I firmly STAND with IsraelKuhusu hili ni IDF wamehusika na msemaji wao alitweet, baada ya mda mfupi akaifuta tweet.
Source:Al
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I firmly STAND with IsraelKuhusu hili ni IDF wamehusika na msemaji wao alitweet, baada ya mda mfupi akaifuta tweet.
Source:Al
Yani waweke Video alafu waiondoe bila watu wengine kuidaka.... Wewe unaishi ulimwengu gani, yani uposti kitu mtandaoni kinachofatiliwa na watu wengi alafu kikae dakika kadhaa ukifute bila watu kukichukua.... Kama ni kweli walipost kisha kufuta video ingekwisha sambaa...Wamefanya,waliweka na video huko x kuisingizia Islamic jihad,baada ya mchambuzi wa video wa CNN kusema video si ya kweli, waisrael wakashusha video wamebakiza maandishi, roketi moja la kipalestina haliwezi ua watu 500 na kubomoa hospital completely,na kabla walipost video ya shambulio Hilo la ndege wakijisifia,wakaiondoa baada ya kupata matokeo ardhini
.Jeshi la Israel kupitia ukurasa wao wa mtandao wa X wameweza kukanusha taarifa juu ya shambulio la kombora lililoangukia Hospitali huko mjini Gaza na kuua zaidi ya watu 500 na kujeruhi wengine kadhaa.
Jeshi hilo limesema, shambulio hilo halikufanywa na Israel bali ni kundi la Kigaidi lenye mlengo wa kidini wa kiislamu baada ya kujaribu kurusha kombora kwenda Israel lakini kombora hilo likashindwa kupata muelekeo na kuangukia eneo la hospitali lililokuwa na mamia ya watu wakiwa wamejihifadhi kukwepa Vita huku likiua wengi na kujeruhi wengine.
View attachment 2785118
Hata hivyo mpaka sasa hakuna taarifa rasmi ya kukanusha au kukubali iliyotoka upande wa HAMAS juu ya tukio hilo. Jeshi la Israel limekuja na taarifa hiyo ya kukanusha baada ya watu kuanza kutuhumu jeshi hilo la IDF (Israel Defensive Force) kufanya shambulio hilo. Mpaka sasa watu wanasubiri taarifa rasmi kutoka HAMAS juu ya kuhusika na shambulio hilo.
Ndiyo maana balozi wa Palestine UN kakutana na wanahabari na kaonesha video na tweets za Israel,na kasema Israel walisema toka mwanzo kwamba tokeni mahospitalini which means hospitals ni target,siku za uwongo wa Israel zimekwisha,mitandao ya kijamii inawatafuna,tofauti na zamani CNN na BBC tu ambao hawatoi maovu ya Israel, Hamas hawana bom moja la kuua watu 600,acha uwongo,na Wala Israel hawakusema Hamas Bali Islamic jihad na ni roketi moja lililoenda sivyo,rocket ya Islamic jihad haiwezi ua watu 600 na kubomoa ahli baptist hospitalYani waweke Video alafu waiondoe bila watu wengine kuidaka.... Wewe unaishi ulimwengu gani, yani uposti kitu mtandaoni kinachofatiliwa na watu wengi alafu kikae dakika kadhaa ukifute bila watu kukichukua.... Kama ni kweli walipost kisha kufuta video ingekwisha sambaa...
Pili HAMAS sio kundi la kuchukulia poa poa wale jamaa wana silaha nzito nzito, ndio maana waliweza kufanya mashambulizi mazito kwa Israeli... Hizo roketi unazozizungumzia nenda kaziangalie huko YouTube, zinaweza kusafiri mji hadi mji, yani mtu yuko mwanza anatungua Dodoma... Ndio walichokuwa wanafanya wanatungua Tel-Aviv kutokea Gaza... Wewe akili zako unahisi Hamas wana bunduki tu na vikombora vya kutungua maembe... Wale wazee wako Vizuri, ndio maana pia kwa Israel imekuwa ngumu kuwatuliza, ingekuwa ni hizo silaha unazozungumzia wewe HAMAS wangekuwa wameshatulizwa....
Habari ya mwanzo walitoa hii kua IDF imepiga Hospital kuua Wanajeshi wa hamasi walio jificha huko walivyoona wamekosolewa kwa uk.ma wao ndio wakaanza kukanushaKwanini wamechelewa sn kukanusha Hii habari[emoji848]
Lakini la ki-Israel linaweza?Wamefanya,waliweka na video huko x kuisingizia Islamic jihad,baada ya mchambuzi wa video wa CNN kusema video si ya kweli, waisrael wakashusha video wamebakiza maandishi, roketi moja la kipalestina haliwezi ua watu 500 na kubomoa hospital completely,na kabla walipost video ya shambulio Hilo la ndege wakijisifia,wakaiondoa baada ya kupata matokeo ardhini
Tuongee kisayansi,roketi ya Islamic jihad inaweza watu 500 na kubomoa completely hospital!?..balozi wa Palestine UN kakutana na wanahabari na kaonesha video na tweets za IsraelUwezo wa roketi kuua watu 500 hai justify muhusika ni nani, hizo silaha za Hamas unafahamu zinakotokea?
