Jeshi la Israel laanza kukumbwa na ukata wa askari mfano yaliyoikuta Ukraine. Ndio sababu wanashambulia na kuhama maeneo. Askari wote 15000 wametumika

SAWA mke wa mkuu wa majeshi
 
Kuna wanajeshi wa akiba lakin 3 walijiandikisha baada ya Oct 7 achilia mbali wale walio active kazini.
 
Kuna wanajeshi wa akiba lakin 3 walijiandikisha baada ya Oct 7 achikia mbali wale alio active kazini.
Ni kawaida vita vinapoanza kutokea watu kama misukule wakajiandikisha na kutaka wapelekwe mstari wa mbele.Baada ya muda wakijua walichokumbana nacho wenzao wote wanayeyuka.
Ukraine askari wa mwanzo waliokuwepo na hao misukule baada ya kufyekwa wote sasa wanakimbia mpaka Zelensky kachanganyikiwa.
 
Mpango wa wanaojifanya mabwana wakubwa wa kidunia wameshirikiana kuwanyima hivyo vitu.
Pamoja na hivyo wanapigana kwa njia za kiajabu sana na hwajashindwa.
Vidume vinapiga huku vinagonga CHAI! Hahahaha!.
 

Attachments

  • warfareanalysis_1280x720_20240604_232704.mp4
    3.5 MB
  • 20240604_232748.jpg
    230.6 KB · Views: 1
Kwa kweli Israel bila msaada wa Marekani angepotezwa kabisa pale na nahisi ameanza kuchoka mno ni hivyo Waisrael karibu wote hawanaga kukata tamaa na hawaamini kushindwa pia hawaamini ukweli bila wao kusema ukweli halisi kwenye uwanja wa medani
 
Kwa kweli Israel bila msaada wa Marekani angepotezwa kabisa pale na nahisi ameanza kuchoka mno ni hivyo Waisrael karibu wote hawanaga kukata tamaa na hawaamini kushindwa pia hawaamini ukweli bila wao kusema ukweli halisi kwenye uwanja wa medani
Hiki ulichoandika ndo kinamtesa Netanyahu. wanatafuta ushindi hata kaM a ni kupiga nuclear .sasa bila kujua,zama za kulinda stata zimeshaapita mambo y 6 day war ndo huwa wanawaduthia hiki kizazi ili na wao wapate hamasi lakin wapi
 
Hiki ulichoandika ndo kinamtesa Netanyahu. wanatafuta ushindi hata kaM a ni kupiga nuclear .sasa bila kujua,zama za kulinda stata zimeshaapita mambo y 6 day war ndo huwa wanawaduthia hiki kizazi ili na wao wapate hamasi lakin wapi
Kama kweli vita vya siku 6 viliwaumiza nchi kadhaa za kiarabu.Baada ya Hamas kuidhoofisha Israel wana nafasi nzuri kuiadhibu nchi hiyo na kuipiga na chini moja kwa moja.
 
Siku hizi Alwaz simuoni humu akiripoti kutoka Gaza! Au ndio wewe siku hizi unajiita Webabu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…