Jeshi la Israel lavunja rekodi, Raia 13 wamefariki kwa kila wanamgambo 10, Ratio iliyozoeleka 90 kwa 10, Ni wapumbavu wanaoamini kuna Genocide !

Jeshi la Israel lavunja rekodi, Raia 13 wamefariki kwa kila wanamgambo 10, Ratio iliyozoeleka 90 kwa 10, Ni wapumbavu wanaoamini kuna Genocide !

Vita inapotokea ratio ya wastani huwa ni raia 90 watafariki kwa kila mwanajeshi 10 wataouwawa vitani.

Israel imeshangaza ulimwengu wa vita kwa kuweza kuwa na ratio ndogo sana

Kufikia mwezi uliopita Wizara ya Afya ya Gaza imerekodi vifo elf 25 vilivyohakikishwa, Hamas wanasema kuna jumla ya vifo elf 32,600.

Israel ilikuwa imefanikiwa kuuwa wapambanaji wa Hamas elf 14 na kwa sasa kaongezeka mkuu wa Hamas kwenye mjumuiko huo.

Tuchukue tarakimu ya Hamas ili walau tuwe fair

Ni kwamba ukigawanya 32,600 kwa hamas elf 14 waliowawa kuna ratio ya 1.3 sawa na raia 13 kwa kila wanamgambo 10 wa hamas

View attachment 3069161
Huu uharo mashoga peke yake ndiyo wanaamini.
 
Ndugu usidhani kila member huku yupo Tz. Wengine tupo Tel aviv

Unatutia wasiwasi utakuwa wewe ni punga kama uko kwenye mji huo


Is Tel Aviv the gay capital of the world?



1723602730048.jpeg
 
YESU ANAKUITA OKOKA UTAFUNGULIWA HATA USIYOYAONA WALA HAKUTAKUWA NA HADITHI

YESU HAKUHUSU WEWE MMATUMBI

Matthew 15:24 He answered

"I was sent only to the lost sheep of Israel":

Jesus said: "These twelve Jesus sent out with the following instructions: 'Do not go among the Gentiles or enter any town of the Samaritans. Go rather to the lost sheep of Israel.' (From the NIV Bible, Matthew 10:5-6)"
 
Uongo mtupu. Mazayuni ni waongo wakubwa duniani.
Mbaya zaidi wameshaaminiwa na taasisi kubwa kama Christians kuwa wasema ukweli hapo watafanya maovu yao bila kupigiwa kelele. Wale watoto wote wanaouawa utasema ni hamasi kweli
 
Vita inapotokea ratio ya wastani huwa ni raia 90 watafariki kwa kila mwanajeshi 10 wataouwawa vitani.

Israel imeshangaza ulimwengu wa vita kwa kuweza kuwa na ratio ndogo sana

Kufikia mwezi uliopita Wizara ya Afya ya Gaza imerekodi vifo elf 25 vilivyohakikishwa, Hamas wanasema kuna jumla ya vifo elf 32,600.

Israel ilikuwa imefanikiwa kuuwa wapambanaji wa Hamas elf 14 na kwa sasa kaongezeka mkuu wa Hamas kwenye mjumuiko huo.

Tuchukue tarakimu ya Hamas ili walau tuwe fair

Ni kwamba ukigawanya 32,600 kwa hamas elf 14 waliowawa kuna ratio ya 1.3 sawa na raia 13 kwa kila wanamgambo 10 wa hamas

View attachment 3069161
Sizani kama jina la uncle bright ni lako ebu aanza kujiita uncle fool
Hapo umezungumzia uhai wa mtu Alf mnaeka kwenye upuuzi wa ratio cjui asilimia ili kualalisha upumbavu unaofanyika
 
Mbaya zaidi wameshaaminiwa na taasisi kubwa kama Christians kuwa wasema ukweli hapo watafanya maovu yao bila kupigiwa kelele. Wale watoto wote wanaouawa utasema ni hamasi kweli
Christian wabongo na Africa tuh ndio hawajielewi
 
Maisha ya mwanadamu, hata angekuwa mmoja ni yenye thamani kubwa kwa kiasi kisichopimika kwa kigezo chochote kile. Ndiyo maana:

Tunalaani vikali ule uharamia uliofanywa na magaidi ya Hamas dhidi ya jamii ya Israel .

