Jeshi la Israel limesema limefanya “shambulio la kiufundi” mji mkuu wa Lebanon, Beirut

Jeshi la Israel limesema limefanya “shambulio la kiufundi” mji mkuu wa Lebanon, Beirut

Kwani nani gaidi pale. Nafikiri Israel ndiyo Gaidi namba moja. Wale Palestine wanapigania ardhi yao ambayo inakaliwa kimabavu na magaidi Israel. 🤔
Kasome historia wewe au umedanganywa Msikitini? Hao kujiita Wapalestina ni baada ya Arafat kuanzisha chama chake cha Ugaidi PLO. Kabla ya hapo waliishi na Wayahudi ila wakawa wanawanyanyapaa na kuanza kuwaua kisiri mfano kule upande wa Jordan waliwateketeza wayahudi wote...

Arab hao walihamia kama vijakazi tu wakaanza kuzaliana kama wapemba then wanajidai ni kwao chuki ndio zimewafikisha sasa kutaka kuwaangamiza wayahudi na hawatoweza kamwe
 
Huku kujifariji kwingine duuh. Watu wafe idadi gani ndio mkubali waarabu wanateketea, na majumba yanasambaratishwa ? Na Viongozi wao wanapukitika.
Jibu swali acha kuwa mpumbavu kama huna jibu kaa kimya sio kuonesha ujinga wako
 
Israel imewasaidia sana Watu wa Lebanon, Syria, Iraq na Yemen kama Nashrallah amekufa Hezbollah imefanya mambo mabaya sana kwa Waarabu
Lete ushahidi wa Hizbollah kuwafanyia waarabu ubaya.
Nakumbuka nilikuomba ushahidi haukurudi tena.
 
Hii inanipa funzo kuwa dunia ni uwanja wa unafiki....ukipata matatizo waliokupamba kimyaa...
China katuliaa..Iran anasemea chumban....Africa aaaaah hawajui kabisa
Africa wanaomba kufutiwa madeni na wazungu
 
Alienda nchi ya ahadi
Nchi gani hiyo ta ahadi? Hamuoni nyie mnasoma vitabu vinavyo wapotesha. Mussa alitoka Misri kwenda Saud Arabia au Yemen. Alipita Red sea sa Israel kuna Red Sea? We ngojea tu ukifa ndio utajua Paulo kawauza kweli. Kaburi ndio mtihani wa mwanzo usidhani utalala pale usingizi.
 
Nchi gani hiyo ta ahadi? Hamuoni nyie mnasoma vitabu vinavyo wapotesha. Mussa alitoka Misri kwenda Saud Arabia au Yemen. Alipita Red sea sa Israel kuna Red Sea? We ngojea tu ukifa ndio utajua Paulo kawauza kweli. Kaburi ndio mtihani wa mwanzo usidhani utalala pale usingizi.
Wewe ulishakufa ukafufuka mpaka ujue mambo ya kaburini?!
 
Back
Top Bottom