Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Dah waarabu wote wale wametulizwa na mtu ana jeshi la watu hata elf 50 hawafiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bada kuna ukungu hivyo wanausubiri uisheHivi uchunguzi wa kubutuliwa na kuuliwa kubwa lao kule maporini umefikia wapi? Yaani wametulia kana kwamba hakuna kilichotokea.
Kuna Ahmedinejad na spika wa bunge yeyote atakayepita Raisi alikuwa na huruma sana kwa Israel kuliko hao.Bada kuna ukungu hivyo wanausubiri uishe
Ahmednajad yupi huyu chakavu alishindwa enzi hizo ndo aweze leo ashakuwa zee kachoka?Kuna Ahmedinejad na spika wa bunge yeyote atakayepita Raisi alikuwa na huruma sana kwa Israel kuliko hao.
Tangu kuondoka kwa Ebrahim Raisi makundi ndani ya Iraq yameongeza kasi ya kurusha droni ndani ya Israel.
Sasa sijui kipi ni nafuu kwa watu wenye kibri dhidi ya wenzao.
Wanaweza wakafanya mashambulizi kwa kurusha makombora na mashambulizi ya anga.Siku mbili hizi hizi watapeleka moto halafu sote tutajiuliza huo ukata wa askari upo kweli?
Uwezo pekee wa kijeshi ambao umekuwa shida kwa wapalestina ni hizo ndege za kijeshi na mabomu ya kisasa kutoka US.ukiondoa hayo basi Israel katika mwezi wa mwanzo wa vita angekimbia uwanja wa vita.Wanaweza wakafanya mashambulizi kwa kurusha makombora na mashambulizi ya anga.
Ila kwa ground battle itakua ngumu.
Hatari sana hawa watuSiku mbili hizi hizi watapeleka moto halafu sote tutajiuliza huo ukata wa askari upo kweli?
TuwaombeeWanaweza wakafanya mashambulizi kwa kurusha makombora na mashambulizi ya anga.
Ila kwa ground battle itakua ngumu.
Kwa nini hao hamas wasiombe hizo ndege za kijeshi na mabomu ya kisasa toka kwa marafiki zao iran, russia, north korea, south africa, yemen, somalia, na ulimwengu wa waarab?Uwezo pekee wa kijeshi ambao umekuwa shida kwa wapalestina ni hizo ndege za kijeshi na mabomu ya kisasa kutoka US.ukiondoa hayo basi Israel katika mwezi wa mwanzo wa vita angekimbia uwanja wa vita.
Mpango wa wanaojifanya mabwana wakubwa wa kidunia wameshirikiana kuwanyima hivyo vitu.Kwa nini hao hamas wasiombe hizo ndege za kijeshi na mabomu ya kisasa toka kwa marafiki zao iran, russia, north korea, south africa, yemen, somalia, na ulimwengu wa waarab?
Yaan hata china, russia, north korea, iran wamewanyima hamas ndege na mabomu ya kisasa?Mpango wa wanaojifanya mabwana wakubwa wa kidunia wameshirikiana kuwanyima hivyo vitu.
Pamoja na hivyo wanapigana kwa njia za kiajabu sana na hwajashindwa.
Haki ya mtu haipoteiMwenye haki ni mwenye haki tu Israel iache ardhi za watu.
Tunakoleleka baada ya kuundwa kwa taifa la Palestina ushirikiano utaongezeka.
Hiyo labda ni Israel ya kule Maji Moto 🔥 Musoma.
Unasapoti watu kuuana lo vibaya hivooo!
Huu ubishi mnaofundishwa madrasa