Lakini pia tunalaani mauaji hata ya mpalestina mmoja asiye na mkono wake ndani ya ugaidi ule wa Hamas uliotendwa dhidi ya Waisrael; sawa na tunavyoulaani utawala wa Rais Samia kukumbatia uovu unaofanywa na Jeshi la Polisi dhidi ya wananchi wasio na hatia, kwa kuwateka, kuwatesa, kuwaua na kuwapoteza.

Wapalestina walioshiriki uharamia dhidi ya Israel, kwa namna yoyote ile, kinachowapata ni halali yao, lakini maisha ya Wapalestina wasio na uovu wowote ule ni muhimu sana kulindwa.

Wapalestina siku watakapojitenga na mataifa gaidi ya kiarabu, wakarudi kwenye hekima, naamini wataishi kwa amani na ndugu zao Waisrael maana hawa ni ndugu wa karibu ambao uhasama wao unachochewa zaidi na mataifa ya Kiarabu, hasa Iran. Wapalestina wakijitenga na Iran, wakawa karibu na mataifa kama Saudia na Jordan, nina hakika huo mgogoro utaisha hata ndani ya mwaka mmoja.

Hofu kubwa ya Israel, kuwapa Wapalestina nchi ni kugeuzwa nchi hiyo kuwa makao ya magaidi yatakayokuwa tishio kwa usalama wa watu wake. Bila ya Iran, Wapalestina wapo tayari hata kuungana kikamilifu na kuwa Taifa moja na Israel, linalotambua na kuzingatia haki za wananchi wa jamii zote. Kabla ya ugaidi wa Hamas, maelfu ya Wapalestina, baadhi walikuwa wakiishi na kufanya kazi Israel, wengine walikuwa wakifanya kazi Israel na kurudi Gaza. Hawa wote sasa wamefukuzwa kwa kuhofia kuwa huenda baadhi yao wapo na kundi la kigaidi la Hamas.
 
Maisha ya mwanadamu, hata angekuwa mmoja ni yenye thamani kubwa kwa kiasi kisichopimika kwa kigezo chochote kile. Ndiyo maana:

Tunalaani vikali ule uharamia uliofanywa na magaidi ya Hamas dhidi ya jamii ya Israel .

Lakini pia tunalaani mauaji hata ya mpalestina mmoja asiye na mkono wake ndani ya ugaidi ule wa Hamas uliotendwa dhidi ya Waisrael; sawa na tunavyoulaani utawala wa Rais Samia kukumbatia uovu unaofanywa na Jeshi la Polisi dhidi ya wananchi wasio na hatia, kwa kuwateka, kuwatesa, kuwaua na kuwapoteza.

Wapalestina walioshiriki uharamia dhidi ya Israel, kwa namna yoyote ile, kinachowapata ni halali yao, lakini maisha ya Wapalestina wasio na uovu wowote ule ni muhimu sana kulindwa.

Wapalestina siku watakapojitenga na mataifa gaidi ya kiarabu, wakarudi kwenye hekima, naamini wataishi kwa amani na ndugu zao Waisrael maana hawa ni ndugu wa karibu ambao uhasama wao unachochewa zaidi na mataifa ya Kiarabu, hasa Iran. Wapalestina wakijitenga na Iran, wakawa karibu na mataifa kama Saudia na Jordan, nina hakika huo mgogoro utaisha hata ndani ya mwaka mmoja.

Hofu kubwa ya Israel, kuwapa Wapalestina nchi ni kugeuzwa nchi hiyo kuwa makao ya magaidi yatakayokuwa tishio kwa usalama wa watu wake. Bila ya Iran, Wapalestina wapo tayari hata kuungana kikamilifu na kuwa Taifa moja na Israel, linalotambua na kuzingatia haki za wananchi wa jamii zote. Kabla ya ugaidi wa Hamas, maelfu ya Wapalestina, baadhi walikuwa wakiishi na kufanya kazi Israel, wengine walikuwa wakifanya kazi Israel na kurudi Gaza. Hawa wote sasa wamefukuzwa kwa kuhofia kuwa huenda baadhi yao wapo na kundi la kigaidi la Hamas.

Wewe kama nani ?? LGBT ?? au LGBT + au LGBT+-/*%
 
Yoyote ❌
Yeyote ✅
Ulienda shuleni kusomea ujinga?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Watu wanaongea vya mana wewe unaleta somo la vidudu hapa.

