Jeshi la Israel (IDF) lakanusha kuhusika na Shambulio la hospitali huko Gaza

Jeshi la Israel (IDF) lakanusha kuhusika na Shambulio la hospitali huko Gaza

Wamefanya,waliweka na video huko x kuisingizia Islamic jihad,baada ya mchambuzi wa video wa CNN kusema video si ya kweli, waisrael wakashusha video wamebakiza maandishi, roketi moja la kipalestina haliwezi ua watu 500 na kubomoa hospital completely,na kabla walipost video ya shambulio Hilo la ndege wakijisifia,wakaiondoa baada ya kupata matokeo ardhini
Yani waweke Video alafu waiondoe bila watu wengine kuidaka.... Wewe unaishi ulimwengu gani, yani uposti kitu mtandaoni kinachofatiliwa na watu wengi alafu kikae dakika kadhaa ukifute bila watu kukichukua.... Kama ni kweli walipost kisha kufuta video ingekwisha sambaa...

Pili HAMAS sio kundi la kuchukulia poa poa wale jamaa wana silaha nzito nzito, ndio maana waliweza kufanya mashambulizi mazito kwa Israeli... Hizo roketi unazozizungumzia nenda kaziangalie huko YouTube, zinaweza kusafiri mji hadi mji, yani mtu yuko mwanza anatungua Dodoma... Ndio walichokuwa wanafanya wanatungua Tel-Aviv kutokea Gaza... Wewe akili zako unahisi Hamas wana bunduki tu na vikombora vya kutungua maembe... Wale wazee wako Vizuri, ndio maana pia kwa Israel imekuwa ngumu kuwatuliza, ingekuwa ni hizo silaha unazozungumzia wewe HAMAS wangekuwa wameshatulizwa....
 
Jeshi la Israel kupitia ukurasa wao wa mtandao wa X wameweza kukanusha taarifa juu ya shambulio la kombora lililoangukia Hospitali huko mjini Gaza na kuua zaidi ya watu 500 na kujeruhi wengine kadhaa.

Jeshi hilo limesema, shambulio hilo halikufanywa na Israel bali ni kundi la Kigaidi lenye mlengo wa kidini wa kiislamu baada ya kujaribu kurusha kombora kwenda Israel lakini kombora hilo likashindwa kupata muelekeo na kuangukia eneo la hospitali lililokuwa na mamia ya watu wakiwa wamejihifadhi kukwepa Vita huku likiua wengi na kujeruhi wengine.

View attachment 2785118

Hata hivyo mpaka sasa hakuna taarifa rasmi ya kukanusha au kukubali iliyotoka upande wa HAMAS juu ya tukio hilo. Jeshi la Israel limekuja na taarifa hiyo ya kukanusha baada ya watu kuanza kutuhumu jeshi hilo la IDF (Israel Defensive Force) kufanya shambulio hilo. Mpaka sasa watu wanasubiri taarifa rasmi kutoka HAMAS juu ya kuhusika na shambulio hilo.
.
IMG_20231018_044848.jpg
 
Yani waweke Video alafu waiondoe bila watu wengine kuidaka.... Wewe unaishi ulimwengu gani, yani uposti kitu mtandaoni kinachofatiliwa na watu wengi alafu kikae dakika kadhaa ukifute bila watu kukichukua.... Kama ni kweli walipost kisha kufuta video ingekwisha sambaa...

Pili HAMAS sio kundi la kuchukulia poa poa wale jamaa wana silaha nzito nzito, ndio maana waliweza kufanya mashambulizi mazito kwa Israeli... Hizo roketi unazozizungumzia nenda kaziangalie huko YouTube, zinaweza kusafiri mji hadi mji, yani mtu yuko mwanza anatungua Dodoma... Ndio walichokuwa wanafanya wanatungua Tel-Aviv kutokea Gaza... Wewe akili zako unahisi Hamas wana bunduki tu na vikombora vya kutungua maembe... Wale wazee wako Vizuri, ndio maana pia kwa Israel imekuwa ngumu kuwatuliza, ingekuwa ni hizo silaha unazozungumzia wewe HAMAS wangekuwa wameshatulizwa....
Ndiyo maana balozi wa Palestine UN kakutana na wanahabari na kaonesha video na tweets za Israel,na kasema Israel walisema toka mwanzo kwamba tokeni mahospitalini which means hospitals ni target,siku za uwongo wa Israel zimekwisha,mitandao ya kijamii inawatafuna,tofauti na zamani CNN na BBC tu ambao hawatoi maovu ya Israel, Hamas hawana bom moja la kuua watu 600,acha uwongo,na Wala Israel hawakusema Hamas Bali Islamic jihad na ni roketi moja lililoenda sivyo,rocket ya Islamic jihad haiwezi ua watu 600 na kubomoa ahli baptist hospital
 
Wamefanya,waliweka na video huko x kuisingizia Islamic jihad,baada ya mchambuzi wa video wa CNN kusema video si ya kweli, waisrael wakashusha video wamebakiza maandishi, roketi moja la kipalestina haliwezi ua watu 500 na kubomoa hospital completely,na kabla walipost video ya shambulio Hilo la ndege wakijisifia,wakaiondoa baada ya kupata matokeo ardhini
Lakini la ki-Israel linaweza?
 
