Jeshi la Israel laanza kukumbwa na ukata wa askari mfano yaliyoikuta Ukraine. Ndio sababu wanashambulia na kuhama maeneo. Askari wote 15000 wametumika

Jeshi la Israel laanza kukumbwa na ukata wa askari mfano yaliyoikuta Ukraine. Ndio sababu wanashambulia na kuhama maeneo. Askari wote 15000 wametumika

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Wakati siri imefichuka kwamba pendekezo la kusimamisha vita limetoka Israel. Vile vile wafuatiliaji wa vita vya Gaza wametoa takwimu za kuonesha jeshi la nchi hiyo kwa sasa limechoka na lina upungufu mkubwa wa askari.

Kwa mujibu wa mtandao huo wa ufuatiliaji vita imeelezwa kuwa askari wote wakakamavu wa jeshi la Israel wapatao 15000 wako vitani wakisaidiwa na jeshi la akiba la wazee na wastaafu wapatao 26000.

Askari hao 15000 kati yao 10000 wamesambazwa maeneo mbali mbali ya Gaza.2500 waka kaskazini wakipambana na Hezbollah na 2500 wamebakishwa ukingo wa magharibi kupambana na vikundi vya kipalestina ambavyo kila kukicha vimekuwa vikipanda mori wa kupigana na jeshi hilo.

Imeelezwa zaidi kuwa hali hiyo inalifanya jeshi hilo kuchagua maeneo yenye umuhimu na upinzani zaidi kupiga lakini lazima kuachia baadae ,Kwa mfano kwa sasa idadi kubwa ya askari hao wamepelekwa Rafah mpakani na Misri lakini kwa kufanya hivyo inabidi kuachia maeneo ya kaskazini ya Gaza.

Tatizo la ukata wa nguvu kazi ni moja ya sababu ya Ukraine kushindwa kuhimili vishindo vya Urusi.Pamoja na kupokea vifaa vya kisasa vya kivita kutoka nchi marafiki lakini imewahi kuweka hadharani siri yake kwamba vifaa hivyo vikiwemo vifaru vya kizazi kipya vimekosa watu wa kuviendesha.Mabadiliko ya kuzuia waukraine kusafiri nje ya nchi na kupunguza umri wa kuingia jeshini vyote havijaweza kubadili mporomoko wa hamas za vita za jeshi hilo.

Israel army 'stretched' as fighting rages on multiple fronts

 
Vita sio poa kabisa kuna mwizi kaniibia nina hasira balaaa, sasa kwenye vita mwana familia akiuliwa jamaa zake sijui hasira zao zipoje kwakweli.
 
Wakati siri imefichuka kwamba pendekezo la kusimamisha vita limetoka Israel. Vile vile wafuatiliaji wa vita vya Gaza wametoa takwimu za kuonesha jeshi la nchi hiyo kwa sasa limechoka na lina upungufu mkubwa wa askari.

Kwa mujibu wa mtandao huo wa ufuatiliaji vita imeelezwa kuwa askari wote wakakamavu wa jeshi la Israel wapatao 15000 wako vitani wakisaidiwa na jeshi la akiba la wazee na wastaafu wapatao 26000.

Askari hao 15000 kati yao 10000 wamesambazwa maeneo mbali mbali ya Gaza.2500 waka kaskazini wakipambana na Hezbollah na 2500 wamebakishwa ukingo wa magharibi kupambana na vikundi vya kipalestina ambavyo kila kukicha vimekuwa vikipanda mori wa kupigana na jeshi hilo.

Imeelezwa zaidi kuwa hali hiyo inalifanya jeshi hilo kuchagua maeneo yenye umuhimu na upinzani zaidi kupiga lakini lazima kuachia baadae ,Kwa mfano kwa sasa idadi kubwa ya askari hao wamepelekwa Rafah mpakani na Misri lakini kwa kufanya hivyo inabidi kuachia maeneo ya kaskazini ya Gaza.

