ walivamia ubaloz wa IRAQ kudhamini magaidi waliopenya mifumo yaulinzi wa US pale SAUDI ARABIA kudhamini Magaidi wa HAMAS kudhamini magaidi wa HIZBULLAH hizi zote hazijawa sababu MKUU ?!

Wakati IRAQ walimtoa madarakani kwasababu ipi ?!

Unatakiwa uelewe IRAN majeshi yao yote yanatambulika kama nimajeshi ya KIGAIDI na US

Sababu ama kipi akikifanya IRAN ndio kwako utakitafsriri kama jamaa ka CROSS LINE ?!
Mwambie Nchi yake ijaribu Kama hivyo vitu vidogo , hamna Nchi hata 1 kati ya nchi za ulaya zinazoweza kufanya alichokifanya Irani shenziiiii
 
Binafsi tangu Iran ilipo fanikiwa kushambulia kambi za kijeshi za Merikani nchini Iraq kwa kutumia high precision ballistic missiles, tangu siku hiyo Iran nuliivulia kofia, si Taifa la michezo hata kidogo, hata jeshi la Merikani pamoja na Trump mwenyewe usahihi wa kulenga Shabaha wa ballistic missiles za Iran uliwashtua sana - si hilo tu hata athali za mlipuko wa missiles uliwakumba zaidi ya wanajeshi 90 walikuwa wamejificha kwenye mahandaki saa moja kabla missiles hazijatua kwenye kambi - wanajeshi wa Merikani walinusurika baada ya Jenerali wa Iraq kuwatonya wakuu wa Kambi ya kijeshi ndio maana walikimbilia kujificha kwenye mahandaki la sivyo wengi wao wangekufa, hata hivyo baada ya milipuko wengi wao walikimbizwa Ujerumani kutibiwa.
Teh teh teh eti baada ya General wa Iraq kuwashtua,mbona hakuwashtua Iran wakati General wao alipouawa ndani ya Iraq?
 
Usichokijua ni kuwa Iran wana makombora ya siri ambayo yamefichwa hayajulikani uwezo wake uko vp au yana nini, ukiachana na hayo makombora ambyo Yanafika Ulaya na Asia, chengine ni kuwa Iran haihitaji kupiga marekani, kumbuka Marekani ina malaki ya wanajeshi bara la Africa Ulaya na Asia so hizo base zake 400 zitawaka moto siku akiamua kukinukisha, Unajua kuwa kuna nchi za ulaya kipindi zile base za marekani ziliposhambuliwa Iraq walisema kuwa wanataka kununua mifumo ya S-400 ya Mrusi ili kujilinda na makombira ya Iran?

Sent from my JSN-L21 using JamiiForums mobile app
Hayo makombora ya siri yalijaribiwa uvunguvu mwa kitanda cha Ayatollah?
 
Teh teh teh eti baada ya General wa Iraq kuwashtua,mbona hakuwashtua Iran wakati General wao alipouawa ndani ya Iraq?
Mishen ilifanywa nanani ?!
Wakati US walipo dai kumuua OSAMA pale afghanistan unakumbuka serikali ya AFGHANISTAN walisema nini kuhusiana nalile shambulio lililosemekana limeondoka na OSAMA!?
 
Naona mnajipongeza mwenyewe. US alimuua kamanda wa Iran, Iran imefyatua makombora yakawaharibu kisaikolojia wanajeshi wa US, hii hata Idris Sultan alifanya kwa kumcheka rais. Pale US hakutaka kuua bure lakini angeamua asingeshindwa kitu.
Siku US akiingia vitani na Iran atapiga kwa speed ambayo haijawahi kutokea ili kupunguza muda wa kupanda gharama za mafuta isije ikaua uchumi wa dunia.
US hajaamua kupigana na Iran, lile shambulizi la makombora lilikuwa ni kulipiza kisasi cha Soleimani. Wapigane Wairan wawe wakimbizi bila sababu.
Hiyo inaitwa Shock and Awe
 
Mishen ilifanywa nanani ?!
Wakati US walipo dai kumuua OSAMA pale afghanistan unakumbuka serikali ya AFGHANISTAN walisema nini kuhusiana nalile shambulio lililosemekana limeondoka na OSAMA!?
Kumbe Osama aliuliwa Afghanistan,nilikuwa sijui hili.
 
Unaongelea mambo rahisi sana MKUU aliuwawa aliuwawa na serikali husika?!

Kama hana silaha zakushambulia mbali unahisi angepiga Kambi za US pale IRAQ

Unahisi angeshambulia pale SYRIA ana makombora yanayofika mpaka UGIRIKI unataka umbali upi ?!

