Vita inapotokea ratio ya wastani huwa ni raia 90 watafariki kwa kila mwanajeshi 10 wataouwawa vitani.
Israel imeshangaza ulimwengu wa vita kwa kuweza kuwa na ratio ndogo sana
Kufikia mwezi uliopita Wizara ya Afya ya Gaza imerekodi vifo elf 25 vilivyohakikishwa, Hamas wanasema kuna jumla ya vifo elf 32,600.
Israel ilikuwa imefanikiwa kuuwa wapambanaji wa Hamas elf 14 na kwa sasa kaongezeka mkuu wa Hamas kwenye mjumuiko huo.
Tuchukue tarakimu ya Hamas ili walau tuwe fair
Ni kwamba ukigawanya 32,600 kwa hamas elf 14 waliowawa kuna ratio ya 1.3 sawa na raia 13 kwa kila wanamgambo 10 wa hamas
Israel imeshangaza ulimwengu wa vita kwa kuweza kuwa na ratio ndogo sana
Kufikia mwezi uliopita Wizara ya Afya ya Gaza imerekodi vifo elf 25 vilivyohakikishwa, Hamas wanasema kuna jumla ya vifo elf 32,600.
Israel ilikuwa imefanikiwa kuuwa wapambanaji wa Hamas elf 14 na kwa sasa kaongezeka mkuu wa Hamas kwenye mjumuiko huo.
Tuchukue tarakimu ya Hamas ili walau tuwe fair
Ni kwamba ukigawanya 32,600 kwa hamas elf 14 waliowawa kuna ratio ya 1.3 sawa na raia 13 kwa kila wanamgambo 10 wa hamas