Tatizo la ukata wa nguvu kazi ni moja ya sababu ya Ukraine kushindwa kuhimili vishindo vya Urusi.Pamoja na kupokea vifaa vya kisasa vya kivita kutoka nchi marafiki lakini imewahi kuweka hadharani siri yake kwamba vifaa hivyo vikiwemo vifaru vya kizazi kipya vimekosa watu wa kuviendesha.Mabadiliko ya kuzuia waukraine kusafiri nje ya nchi na kupunguza umri wa kuingia jeshini vyote havijaweza kubadili mporomoko wa hamas za vita za jeshi hilo.

Israel army 'stretched' as fighting rages on multiple fronts

Unashaulije sasa?
 
Hivi uchunguzi wa kubutuliwa na kuuliwa kubwa lao kule maporini umefikia wapi? Yaani wametulia kana kwamba hakuna kilichotokea.
 
Wakati siri imefichuka kwamba pendekezo la kusimamisha vita limetoka Israel. Vile vile wafuatiliaji wa vita vya Gaza wametoa takwimu za kuonesha jeshi la nchi hiyo kwa sasa limechoka na lina upungufu mkubwa wa askari.

Kwa mujibu wa mtandao huo wa ufuatiliaji vita imeelezwa kuwa askari wote wakakamavu wa jeshi la Israel wapatao 15000 wako vitani wakisaidiwa na jeshi la akiba la wazee na wastaafu wapatao 26000.

Askari hao 15000 kati yao 10000 wamesambazwa maeneo mbali mbali ya Gaza.2500 waka kaskazini wakipambana na Hezbollah na 2500 wamebakishwa ukingo wa magharibi kupambana na vikundi vya kipalestina ambavyo kila kukicha vimekuwa vikipanda mori wa kupigana na jeshi hilo.

Imeelezwa zaidi kuwa hali hiyo inalifanya jeshi hilo kuchagua maeneo yenye umuhimu na upinzani zaidi kupiga lakini lazima kuachia baadae ,Kwa mfano kwa sasa idadi kubwa ya askari hao wamepelekwa Rafah mpakani na Misri lakini kwa kufanya hivyo inabidi kuachia maeneo ya kaskazini ya Gaza.

Tatizo la ukata wa nguvu kazi ni moja ya sababu ya Ukraine kushindwa kuhimili vishindo vya Urusi.Pamoja na kupokea vifaa vya kisasa vya kivita kutoka nchi marafiki lakini imewahi kuweka hadharani siri yake kwamba vifaa hivyo vikiwemo vifaru vya kizazi kipya vimekosa watu wa kuviendesha.Mabadiliko ya kuzuia waukraine kusafiri nje ya nchi na kupunguza umri wa kuingia jeshini vyote havijaweza kubadili mporomoko wa hamas za vita za jeshi hilo.

Israel army 'stretched' as fighting rages on multiple fronts

Limechoka kwa kuuwawa au limechoka kimwili mkuu. Unaajua kila raia wa Israel ni mjeda lakin kasoro orthodontist Jews. Yaan mpaka waarabu wa Israel ni wajeda na wako huko kutoa kichapo. Kwanini mnazungumzia vita kishabiki mzee. Wewe badala kuomba vita iishe unashadadia wa Israel wameiahiwa pumzi wakati kila siku watu wanalia vifo vya kifamilia.
 
Aiseee! kweli nchi za kiislam na waarabu waoga sana. Kumbe Israeli inawanajeshi 15,000 lakini wameshindwa kuwavamia na kuwamaliza. Hadi raisi wa Uturuki anasema waislamu waungane dhidi ya wanajeshi hao wachache.
 
Israel hana ubavu wa kumshinda Hamasi au Hezbullah
Huo utafiti wa waliopo maeneo husika unathibitisha hilo na ni onyo lilitolewa zamani na wafuatiliaji kadhaa ndani ya Marekani pia.
Hakuna maelezo mengine ya kutolewa kwa Israel kupiga na kutangaza wameshinda eneo fulani na baada ya muda mfupi wanahama na nafasi yao kuchukuliwa tena na Hamas.
Vita sehemu nyengine duniani ukisikia kikosi kimetangaza ushindi eneo wanalikalia na hawaondoki mpaka kwa mapigano mengine.Lakini IDF wanapiga kutoka angani na kuleta uharibifu halafu wanatangaza ushindi na kukimbia eneo.
 