Ndilo lililofanya,limefyatuliwa angani na ndegeLakini la ki-Israel linaweza?
Islael inauwa watu hadi muda huu wameua watu 4000 nusu ya vita ya urusi na ukraine ina maan wakiongeza miez miwili washavuka mgogoro wa urusi na ukraine
Islael ni taifa la hovyo.
Kwanini wamechelewa sn kukanusha Hii habari[emoji848]
Magaidi washughulikiwe Hamna namna! Hamas wamejificha nyuma ya raia na kuwafanya ngao unategemea nini zaidi ya civilian casualties
Hujakatazwa ila reality itabaki vilevile kwamba IDF ndio walioshambulia hospital.I firmly STAND with Israel
Kwanza unafahamu kuwa HAMAS wanatumia Binadamu kama ngao yao kujilinda na mashambulizi ya Israel... Hamas wanachokifanya ni kwenda maeneo yenye kuhifadhi watu kama mashuleni, misikitini, mahospitalini kisha kufanya mashambulizi ya makombora, hili endapo Israel wakijibu mashambulizi waonekane wanapiga na kuua watu.... Yani HAMAS wanachofanya sasa hivi ni kuhakikisha Israel analaumiwa juu ya raia... Sasa kama HAMAS anapenda wapalestina kwa nini hawatoe kama chambo kwa manufaa yake... Kwa nini HAMAS anakataza raia wasitoke, kwa nini asiende yeye kama yeye vitani mpaka awe na raiaNdiyo maana balozi wa Palestine UN kakutana na wanahabari na kaonesha video na tweets za Israel,na kasema Israel walisema toka mwanzo kwamba tokeni mahospitalini which means hospitals ni target,siku za uwongo wa Israel zimekwisha,mitandao ya kijamii inawatafuna,tofauti na zamani CNN na BBC tu ambao hawatoi maovu ya Israel, Hamas hawana bom moja la kuua watu 600,acha uwongo,na Wala Israel hawakusema Hamas Bali Islamic jihad na ni roketi moja lililoenda sivyo,rocket ya Islamic jihad haiwezi ua watu 600 na kubomoa ahli baptist hospital
Na wameifuta hiyo tweet mda mfupi baada ya kuipost.Habari ya mwanzo walitoa hii kua IDF imepiga Hospital kuua Wanajeshi wa hamasi walio jificha huko walivyoona wamekosolewa kwa uk.ma wao ndio wakaanza kukanushaView attachment 2785149
Acha kutetea ujinga mkuu hamas hana silaha zenye uwezo mkubwa kiasi hicho cha kuuwa watu 500.Hili ni swali la kijinga sana ulilouliza... Silaha ziko sehemu nyingi sana Duniani, kupata silaha sio shida... Al-shabab tu hapo wanapata Silaha, Sembuse Hamas ambao wanasapotiwa na IRAN na nchi zote za uarabuni.
Mkiambiwa ni taifa teule na ni urithi wa Mungu mnabisha. Makombora yenu yanawarudia wenyeweJeshi la Israel kupitia ukurasa wao wa mtandao wa X wameweza kukanusha taarifa juu ya shambulio la kombora lililoangukia Hospitali huko mjini Gaza na kuua zaidi ya watu 500 na kujeruhi wengine kadhaa.
Jeshi hilo limesema, shambulio hilo halikufanywa na Israel bali ni kundi la Kigaidi lenye mlengo wa kidini wa kiislamu baada ya kujaribu kurusha kombora kwenda Israel lakini kombora hilo likashindwa kupata muelekeo na kuangukia eneo la hospitali lililokuwa na mamia ya watu wakiwa wamejihifadhi kukwepa Vita huku likiua wengi na kujeruhi wengine.
View attachment 2785118
Hata hivyo mpaka sasa hakuna taarifa rasmi ya kukanusha au kukubali iliyotoka upande wa HAMAS juu ya tukio hilo. Jeshi la Israel limekuja na taarifa hiyo ya kukanusha baada ya watu kuanza kutuhumu jeshi hilo la IDF (Israel Defensive Force) kufanya shambulio hilo. Mpaka sasa watu wanasubiri taarifa rasmi kutoka HAMAS juu ya kuhusika na shambulio hilo.
Pitia twitter utagundua ilikuwa uongo maana wanaposema pamepigwa bomu hakuna chochote kinachoonesha bomu limepigwa,majengo yote yamesimama, magari tu ndo yameunguaSiyo rahisi hivyo israel ifanye shambulio kama hilo ukizingatia kuna ujio wa Biden hapo Tel Aviv, nina wasiwasi kama sio bahati mbaya (misfire) ya Hamas basi kuna uhuni umefanyika kutibua ziara za biden hapo middle east.
Hamas wanajua kuwa hakuna bomu linaweza piga sehemu na hiyo sehemu ikabakia nzima nzimaTrue... Uwenda Hamas wali-misfire au kuna propaganda... Lakini HAMAS wamekaa kimya juu ya hili tukio