Unataka sababu gani IRAN wazipate ili wapigwe na US unahisi kupiga kambi sio sababu ?!

Unadhani kuteka Meli ya UK sio sababu ?!

Unadhani kufadhili magaidi wanao dai wali sababisha 9/11 sio sababu ?

Kufadhili magaidi IRAQ walivamia ubaloz wa IRAQ kudhamini magaidi waliopenya mifumo yaulinzi wa US pale SAUDI ARABIA kudhamini Magaidi wa HAMAS kudhamini magaidi wa HIZBULLAH hizi zote hazijawa sababu MKUU ?!

Wakati IRAQ walimtoa madarakani kwasababu ipi ?!

Unatakiwa uelewe IRAN majeshi yao yote yanatambulika kama nimajeshi ya KIGAIDI na US

Sababu ama kipi akikifanya IRAN ndio kwako utakitafsriri kama jamaa ka CROSS RED LINE ?!
Majeshi ya ugaidi na kiongozi wao kauwawa. Huyu hapa akiwa na chaja sijui ya Tecno.
images%20-%202020-06-04T233957.238.jpg
images%20-%202020-06-04T233918.870.jpg
images%20-%202020-06-04T233929.611.jpg
 
Majeshi ya ugaidi na kiongozi wao kauwawa. Huyu hapa akiwa na chaja sijui ya Tecno.View attachment 1468973View attachment 1468974View attachment 1468975
sasa anakua target na anauwawa akiwa Nje ya IRAN [emoji23][emoji23]

akiwa ndani ya IRAN anakua malaika ?!

Kwanini wasinge mfata huko huko IRAN wakamtwanga ?!

Mpaka wamvizie huko uhamishoni !?

Wanatofauti gani na Alshabab wanaouwa kwakuvizia wakat wanajua mtu anakaa wapi na anapatikanika wapi[emoji23]

Baada ya hilo tukio walichokipata wanakikumbuka vyema sana.....
 
Mimi nimetaja silaha wewe umeleta vigano vya Kiswahili. Taja hizo silaha au zimefichwa uvunguni kwamba hazionekani wala kujulikana. Silaha lazima zifanyiwe testing na mazoezi. Hawa Iran wanazindua speed boats ambazo nazizidi urefu wanapiga kelele sembuse wawe na silaha nzito wasilinge. Nimewauliza hapo mwishoni, Iran akitaka kuivamia Marekani atatumia SILAHA GANI? Hata Japan walikuwa na akili maandazi kama hivi, kilichotokea walishinda shambulizi moja tu la kushtukiza pa Pearl harbour mpaka vita inaisha hawajashinda battle yoyote ile.
Uganda Iddi Amin alikuwa anabwabwaja hivihivi, akashtukiza akavamia vita ilipoanza akapigwa. Iran itakuwa hivyohivyo.
Mkuu unachopaswa kufahamu silaha haipimwi uwezo wake kwa kuangalia ukubwa, nimekuambia hizo boats za Iran zinateka hilo li carrier ambapo nimekuambia hio ni air base iliyoko majini, hizo boats zipo very very fast na uwezo wake unatisha.

Labda nikuambie kitu kimoja, kuna silaha moja inaitwa Stinger mfano FIM-92 Stinger hio ni Portable air defense system ya kimarekani, hio ni portable na inawekwa begani tu but inapiga airbus 380 na hakuna abiria anabaki kama ndege imebeba abiria 300 ujue wameisha. hio hio stinger ya kubeba begani inapiga hata yale madege ya kirusi ya kivita kama Kamov Ka vizuri tu bila shida.
Taiwan_will_take_delivery_of_250_Stinger_MANPADS_missiles_later_this_year_925_001.jpg

stinger

Unaifahamu Javelin? hio ni portable pia, ni ya kuweka begani tu, but ni anti tanker mzee, inatungua kifaru huwezi kuamini, minyororo inakaa kulia, engine kushoto, sasa endele kudharau silaha kisa unaizidi urefu, ndio silaha utaizidi urefu, utaizidi uzito, utaibeba but inapotumiwa itakuzidi kila kitu 😂 😂 😂 .
javelinmp_h15.jpg

javelin


Hizo boats zina piga rockets, zina vifaa vya kisasa na radar, pia zina uwezo mkubwa wa kuhimili bahari iliyo chafuka, sasa endelea kujidanganya, wanazo boats zaidi ya 1500, thats why unaona USA ina tengeneza laser weapon kuangamiza boats hizo but range ya laser ni fupi (2km) wakati hizo boats zina rocket launcher na heavy machine gun, so what do you expect mzee? Endelea kusema unazizidi urefu.
_600.jpg

Seraj-1.
 
Back
Top Bottom