Uwezo wa roketi kuua watu 500 hai justify muhusika ni nani, hizo silaha za Hamas unafahamu zinakotokea?
Tuongee kisayansi,roketi ya Islamic jihad inaweza watu 500 na kubomoa completely hospital!?..balozi wa Palestine UN kakutana na wanahabari na kaonesha video na tweets za Israel
 
Islael inauwa watu hadi muda huu wameua watu 4000 nusu ya vita ya urusi na ukraine ina maan wakiongeza miez miwili washavuka mgogoro wa urusi na ukraine

Islael ni taifa la hovyo.

Magaidi washughulikiwe Hamna namna! Hamas wamejificha nyuma ya raia na kuwafanya ngao unategemea nini zaidi ya civilian casualties
 
Ndiyo maana balozi wa Palestine UN kakutana na wanahabari na kaonesha video na tweets za Israel,na kasema Israel walisema toka mwanzo kwamba tokeni mahospitalini which means hospitals ni target,siku za uwongo wa Israel zimekwisha,mitandao ya kijamii inawatafuna,tofauti na zamani CNN na BBC tu ambao hawatoi maovu ya Israel, Hamas hawana bom moja la kuua watu 600,acha uwongo,na Wala Israel hawakusema Hamas Bali Islamic jihad na ni roketi moja lililoenda sivyo,rocket ya Islamic jihad haiwezi ua watu 600 na kubomoa ahli baptist hospital
Kwanza unafahamu kuwa HAMAS wanatumia Binadamu kama ngao yao kujilinda na mashambulizi ya Israel... Hamas wanachokifanya ni kwenda maeneo yenye kuhifadhi watu kama mashuleni, misikitini, mahospitalini kisha kufanya mashambulizi ya makombora, hili endapo Israel wakijibu mashambulizi waonekane wanapiga na kuua watu.... Yani HAMAS wanachofanya sasa hivi ni kuhakikisha Israel analaumiwa juu ya raia... Sasa kama HAMAS anapenda wapalestina kwa nini hawatoe kama chambo kwa manufaa yake... Kwa nini HAMAS anakataza raia wasitoke, kwa nini asiende yeye kama yeye vitani mpaka awe na raia
 
Hili ni swali la kijinga sana ulilouliza... Silaha ziko sehemu nyingi sana Duniani, kupata silaha sio shida... Al-shabab tu hapo wanapata Silaha, Sembuse Hamas ambao wanasapotiwa na IRAN na nchi zote za uarabuni.
Acha kutetea ujinga mkuu hamas hana silaha zenye uwezo mkubwa kiasi hicho cha kuuwa watu 500.
 
Jeshi la Israel kupitia ukurasa wao wa mtandao wa X wameweza kukanusha taarifa juu ya shambulio la kombora lililoangukia Hospitali huko mjini Gaza na kuua zaidi ya watu 500 na kujeruhi wengine kadhaa.

Jeshi hilo limesema, shambulio hilo halikufanywa na Israel bali ni kundi la Kigaidi lenye mlengo wa kidini wa kiislamu baada ya kujaribu kurusha kombora kwenda Israel lakini kombora hilo likashindwa kupata muelekeo na kuangukia eneo la hospitali lililokuwa na mamia ya watu wakiwa wamejihifadhi kukwepa Vita huku likiua wengi na kujeruhi wengine.

View attachment 2785118

Hata hivyo mpaka sasa hakuna taarifa rasmi ya kukanusha au kukubali iliyotoka upande wa HAMAS juu ya tukio hilo. Jeshi la Israel limekuja na taarifa hiyo ya kukanusha baada ya watu kuanza kutuhumu jeshi hilo la IDF (Israel Defensive Force) kufanya shambulio hilo. Mpaka sasa watu wanasubiri taarifa rasmi kutoka HAMAS juu ya kuhusika na shambulio hilo.
Mkiambiwa ni taifa teule na ni urithi wa Mungu mnabisha. Makombora yenu yanawarudia wenyewe
Isaya 19:25
kwa kuwa BWANA wa majeshi amewabariki, akisema, Wabarikiwe watu wangu Misri; na wewe Ashuru, kazi ya mikono yangu; na wewe Israeli, urithi wangu.
 
Siyo rahisi hivyo israel ifanye shambulio kama hilo ukizingatia kuna ujio wa Biden hapo Tel Aviv, nina wasiwasi kama sio bahati mbaya (misfire) ya Hamas basi kuna uhuni umefanyika kutibua ziara za biden hapo middle east.
Pitia twitter utagundua ilikuwa uongo maana wanaposema pamepigwa bomu hakuna chochote kinachoonesha bomu limepigwa,majengo yote yamesimama, magari tu ndo yameungua
 
True... Uwenda Hamas wali-misfire au kuna propaganda... Lakini HAMAS wamekaa kimya juu ya hili tukio
Hamas wanajua kuwa hakuna bomu linaweza piga sehemu na hiyo sehemu ikabakia nzima nzima
 
Back
Top Bottom