shehe ubwabwa kashaliwa kichwa huko watu washaanza kufanya sherehe wanashangiliaanzeni kuandaa msiba shehe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shehe ubwabwa kashaliwa kichwa huko watu washaanza kufanya sherehe wanashangiliaanzeni kuandaa msiba shehe
Kujifariji napo ni jambo jemaSubirini huko chemical ya Haifa atajavyo fumuliwa weka akili si chini ya watu 500,000 watakufa.
We hizo story za kuandaa lodge kwaaji ya nyie kwenda kufanya ngono na kulewa pombe unaziamin bro?Nchi gani hiyo ta ahadi? Hamuoni nyie mnasoma vitabu vinavyo wapotesha. Mussa alitoka Misri kwenda Saud Arabia au Yemen. Alipita Red sea sa Israel kuna Red Sea? We ngojea tu ukifa ndio utajua Paulo kawauza kweli. Kaburi ndio mtihani wa mwanzo usidhani utalala pale usingizi.
Kwan yeye haez jisemea?Hezbollah wamesema Hassan Nasra Allah yupo safe
Hata Quran haiwatambui hao wapalestinaKwani nani gaidi pale. Nafikiri Israel ndiyo Gaidi namba moja. Wale Palestine wanapigania ardhi yao ambayo inakaliwa kimabavu na magaidi Israel. 🤔
Uk...swahiba wake anafanya yake hapo beiruthivi kwanini UK ipo kimya sana kwenye hili sakata
Dah...walkuwa wanaiita mikopo nafuu...sasa imewashindaAfrica wanaomba kufutiwa madeni na wazungu
Wazee wa kujifarijiSubirini huko chemical ya Haifa atajavyo fumuliwa weka akili si chini ya watu 500,000 watakufa.
Wana subiri taarifa rasmi ya kifo cha Bi NasrahMkuu wanashangilia nini?!
Vita vya k**snge anapigwa mmoja tu. Raha ya kupigana ni piga nikupige. Kama urusi na ukraine. Hii vita inaboa. Vitagani hadi makamanda wanakua soft target kama raia. .. umoja wa mataifa wakomeshe hii vita.Hali ni mbaya sana Majeshi ya Israel yamelipua Kamandi kuu ya Hezbollah.Milipuko mikubwa imeutikisa mji wa kusini wa Beirut katika shambulio jipya la anga la Israel.
Mawingu mazito ya moshi yanaonekana yakipanda kutoka mji mkuu wa Lebanon, Beirut, baada ya milipuko kadhaa. Jeshi la Israel limesema limefanya “shambulio la kiufundi” kwenye makao makuu ya Hezbollah yaliyoko kusini mwa mji mkuu huo.
Katika taarifa iliyotangazwa kwenye televisheni, msemaji wa jeshi la Israel, Daniel Hagari, alisema “kituo cha amri kuu” kilikuwa kimejificha ndani ya maeneo ya raia.
Soma Pia: Israel yamuua Kamanda Mkuu wa operations za Hezblollah Jijini Beirut
Al Jazeera news
Thick clouds of smoke are rising from the Lebanese capital Beirut after multiple explosions. Israel’s military says it carried out a “precise strike” on the central headquarters of Hezbollah in the capital’s south.
In a televised statement, Israeli military spokesperson Daniel Hagari said the “central command centre” was embedded deep within civilian areas.
More soon.
Mshangazi huoWana subiri taarifa rasmi ya kifo cha Bi Nasrah
Katika mistake kubwa aliyofanya Sir God kwetu wanadamu ni kuruhusu kuzaliwa kwa Yule.mme wa Aisha(6).Nadhani Mwenyezi Mungu huwa anawashangaa sana wanadamu.
Watu wanapambana utadhani hii dunia wanaishi milele.
Ila hapo middle east kuna watu watata Sana.
Pale hata wakimuondoa Israel bado watapigana wenyewe Kwa wenyewe.
