Jeshi la Israel limesema limefanya “shambulio la kiufundi” mji mkuu wa Lebanon, Beirut

Jeshi la Israel limesema limefanya “shambulio la kiufundi” mji mkuu wa Lebanon, Beirut

hata wakimuondoa Israel bado watapigana wenyewe
Sunni wataanza kupigana Vita ya Jihaad dhidi ya Shia na atakae wahi kufa atazawadiwa Wanawake 73 ambao hawajawahi kulala na Mwanamme.
 
Ila kama hii ahadi ya bikra huko kama ni kweli basi kuna kula bata sana huko
Ni uongo tu mkuu, sisi tuliowahi kwenda kule hatukuona kitu kama hicho ikabidi tujirudie zetu!
 
Hali ni mbaya sana Majeshi ya Israel yamelipua Kamandi kuu ya Hezbollah.Milipuko mikubwa imeutikisa mji wa kusini wa Beirut katika shambulio jipya la anga la Israel.

Mawingu mazito ya moshi yanaonekana yakipanda kutoka mji mkuu wa Lebanon, Beirut, baada ya milipuko kadhaa. Jeshi la Israel limesema limefanya “shambulio la kiufundi” kwenye makao makuu ya Hezbollah yaliyoko kusini mwa mji mkuu huo.

Katika taarifa iliyotangazwa kwenye televisheni, msemaji wa jeshi la Israel, Daniel Hagari, alisema “kituo cha amri kuu” kilikuwa kimejificha ndani ya maeneo ya raia.

Soma Pia: Israel yamuua Kamanda Mkuu wa operations za Hezblollah Jijini Beirut

Al Jazeera news

Thick clouds of smoke are rising from the Lebanese capital Beirut after multiple explosions. Israel’s military says it carried out a “precise strike” on the central headquarters of Hezbollah in the capital’s south.

In a televised statement, Israeli military spokesperson Daniel Hagari said the “central command centre” was embedded deep within civilian areas.
More soon.
The only mind blowing thing here is the fact that this argument is still used and people gobble it up.

  • 1947: UN votes for a 2 state solution, Arabs reject it and go to war - lose.
  • 1967: Egypt, Jordan Syria and Iraqi forces mobalize to surround Israel, threatning war for the destruction of Israel - lose.
  • 1973: Egypt and Syria attack Israel on their holiest day - lose
  • 1982: PLO executes terror attacks from Lebanon for more than half a decade while Lebanon do nothing to stop these attacks - Israel goes to war to defend their northern (internationally recognized) border.
  • 2000: Israel agrees to withdraw from Lebanon under UN resolution 425 which would "gurantee" Israel's safety from their northern border - Hezbollah waltz back in and bombs Israel.
  • 2005: Israel agrees to unilaterally withdraw from Gaza, forcibly evacuates their own settlements, a year later Hamas is elected for governmenta and number of rocket attack goes up from 150~ rockets in 2004, to 940~ in 2005.
  • 2006: After Hezbollah launches a major attack on Israel, 2nd Lebanon war starts and ends with UN resolution 1701 which AGAIN asks Israel to withdraw in return for Hezbollah leaving southern Lebanon. Hezbollah and Israel agree, Israel withdraws from Lebanon, Hezbollah doesn't leave southern Lebanon.
And here we are, in the year of our lord 2024, after Hamas, Hezbollah, Houthis and Iraqi militais declared war on Israel once again, all funded by Iran who wants Israel gone. and here we are again hearing the diplomats of these Arab countries "gurantee" Israel's safety in the UN.

Iran president puts on his smiling facade when he comes to New York saying that Iran has "no desire to escalate the region into war" while arming proxies around Israel all over the middle east.

Trust us bro! Just unilaterally withdraw one more time! we promise we'll stop attacking you! C'mon bro, why don't you give up strategic high grounds? we swear we wont use those to attack you again like we did for 75 years.
 
Back
Top Bottom