Jeshi la Israel lapiga picha wakiwa ndani ya jengo la Bunge Gaza

Jeshi la Israel lapiga picha wakiwa ndani ya jengo la Bunge Gaza

Wanaendelea na mchakato na lengo litafikia muda si mrefu.Btw pole kwa ban na karibu tena jukwaani.
Unanipa pole kwa ban kwani nalipwa mshahara useme baada ya kupigwa ban niliukosa au?
 
Kenge hao, hata kipindi kile cha Vita ya Ghuba, walisema America haitafua dafu kwa makombola ya scud ya Sadam,
Walisema hawataweza kumkamata Osama,
Sasa Gaza inachukuliwa, inakuwa makazi ya Jews, natamani kuwaona wabunge wa bunge LA Iran, waliokata mauno na kuserebuka October 7,Hamas walipovamia Israel.
Nitumie ile clip mkuu ya wabunge wa Iran
 
Umejazwa ujinga ukakujaa.

Watu wasiohusika hakuna aliyepigana nao, walitekwa ili wapalestina waliojazwa majela ya Israel kwa maelfu waachiwe.

Halafu kama haitoshi hao ndiyo imekuwa mtego wa kuwaingiza mazayuni wachezee kichapo mpaka Palestina waipate haki yao. Na mazayuni hapo wamingia kichwa kichwa, sasa hawana pakuytokea, wacha waingie kote wapiga picha za utalii, zitakuwa ukumbusho kwa wenzao, hao unafikiri wote watachomoka hapo walipojiingiza?


Au hilo hulijuwi wewe?
Al Saaf in the making.Mazayuninwalishamaliza kazi.Wiki ijayo wanaenda kusafisha Hizbullah.Kaa mkao wa kula.Mwaka huu si mzuri kwa magaidi
 
Hao wanajeshi ni makondoo waliopotea wanatafuta ushindi wa kijinga wa picture ili waonekane walifika Gaza [emoji1]

Kuna sehemu zingine Gaza ni km 0.6km kutumia njia ya bahari labda hata hilo bunge liko area za baharini ndio sababu wamefika, tuonyesheni mmefika Gaza city? Au hio Al Shifa Hospital mmeisha fika au bado?
Huna akili
 
Wanawapa kipigo wanawake na watoto kwa sababu ndicho wanacho weza.
Mkuu acha propaganda kama waarabu ambazo hazisaidii.
Unajua kwanini uongozi wa HAMA'S hautoi takwimu za wanajeshi wake waliokufa since October 07?????
Na unajua kwanini wanawake na watoto wanajikuta katikati ya mapigano????
 
Mkuu acha propaganda kama waarabu ambazo hazisaidii.
Unajua kwanini uongozi wa HAMA'S hautoi takwimu za wanajeshi wake waliokufa since October 07?????
Na unajua kwanini wanawake na watoto wanajikuta katikati ya mapigano????
Wangekuwa wanatoa hicho kipigo kwa Hamas mpaka sasa hivi kusingekuwa na vita na hamas ingekuwa imeangamizwa maana hamas ni kundi dogo sana ukilinganisha na nguvu alizo tumia kuishambulia gaza mpaka sasa, hii ina maana ya kuwa mashambulizi yake mengi hayawaathiri hamas bali raia wa kawaida.
 
Ila inashangaza asee eti Gaza ilikuwa na bunge. Basi hiyo miswada yote iliyokuwa inapitishwa ilikuwa ya kigaidi tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji106]
 
Wangekuwa wanatoa hicho kipigo kwa Hamas mpaka sasa hivi kusingekuwa na vita na hamas ingekuwa imeangamizwa maana hamas ni kundi dogo sana ukilinganisha na nguvu alizo tumia kuishambulia gaza mpaka sasa, hii ina maana ya kuwa mashambulizi yake mengi hayawaathiri hamas bali raia wa kawaida.
Mkuu hujanijibu swali.
Unajua kwanini hawatoi takwimu??
Nijibu kama unajua ndugu??
 
Back
Top Bottom