Kumbuka pia hujawajumlisha magaidi wa Islamic jihadi waliouawaVita inapotokea ratio ya wastani huwa ni raia 90 watafariki kwa kila mwanajeshi 10 wataouwawa vitani.
Israel imeshangaza ulimwengu wa vita kwa kuweza kuwa na ratio ndogo sana
Kufikia mwezi uliopita Wizara ya Afya ya Gaza imerekodi vifo elf 25 vilivyohakikishwa, Hamas wanasema kuna jumla ya vifo elf 32,600.
Israel ilikuwa imefanikiwa kuuwa wapambanaji wa Hamas elf 14 na kwa sasa kaongezeka mkuu wa Hamas kwenye mjumuiko huo.
Tuchukue tarakimu ya Hamas ili walau tuwe fair
Ni kwamba ukigawanya 32,600 kwa hamas elf 14 waliowawa kuna ratio ya 1.3 sawa na raia 13 kwa kila wanamgambo 10 wa hamas
View attachment 3069161
Kaswida kukosa kiingilio kumefanya muwe Wehu🤣.Unless uwe kichaa ndio utamini hayo.
Ndugu usidhani kila member huku yupo Tz. Wengine tupo Tel avivSaa 9 HII Wewe kunja Goti umuombe MUNGU Muda huu wanasema mbingu zinakua zimefunguka ukiomba chochote Muda huu unatapa,
Ps: Muda huu ndio Muda ambao hata Wezi wakiiba huku wanamuomba Mungu hawakamatwi Muda huu walinzi wamelala wamechoka kukaa Macho
Huu ujumbe si mwepesi hivoo... Take itNdugu usidhani kila member huku yupo Tz. Wengine tupo Tel aviv
WA KWELI HIZO TAKWIMU HATA MAARABU YAMEKUBALIANA NAZO. WE UNATAKA KUSEMA WAMEUA ZAIDI? 😁 SO WAMEJIPUNJA?Uongo mtupu. Mazayuni ni waongo wakubwa duniani.
Takwimu zako za ukweli zinasemaje?!Uongo mtupu. Mazayuni ni waongo wakubwa duniani.
Mahakama ya Kimataifa iliyo chini ya Umoja wa Mataifa imesema wanachofanya mazayuni ni "genocide", mauwaji ya kimbari.Takwimu zako ukweli zinasemaje?!
Hiv ww huna mume umri wote huo na kama unae inamana unaacha kulala kucoment jforums sio maadili hayo ya kiislam au ushapewa tarakaUongo mtupu. Mazayuni ni waongo wakubwa duniani.
Jibu mada, wachana na mimi.Hiv ww huna mume umri wote huo na kama unae inamana unaacha kulala kucoment jforums sio maadili hayo ya kiislam au ushapewa taraka
Haujui hawo raia wakikua nawo watakuwa magaidiMahakama ya Kimataifa iliyo chini ya Umoja wa Mataifa imesema wanachofanya mazayuni ni "genocide", mauwaji ya kimbari.
Hulijuwi hilo?
Hta mandela aliitwa gaidi na watawala garamu. Sioni ajabu Mpalestina akiitwa gaidi.Haujui hawo raia wakikua nawo watakuwa magaidi
Hta mandela aliitwa gaidi na watawala garamu. Sioni ajabu Mpalestina akiitwa gaidi.
Mmejazwa ujinga na umewaja
Mazayuni hawamjuwi wala hawamkubali Yesu, kumbuka hilo.YESU ANAKUITA OKOKA UTAFUNGULIWA HATA USIYOYAONA WALA HAKUTAKUWA NA HADITHI
Kwani Tel aviv na Tanzania muda ni tofauti?Ndugu usidhani kila member huku yupo Tz. Wengine tupo Tel aviv
Yoyote ❌Mazayuni hawamjuwi wala hawamkubali Yesu, kumbuka hilo.
Mimi Muislam, namjuwa Yesu kuliko Mkristo yoyote yule.