kama walikuwa na video na kutuma roket ili ionekane waisrael , tutaaminije?Tuongee kisayansi,roketi ya Islamic jihad inaweza watu 500 na kubomoa completely hospital!?..balozi wa Palestine UN kakutana na wanahabari na kaonesha video na tweets za Israel
Hata tazama mlio wa maboom wanayo rusha ni mlio huo huo US, Europe na Israel wote ni waongo hata siku moja hawawezi kusema ukweli wakiua raia watasema ni wanajeshi, wakivunja majumba watasema ni barracks za kijeshi, shule na Hospital sijui wanadhani kila mtu mjinga.Habari ya mwanzo walitoa hii kua IDF imepiga Hospital kuua Wanajeshi wa hamasi walio jificha huko walivyoona wamekosolewa kwa uk.ma wao ndio wakaanza kukanushaView attachment 2785149
Wewe hunaga akili onesha silaha zilizowekwa hapo.israel alishasema kila mtu ambaye yupo Gaza ni targets.huna akili kwa sababu unatetea uhalifu.endeleen kuficha silaha huko hospitalin , mtatatndikwa tu , mlianza wenyew mnahisi ni sw kuua raia wa wenzenu lkn wenu wanawauma
mlitaka yake kimya baada ya kuua watu wao 260 nyiny ni nguruw pori hamjali usalama wa wengine mnataka tujali usalama wenuMayahadi ni majitu ya hovyo sana.
[emoji3][emoji3][emoji3] umekula kwanza?Ndilo lililofanya,limefyatuliwa angani na ndege
Kwanini nyie wafia dini huwa hamkemei vitendo vya alshababu na bokoharamu,na Hamas ili vikijibiwa mnakuja kutafuta huruma mnaonewaKwahiyo Al Shabaab ikilipua Westgate malipo yake ni kwenda kurusha makombora Mogadishu?
sio kama sigara za urusi kulipuwa kambiWalikua wanafanya analysis kwanza. Wenzetu si wa kukurupuka kama jeshi letu la policcm. Wazee vitu vyenye ncha kali
sw walishambulia , utafanyaje sasa ? si mlianzisha wenyew mnataka huruma ya nnHujakatazwa ila reality itabaki vilevile kwamba IDF ndio walioshambulia hospital.
source ni HANANYQ NAFTARI ?Na wameifuta hiyo tweet mda mfupi baada ya kuipost.
Bomu la 1000lb (500kg) lipige mahali pasiwe hata na shimo?![emoji599]ANALYSIS ON THE ROCKET THAT HIT THE HOSPITAL:
- The explosion was very large for a Hamas rocket
- There was no secondary explosion which means it wasn't a weapons site
- We need forensic materials analysis, but it is unlikely to be gathered.
- The blast yield is similar to IDF munitions, which makes it unlikely to be Hamas
- It is similar to a JDAM 1,000lb munition by yield
- A 1,000lb bomb is a missile the size is the weight of a Fiat 500. There are no secondary explosions so no weapons store.
- Final thoughts: There were no secondary explosions. Hamas might have been hiding in the hospital, but it wasn't a weapons/rocket store.View attachment 2785224
[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu akili zko zina ttzo , unawazungumzia Hamas kama unawajuwa vileAcha kutetea ujinga mkuu hamas hana silaha zenye uwezo mkubwa kiasi hicho cha kuuwa watu 500.
Kwa mabomu anayotumia Israel hapo kungekua ni handaki lakini cha ajabu pako vilevile.Mpaka nyinyi wenyewe mmeanza kuona aibu kwa mambo yanayo fanywa na taifa lenu teule.
tulien kipgo kiwaingie mliyataka wenyewKama walishasema wataua kila kiumbe kilichopo gaza wana sababu gani ya kujitetea kwa hili.
Hilo ni trailer tu picha linakuja. Urusi alivyokua akipiga wodi za wajawazito kule Ukraine mlikua mnachekelea Leo mnalialia.Onesho silaha zilizopo kwenye hiyo hospitali.kama huna evidence shut up.
tulien kipigi kiwaingie hakuna mwenye muda na nyinyLa Israel kushambulia hospital tumemaliza!?
hahaa mshaanza kataa ndimi zenu ,bado hamjasemaaaWap tulisema?
Acheni kutetea ujinga acha dunia ione jinsi Israel ilivyo na jeshi la hovyo.
Umeona shughuli ya JDAM?![emoji599]ANALYSIS ON THE ROCKET THAT HIT THE HOSPITAL:
- The explosion was very large for a Hamas rocket
- There was no secondary explosion which means it wasn't a weapons site
- We need forensic materials analysis, but it is unlikely to be gathered.
- The blast yield is similar to IDF munitions, which makes it unlikely to be Hamas
- It is similar to a JDAM 1,000lb munition by yield
- A 1,000lb bomb is a missile the size is the weight of a Fiat 500. There are no secondary explosions so no weapons store.
- Final thoughts: There were no secondary explosions. Hamas might have been hiding in the hospital, but it wasn't a weapons/rocket store.View attachment 2785224
source ni HANANYQ NAFTARI ?