Jeshi la Israel laua magaidi 560 wa Hezbollah

Yesu ni myahudi na tunaliombea taifa teule la wakristo wenzetu Israel
 
Islael sio wakristo wenzio ...tena hawampendi yesu wala kumtambua.Na biblia hawatumii kule .Jitafakari
 
Naona mmeanzisha madaaksudi na huyo mleta mada mwenzako ili mje kuprove kwamba waisrael siyo wakristo.
 
Islael sio wakristo wenzio ...tena hawampendi yesu wala kumtambua.Na biblia hawatumii kule .Jitafakari
Tunalioombea TAIFA TEULE LA wakristo wenzetu Israel waendelee kufuta magaidi kwenye uso wa dunia
 

Jeshi lenyewe la askari wasenge waliowekewa papuchi ??


View: https://www.instagram.com/reel/C1sJUnZrzEq/?utm_source=ig_web_copy_link
 
Unajikuta mtu mzima kumbe we ndo litoto mbona we unawaunga mkono waarabu?
 
Hilo utajua mwenyewe sisi tunatambua wayahudi ni wakristo na yesu ni myahudi na tunaliombea taifa teule la Israel dhidi ya magaidi
Israel haijawahi kuwa ni taifa teule, hiyo mistari kwenye bibilia ilipachikwa ni LGBTQ countries ili Israel iungwe mkono otherwise hakuna taifa liitwalo Israel ni taifa bandi na muda umefika litafutika kabisa,

wewe ata ukitambua ni wenzako itakuwa ni kwa ujinga tu, wakiristo wenzako walioko Jerusalem wameuliwa kwenye vita hivi na wale wakiristo waliokuwa palestine makanisa yao yamegeuzwa vifusi na kuuliwa
 
Hata ukisemaje unakua unajisumbua tu tunaiunga mkono Israel na tunatambua kama ni wakristo wenzetu wanaofyeka magaidi sababu Israel ni taifa teule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…