Jeshi la Israel (IDF) lakanusha kuhusika na Shambulio la hospitali huko Gaza

Jeshi la Israel (IDF) lakanusha kuhusika na Shambulio la hospitali huko Gaza

Hujakatazwa ila reality itabaki vilevile kwamba IDF ndio walioshambulia hospital.
flag.jpg
 
Acha kutetea ujinga mkuu hamas hana silaha zenye uwezo mkubwa kiasi hicho cha kuuwa watu 500.
Wewe unajua aina ya silaha zote walizonazo?

Hizo gari za parachuti na makombora ya masafa marefu wameyatoa wapi
 
Acha kutetea ujinga mkuu hamas hana silaha zenye uwezo mkubwa kiasi hicho cha kuuwa watu 500.
Imekuwa hivyo leo mbona juzi tu mlikuwa mnasema hamas itaifuta israel. je hizo silaha za kuifuta isarel zina ukubwa gani maana taifa la Israel ni zaidi ya watu 500
MUNGU WA ISRAEL NI MKUU SANA
 
Siyo rahisi hivyo israel ifanye shambulio kama hilo ukizingatia kuna ujio wa Biden hapo Tel Aviv, nina wasiwasi kama sio bahati mbaya (misfire) ya Hamas basi kuna uhuni umefanyika kutibua ziara za biden hapo middle east.
Israel’s own Digital Spokesperson Hananya appointed by Netanyahu himself literally admitted to bombing the hospital and then deleted it a few minutes later.
 

Attachments

  • Screenshot_20231018_105156_X.jpg
    Screenshot_20231018_105156_X.jpg
    77.6 KB · Views: 1
Labda walikuwa wanatafuta ukweli juu ya nani kafanya shambulio kupitia kwa wanajeshi wake walioko vitani, walivyopata majibu kuwa hawajahusika ndio wakaja na official statement. Uwezi kutoa statement wakati huna uhakika
Israel’s own Digital Spokesperson Hananya appointed by Netanyahu himself literally admitted to bombing the hospital and then deleted it a few minutes later.
 

Attachments

  • Screenshot_20231018_105156_X.jpg
    Screenshot_20231018_105156_X.jpg
    77.6 KB · Views: 1
HAMAS wanafurahishwa na huu uchochezi kwa hiyo hata kama ni kweli wao ndo wamehusika hawatoweza kukubali
ili tu Israel aonekane mbaya
Israel’s own Digital Spokesperson Hananya appointed by Netanyahu himself literally admitted to bombing the hospital and then deleted it a few minutes later.
 

Attachments

  • Screenshot_20231018_105156_X.jpg
    Screenshot_20231018_105156_X.jpg
    77.6 KB · Views: 1
Mchuma janga hula na wakwao. Tarehe 7 Hamas walivamia Israel na kuua Raia wasio na hatiq
 
Wanaogopa kuchapika wasnge Hao

BREAKING:

Turkish President Erdogan:

The attack on the hospital, where women, children and innocent civilians are treated, is the latest example of Israeli attacks that lack the most basic human values. I call on all humanity to take action to stop this unprecedented brutality in Gaza
If not, we will.

Turkey put combat readiness at the highest level since 30 minutes ago!

(Sources from Turkey report some turmoil in the military leadership)
 
Kwanza unafahamu kuwa HAMAS wanatumia Binadamu kama ngao yao kujilinda na mashambulizi ya Israel... Hamas wanachokifanya ni kwenda maeneo yenye kuhifadhi watu kama mashuleni, misikitini, mahospitalini kisha kufanya mashambulizi ya makombora, hili endapo Israel wakijibu mashambulizi waonekane wanapiga na kuua watu.... Yani HAMAS wanachofanya sasa hivi ni kuhakikisha Israel analaumiwa juu ya raia... Sasa kama HAMAS anapenda wapalestina kwa nini hawatoe kama chambo kwa manufaa yake... Kwa nini HAMAS anakataza raia wasitoke, kwa nini asiende yeye kama yeye vitani mpaka awe na raia
La Israel kushambulia hospital tumemaliza!?
 
Jeshi la Israel kupitia ukurasa wao wa mtandao wa X wameweza kukanusha taarifa juu ya shambulio la kombora lililoangukia Hospitali huko mjini Gaza na kuua zaidi ya watu 500 na kujeruhi wengine kadhaa.

Jeshi hilo limesema, shambulio hilo halikufanywa na Israel bali ni kundi la Kigaidi lenye mlengo wa kidini wa kiislamu baada ya kujaribu kurusha kombora kwenda Israel lakini kombora hilo likashindwa kupata muelekeo na kuangukia eneo la hospitali lililokuwa na mamia ya watu wakiwa wamejihifadhi kukwepa Vita huku likiua wengi na kujeruhi wengine.

View attachment 2785118

Hata hivyo mpaka sasa hakuna taarifa rasmi ya kukanusha au kukubali iliyotoka upande wa HAMAS juu ya tukio hilo. Jeshi la Israel limekuja na taarifa hiyo ya kukanusha baada ya watu kuanza kutuhumu jeshi hilo la IDF (Israel Defensive Force) kufanya shambulio hilo. Mpaka sasa watu wanasubiri taarifa rasmi kutoka HAMAS juu ya kuhusika na shambulio hilo.
Israel anasema ni kombora la Islamic jihads lilikuwa linarusha Israel likamisfire nakuangukia kwenye hospital huko Gaza

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Imekuwa hivyo leo mbona juzi tu mlikuwa mnasema hamas itaifuta israel. je hizo silaha za kuifuta isarel zina ukubwa gani maana taifa la Israel ni zaidi ya watu 500
MUNGU WA ISRAEL NI MKUU SANA
Wap tulisema?
Acheni kutetea ujinga acha dunia ione jinsi Israel ilivyo na jeshi la hovyo.
 
Hamas waache kuhifadhi silaha kwenye mahospitali,wamerusha makombora Yao yametua hapo hospital walipokua wamehifadhi silaha zao nyingine kitu kikajipa halafu wanakuja singizia Israel.
 
Kwa nn isiwe misfire ya Israeli?
Hamas wanarusha rocket na misfire ya rocket Moja haiwezi kudismantle hospital nzima na kuua 500 people. Ile ni AIR STRIKE MISSILE.
Either walifanya by makosa au waliamua makusudi.
Maana the real aim ya hii vita na ndio maana Israel waliruhusu washambuliwe ni kuwa WANAPATAKA GAZA kuweka jews settlements maana huko kwingine kumeshajaa. So wanaforce Hao wapalestina waende Sinai peninsula desert,wao wajisogeze hapo Gaza na waongeze Hilo Li ukuta Lao. Maana nchi haiwatoshi tena.
 
[emoji599]ANALYSIS ON THE ROCKET THAT HIT THE HOSPITAL:

- The explosion was very large for a Hamas rocket

- There was no secondary explosion which means it wasn't a weapons site

- We need forensic materials analysis, but it is unlikely to be gathered.

- The blast yield is similar to IDF munitions, which makes it unlikely to be Hamas

- It is similar to a JDAM 1,000lb munition by yield

- A 1,000lb bomb is a missile the size is the weight of a Fiat 500. There are no secondary explosions so no weapons store.

- Final thoughts: There were no secondary explosions. Hamas might have been hiding in the hospital, but it wasn't a weapons/rocket store.
IMG_20231018_115916.jpg
 
Back
Top Bottom