Jeshi la Israel lavunja rekodi, Raia 13 wamefariki kwa kila wanamgambo 10, Ratio iliyozoeleka 90 kwa 10, Ni wapumbavu wanaoamini kuna Genocide !

Jeshi la Israel lavunja rekodi, Raia 13 wamefariki kwa kila wanamgambo 10, Ratio iliyozoeleka 90 kwa 10, Ni wapumbavu wanaoamini kuna Genocide !

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Vita inapotokea ratio ya wastani huwa ni raia 90 watafariki kwa kila mwanajeshi 10 wataouwawa vitani.

Israel imeshangaza ulimwengu wa vita kwa kuweza kuwa na ratio ndogo sana

Kufikia mwezi uliopita Wizara ya Afya ya Gaza imerekodi vifo elf 25 vilivyohakikishwa, Hamas wanasema kuna jumla ya vifo elf 32,600.

Israel ilikuwa imefanikiwa kuuwa wapambanaji wa Hamas elf 14 na kwa sasa kaongezeka mkuu wa Hamas kwenye mjumuiko huo.

Tuchukue tarakimu ya Hamas ili walau tuwe fair

Ni kwamba ukigawanya 32,600 kwa hamas elf 14 waliowawa kuna ratio ya 1.3 sawa na raia 13 kwa kila wanamgambo 10 wa hamas

1723576661026.png
 
Vita inapotokea ratio ya wastani huwa ni raia 90 watafariki kwa kila mwanajeshi 10 wataouwawa vitani.

Israel imeshangaza ulimwengu wa vita kwa kuweza kuwa na ratio ndogo sana

Kufikia mwezi uliopita Wizara ya Afya ya Gaza imerekodi vifo elf 25 vilivyohakikishwa, Hamas wanasema kuna jumla ya vifo elf 32,600.

Israel ilikuwa imefanikiwa kuuwa wapambanaji wa Hamas elf 14 na kwa sasa kaongezeka mkuu wa Hamas kwenye mjumuiko huo.

Tuchukue tarakimu ya Hamas ili walau tuwe fair

Ni kwamba ukigawanya 32,600 kwa hamas elf 14 waliowawa kuna ratio ya 1.3 sawa na raia 13 kwa kila wanamgambo 10 wa hamas

View attachment 3069161
Kumbuka pia hujawajumlisha magaidi wa Islamic jihadi waliouawa
 
Saa 9 HII Wewe kunja Goti umuombe MUNGU Muda huu wanasema mbingu zinakua zimefunguka ukiomba chochote Muda huu unatapa,

Ps: Muda huu ndio Muda ambao hata Wezi wakiiba huku wanamuomba Mungu hawakamatwi Muda huu walinzi wamelala wamechoka kukaa Macho
 
Saa 9 HII Wewe kunja Goti umuombe MUNGU Muda huu wanasema mbingu zinakua zimefunguka ukiomba chochote Muda huu unatapa,

Ps: Muda huu ndio Muda ambao hata Wezi wakiiba huku wanamuomba Mungu hawakamatwi Muda huu walinzi wamelala wamechoka kukaa Macho
Ndugu usidhani kila member huku yupo Tz. Wengine tupo Tel aviv
 
Uongo mtupu. Mazayuni ni waongo wakubwa duniani.
 
YESU ANAKUITA OKOKA UTAFUNGULIWA HATA USIYOYAONA WALA HAKUTAKUWA NA HADITHI
Mazayuni hawamjuwi wala hawamkubali Yesu, kumbuka hilo.

Mimi Muislam, namjuwa Yesu kuliko Mkristo yoyote yule.
 
Back
Top Bottom