Jeshi la Israel limesema limefanya “shambulio la kiufundi” mji mkuu wa Lebanon, Beirut

Jeshi la Israel limesema limefanya “shambulio la kiufundi” mji mkuu wa Lebanon, Beirut

Ila ukiangalia jinsi viongozi wa juu wa Hizbullah wanavyouliwa na Israel huyo Hassan Nasraillah kama Leo amenusurika basi siku zake za mwisho za kuishi hapa duniani haziko mbali
 
Ila ukiangalia jinsi viongozi wa juu wa Hizbullah wanavyouliwa na Israel huyo Hassan Nasraillah kama Leo amenusurika basi siku zake za mwisho za kuishi hapa duniani haziko mbali
Netanyahu mwenyewe siku zake haziko mbali,ana kiharusi,kifo chake kitakua cha mateso
 
Hali ni mbaya sana Majeshi ya Israel yamelipua Kamandi kuu ya Hezbollah.Milipuko mikubwa imeutikisa mji wa kusini wa Beirut katika shambulio jipya la anga la Israel.

Mawingu mazito ya moshi yanaonekana yakipanda kutoka mji mkuu wa Lebanon, Beirut, baada ya milipuko kadhaa. Jeshi la Israel limesema limefanya “shambulio la kiufundi” kwenye makao makuu ya Hezbollah yaliyoko kusini mwa mji mkuu huo.

Katika taarifa iliyotangazwa kwenye televisheni, msemaji wa jeshi la Israel, Daniel Hagari, alisema “kituo cha amri kuu” kilikuwa kimejificha ndani ya maeneo ya raia.

Soma Pia: Israel yamuua Kamanda Mkuu wa operations za Hezblollah Jijini Beirut

Al Jazeera news

Thick clouds of smoke are rising from the Lebanese capital Beirut after multiple explosions. Israel’s military says it carried out a “precise strike” on the central headquarters of Hezbollah in the capital’s south.

In a televised statement, Israeli military spokesperson Daniel Hagari said the “central command centre” was embedded deep within civilian areas.
More soon.
Iran mafala sana, Hezbollah wamezidiwa wakawaomba watume jeshi liwasaidie kupambana kama walivyowaahidi, yeye anawaambia "hao mnawaweza kabisa bila hata sisi kuja, wakija wafyatulieni zile bunduki tulizowapeni, zifyatueni kama tulivyowafundisha, assalaam alaykum"😅
 
Kasome historia wewe au umedanganywa Msikitini? Hao kujiita Wapalestina ni baada ya Arafat kuanzisha chama chake cha Ugaidi PLO. Kabla ya hapo waliishi na Wayahudi ila wakawa wanawanyanyapaa na kuanza kuwaua kisiri mfano kule upande wa Jordan waliwateketeza wayahudi wote...

Arab hao walihamia kama vijakazi tu wakaanza kuzaliana kama wapemba then wanajidai ni kwao chuki ndio zimewafikisha sasa kutaka kuwaangamiza wayahudi na hawatoweza kamwe
How long did Britain rule Palestine?


roughly thirty years

The British rule over Palestine lasted roughly thirty years, from 1917 until 1948. In a country that has three thousand years of recorded history, thirty years is a tiny fraction. If we conceive of three thousand years on a scale of one day, the period of British rule takes barely eight minutes.7 Feb 2013
1727467942917.png

Home › articles

Palestine

 
Iran mafala sana, Hezbollah wamezidiwa wakawaomba watume jeshi liwasaidie kupambana kama walivyowaahidi, yeye anawaambia "hao mnawaweza kabisa bila hata sisi kuja, wakija wafyatulieni zile bunduki tulizowapeni, zifyatueni kama tulivyowafundisha, assalaam alaykum"😅
😂😂😂🤣
 
Babu yako ndio aliwapa? We jiulize swali kuna bahari kati ya Egypt na Israel? Mussa alivuka bahari alienda wapi?
Babu yake Allah maana ameandika kwenye Quran

Surah Al-Ma'idah - 20-26​


Hivi babu Allah ana Miaka Mingapi?
 
Iran mafala sana, Hezbollah wamezidiwa wakawaomba watume jeshi liwasaidie kupambana kama walivyowaahidi, yeye anawaambia "hao mnawaweza kabisa bila hata sisi kuja, wakija wafyatulieni zile bunduki tulizowapeni, zifyatueni kama tulivyowafundisha, assalaam alaykum"😅
We jamaaaaaaaa
 
Bomu la POUND 2000 lenye uwezo wa kuvunja mahandaki na kubomoa milima limepigwa muda huu hapo makao makuu ya Hezbollah na weapon LAB imeteketezwa yote..
Inasemekana kiongozi wa Hezbollah NASRALLAH alikuwemo ndani ya jengo Hilo, hii ni kwa mara ya Kwanza kwa Israel kupiga kwa bomu lenye uzito mkubwa
Naskia huo mlio wake ni WA kuweka mbali na watoto kabisaa
 
Nchi gani hiyo ta ahadi? Hamuoni nyie mnasoma vitabu vinavyo wapotesha. Mussa alitoka Misri kwenda Saud Arabia au Yemen. Alipita Red sea sa Israel kuna Red Sea? We ngojea tu ukifa ndio utajua Paulo kawauza kweli. Kaburi ndio mtihani wa mwanzo usidhani utalala pale usingizi.
Quran imeandikaje kwani? au Ndio yale Dunia imebebwa na Nyangumi mgongoni hahahaha Allah ni comedian sana
 
Ukisikia "nakuweka kiporo" hii ndio maana yake sasa! Baada ya wayahudi kumalizana na Hamas wamewaludia hizbullah. Ndio maana kipindi kile nilikua najiuliza mbona hizbullah wanawalushia marokect waizrael lkn hawajibu???? Ebanaeee kumbe kiporo!!!!
Wakitoka hapo wanaenda Yemen
 
Hakuna comedian kama yule 1=3 😄
Aliyesema kuwa Jesus ni 1=3 Jesus is 1 Messenger of Allah in human form, 2 Word of Allah, 3 Spirit of Allah proceeding

Hahahaha

Surah An-Nisa - 171​


Yaani anakataa 3 and anasema 3.

Tizama Aljazeera yenu Israel anaendelea kutoa kichapo alipotoa tangazo raia wahame haraka Dahiyah

View: https://x.com/AvichayAdraee/status/1839758471388115330?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E1839758471388115330%7Ctwgr%5E270be9426c16461aa037d502d27fa164f03810c3%7Ctwcon%5Es1_c10&ref_url=https%3A%2F%2Fwww.timesofisrael.com%2Fliveblog_entry%2Fidf-calls-on-lebanese-civilians-to-move-away-from-several-sites-in-hezbollah-bastion%2F
 
Back
Top Bottom