Mfano Sudan wote ni dini moja,ila ukiangalia wale makamanda wanavyopambana kutaka madaraka huku watu wanakufa na wengine kukimbia nchi yao unastaajabu sana.
Ngoja tuone mwishowake utakuaje.
Ila ningekuwa na uwezo kuna kizazi na ukanda fulani ningeuondoa kabisa huku Duniani
Hawawezi komesha kwani wajukuu wa allah wanatakiwa wafanywe hivi wafanywavyo.Vita vya k**snge anapigwa mmoja tu. Raha ya kupigana ni piga nikupige. Kama urusi na ukraine. Hii vita inaboa. Vitagani hadi makamanda wanakua soft target kama raia. .. umoja wa mataifa wakomeshe hii vita.
Sasa Hezbullah nao wanapigania nini?Kwani nani gaidi pale. Nafikiri Israel ndiyo Gaidi namba moja. Wale Palestine wanapigania ardhi yao ambayo inakaliwa kimabavu na magaidi Israel. 🤔
Kwenye utalii hako ni kaugomvi tu bar walevi kadhaa wameshindwa kuelewanaSioni sababu ya msingi ya kupigana (kuuana ) hapa duniani wakati tumekuja kutalii tu kwa muda kidogo kisha turejee tulikotoka.
Broda vita inapiganwa mezan kabla ya front. Hawa kenge walifikir wakishakuwa na makombora wamemaliza. Hicho Israel alichowafanyia ni kama kuwapiga mande au kuwabaka. Kwanza kaingilia mawasiliano yao yote kujua mipango yao kisha kulipua zile pages ambao ni wapiganaji wao tatu kaua viongoz karibu wote ile chen of commanding so wamebakiwa na mavyuma hawajui waanzie wapi maana hakuna wa kutoa order. Hakuna simu kwamba piga sasa au pale ni mpiganaji mwenyewe akiwa front apige lakin hakuna wa kutoa order. Sasa kila mtu anaokoa maisha yake.yani hawa hezbollah ni wajinga sana mimi ningewaona wajanja kama wangejuandaa na makombors au airdfence za kupambana na ndege. za islael tofauti na hapo naona wamecheza karata chafuu kwani wataoumia sana. wamekurupuka sasa ndege za islael zinajipigia na kusepaa
Nchi gani hiyo ta ahadi? Hamuoni nyie mnasoma vitabu vinavyo wapotesha. Mussa alitoka Misri kwenda Saud Arabia au Yemen. Alipita Red sea sa Israel kuna Red Sea? We ngojea tu ukifa ndio utajua Paulo kawauza kweli. Kaburi ndio mtihani wa mwanzo usidhani utalala pale usingizi.
Kuna wakati mnakuwa kama mhamnazo, kwa hiyo Red sea inapakana na Egypt?Nchi gani hiyo ta ahadi? Hamuoni nyie mnasoma vitabu vinavyo wapotesha. Mussa alitoka Misri kwenda Saud Arabia au Yemen. Alipita Red sea sa Israel kuna Red Sea? We ngojea tu ukifa ndio utajua Paulo kawauza kweli. Kaburi ndio mtihani wa mwanzo usidhani utalala pale usingizi.
Nchi gani hiyo ta ahadi? Hamuoni nyie mnasoma vitabu vinavyo wapotesha. Mussa alitoka Misri kwenda Saud Arabia au Yemen. Alipita Red sea sa Israel kuna Red Sea? We ngojea tu ukifa ndio utajua Paulo kawauza kweli. Kaburi ndio mtihani wa mwanzo usidhani utalala pale usingizi.
Hii avatar yako alikua anaitumia mwanangu Bichwa komwe au umebadili jina?Vita vya k**snge anapigwa mmoja tu. Raha ya kupigana ni piga nikupige. Kama urusi na ukraine. Hii vita inaboa. Vitagani hadi makamanda wanakua soft target kama raia. .. umoja wa mataifa wakomeshe hii vita.
God Bless Israel