Sa tofauti yake ni nini si ulisha fahamu au basi uonekane ulienda shule 😄
 
Vita inapotokea ratio ya wastani huwa ni raia 90 watafariki kwa kila mwanajeshi 10 wataouwawa vitani.

Israel imeshangaza ulimwengu wa vita kwa kuweza kuwa na ratio ndogo sana

Kufikia mwezi uliopita Wizara ya Afya ya Gaza imerekodi vifo elf 25 vilivyohakikishwa, Hamas wanasema kuna jumla ya vifo elf 32,600.

Israel ilikuwa imefanikiwa kuuwa wapambanaji wa Hamas elf 14 na kwa sasa kaongezeka mkuu wa Hamas kwenye mjumuiko huo.

Tuchukue tarakimu ya Hamas ili walau tuwe fair

Ni kwamba ukigawanya 32,600 kwa hamas elf 14 waliowawa kuna ratio ya 1.3 sawa na raia 13 kwa kila wanamgambo 10 wa hamas

View attachment 3069161
Israel katili sana, yaani yeye ni kuselect vichwa vya viongozi muhimu.

Eti kisa wanakwamisha makubaliano ya kusitisha vita.

Na huyu Sin War aliyechaguliwa kuiongoza Hamasi, wao wanamuita ni maiti inayotembea kwa sababu yupo kwenye target zao na watu washalipwa kuhangaika naye.
 
Maisha ya mwanadamu, hata angekuwa mmoja ni yenye thamani kubwa kwa kiasi kisichopimika kwa kigezo chochote kile. Ndiyo maana:

Tunalaani vikali ule uharamia uliofanywa na magaidi ya Hamas dhidi ya jamii ya Israel .

Lakini pia tunalaani mauaji hata ya mpalestina mmoja asiye na mkono wake ndani ya ugaidi ule wa Hamas uliotendwa dhidi ya Waisrael; sawa na tunavyoulaani utawala wa Rais Samia kukumbatia uovu unaofanywa na Jeshi la Polisi dhidi ya wananchi wasio na hatia, kwa kuwateka, kuwatesa, kuwaua na kuwapoteza.

Wapalestina walioshiriki uharamia dhidi ya Israel, kwa namna yoyote ile, kinachowapata ni halali yao, lakini maisha ya Wapalestina wasio na uovu wowote ule ni muhimu sana kulindwa.

Wapalestina siku watakapojitenga na mataifa gaidi ya kiarabu, wakarudi kwenye hekima, naamini wataishi kwa amani na ndugu zao Waisrael maana hawa ni ndugu wa karibu ambao uhasama wao unachochewa zaidi na mataifa ya Kiarabu, hasa Iran. Wapalestina wakijitenga na Iran, wakawa karibu na mataifa kama Saudia na Jordan, nina hakika huo mgogoro utaisha hata ndani ya mwaka mmoja.

Hofu kubwa ya Israel, kuwapa Wapalestina nchi ni kugeuzwa nchi hiyo kuwa makao ya magaidi yatakayokuwa tishio kwa usalama wa watu wake. Bila ya Iran, Wapalestina wapo tayari hata kuungana kikamilifu na kuwa Taifa moja na Israel, linalotambua na kuzingatia haki za wananchi wa jamii zote. Kabla ya ugaidi wa Hamas, maelfu ya Wapalestina, baadhi walikuwa wakiishi na kufanya kazi Israel, wengine walikuwa wakifanya kazi Israel na kurudi Gaza. Hawa wote sasa wamefukuzwa kwa kuhofia kuwa huenda baadhi yao wapo na kundi la kigaidi la Hamas.
Mkuu umechambua vizuri bila kuegemea angle yoyote.
 
Israel katili sana, yaani yeye ni kuselect vichwa vya viongozi muhimu.

Eti kisa wanakwamisha makubaliano ya kusitisha vita.

Na huyu Sin War aliyechaguliwa kuiongoza Hamasi, wao wanamuita ni maiti inayotembea kwa sababu yupo kwenye target zao na watu washalipwa kuhangaika naye.


mashoga wameanza kuolewa na farasi Israeli , Mabasha wamekuwa wachache ,

married with horse.jpeg
hali ndiyo hiyo
 
Back
Top Bottom