Wakati siri imefichuka kwamba pendekezo la kusimamisha vita limetoka Israel. Vile vile wafuatiliaji wa vita vya Gaza wametoa takwimu za kuonesha jeshi la nchi hiyo kwa sasa limechoka na lina upungufu mkubwa wa askari.

Kwa mujibu wa mtandao huo wa ufuatiliaji vita imeelezwa kuwa askari wote wakakamavu wa jeshi la Israel wapatao 15000 wako vitani wakisaidiwa na jeshi la akiba la wazee na wastaafu wapatao 26000.

Askari hao 15000 kati yao 10000 wamesambazwa maeneo mbali mbali ya Gaza.2500 waka kaskazini wakipambana na Hezbollah na 2500 wamebakishwa ukingo wa magharibi kupambana na vikundi vya kipalestina ambavyo kila kukicha vimekuwa vikipanda mori wa kupigana na jeshi hilo.

Imeelezwa zaidi kuwa hali hiyo inalifanya jeshi hilo kuchagua maeneo yenye umuhimu na upinzani zaidi kupiga lakini lazima kuachia baadae ,Kwa mfano kwa sasa idadi kubwa ya askari hao wamepelekwa Rafah mpakani na Misri lakini kwa kufanya hivyo inabidi kuachia maeneo ya kaskazini ya Gaza.

Tatizo la ukata wa nguvu kazi ni moja ya sababu ya Ukraine kushindwa kuhimili vishindo vya Urusi.Pamoja na kupokea vifaa vya kisasa vya kivita kutoka nchi marafiki lakini imewahi kuweka hadharani siri yake kwamba vifaa hivyo vikiwemo vifaru vya kizazi kipya vimekosa watu wa kuviendesha.Mabadiliko ya kuzuia waukraine kusafiri nje ya nchi na kupunguza umri wa kuingia jeshini vyote havijaweza kubadili mporomoko wa hamas za vita za jeshi hilo.

Israel army 'stretched' as fighting rages on multiple fronts

Propaganda
 
Wakati siri imefichuka kwamba pendekezo la kusimamisha vita limetoka Israel. Vile vile wafuatiliaji wa vita vya Gaza wametoa takwimu za kuonesha jeshi la nchi hiyo kwa sasa limechoka na lina upungufu mkubwa wa askari.

Kwa mujibu wa mtandao huo wa ufuatiliaji vita imeelezwa kuwa askari wote wakakamavu wa jeshi la Israel wapatao 15000 wako vitani wakisaidiwa na jeshi la akiba la wazee na wastaafu wapatao 26000.

Askari hao 15000 kati yao 10000 wamesambazwa maeneo mbali mbali ya Gaza.2500 waka kaskazini wakipambana na Hezbollah na 2500 wamebakishwa ukingo wa magharibi kupambana na vikundi vya kipalestina ambavyo kila kukicha vimekuwa vikipanda mori wa kupigana na jeshi hilo.

Imeelezwa zaidi kuwa hali hiyo inalifanya jeshi hilo kuchagua maeneo yenye umuhimu na upinzani zaidi kupiga lakini lazima kuachia baadae ,Kwa mfano kwa sasa idadi kubwa ya askari hao wamepelekwa Rafah mpakani na Misri lakini kwa kufanya hivyo inabidi kuachia maeneo ya kaskazini ya Gaza.

Tatizo la ukata wa nguvu kazi ni moja ya sababu ya Ukraine kushindwa kuhimili vishindo vya Urusi.Pamoja na kupokea vifaa vya kisasa vya kivita kutoka nchi marafiki lakini imewahi kuweka hadharani siri yake kwamba vifaa hivyo vikiwemo vifaru vya kizazi kipya vimekosa watu wa kuviendesha.Mabadiliko ya kuzuia waukraine kusafiri nje ya nchi na kupunguza umri wa kuingia jeshini vyote havijaweza kubadili mporomoko wa hamas za vita za jeshi hilo.

Israel army 'stretched' as fighting rages on multiple fronts

Naona umempumzisha Malaria2
 
Back
Top Bottom