Jeshi la Israel limesema limefanya “shambulio la kiufundi” mji mkuu wa Lebanon, Beirut

Jeshi la Israel limesema limefanya “shambulio la kiufundi” mji mkuu wa Lebanon, Beirut

Hali ni mbaya sana Majeshi ya Israel yamelipua Kamandi kuu ya Hezbollah.Milipuko mikubwa imeutikisa mji wa kusini wa Beirut katika shambulio jipya la anga la Israel.

Mawingu mazito ya moshi yanaonekana yakipanda kutoka mji mkuu wa Lebanon, Beirut, baada ya milipuko kadhaa. Jeshi la Israel limesema limefanya “shambulio la kiufundi” kwenye makao makuu ya Hezbollah yaliyoko kusini mwa mji mkuu huo.

Katika taarifa iliyotangazwa kwenye televisheni, msemaji wa jeshi la Israel, Daniel Hagari, alisema “kituo cha amri kuu” kilikuwa kimejificha ndani ya maeneo ya raia.

Soma Pia: Israel yamuua Kamanda Mkuu wa operations za Hezblollah Jijini Beirut

Al Jazeera news

Thick clouds of smoke are rising from the Lebanese capital Beirut after multiple explosions. Israel’s military says it carried out a “precise strike” on the central headquarters of Hezbollah in the capital’s south.

In a televised statement, Israeli military spokesperson Daniel Hagari said the “central command centre” was embedded deep within civilian areas.
More soon.
Webabu Adiosamigo niliwaambia ni Suala la muda tu
 
Sioni sababu ya msingi ya kupigana (kuuana ) hapa duniani wakati tumekuja kutalii tu kwa muda kidogo kisha turejee tulikotoka.
Nadhani Mwenyezi Mungu huwa anawashangaa sana wanadamu.
Watu wanapambana utadhani hii dunia wanaishi milele.
Ila hapo middle east kuna watu watata Sana.
Pale hata wakimuondoa Israel bado watapigana wenyewe Kwa wenyewe.
Mfano Sudan wote ni dini moja,ila ukiangalia wale makamanda wanavyopambana kutaka madaraka huku watu wanakufa na wengine kukimbia nchi yao unastaajabu sana.
Ngoja tuone mwishowake utakuaje.
Ila ningekuwa na uwezo kuna kizazi na ukanda fulani ningeuondoa kabisa huku Duniani.
 
Sioni sababu ya msingi ya kupigana (kuuana ) hapa duniani wakati tumekuja kutalii tu kwa muda kidogo kisha turejee tulikotoka.
Nadhani Mwenyezi Mungu huwa anawashangaa sana wanadamu.
Watu wanapambana utadhani hii dunia wanaishi milele.
Ila hapo middle east kuna watu watata Sana.
Pale hata wakimuondoa Israel bado watapigana wenyewe Kwa wenyewe.
Mfano Sudan wote ni dini moja,ila ukiangalia wale makamanda wanavyopambana kutaka madaraka huku watu wanakufa na wengine kukimbia nchi yao unastaajabu sana.
Ngoja tuone mwishowake utakuaje.
Ila ningekuwa na uwezo kuna kizazi na ukanda fulani ningeuondoa kabisa huku Duniani
 
Hali ni mbaya sana Majeshi ya Israel yamelipua Kamandi kuu ya Hezbollah.Milipuko mikubwa imeutikisa mji wa kusini wa Beirut katika shambulio jipya la anga la Israel.

Mawingu mazito ya moshi yanaonekana yakipanda kutoka mji mkuu wa Lebanon, Beirut, baada ya milipuko kadhaa. Jeshi la Israel limesema limefanya “shambulio la kiufundi” kwenye makao makuu ya Hezbollah yaliyoko kusini mwa mji mkuu huo.

Katika taarifa iliyotangazwa kwenye televisheni, msemaji wa jeshi la Israel, Daniel Hagari, alisema “kituo cha amri kuu” kilikuwa kimejificha ndani ya maeneo ya raia.

Soma Pia: Israel yamuua Kamanda Mkuu wa operations za Hezblollah Jijini Beirut

Al Jazeera news

Thick clouds of smoke are rising from the Lebanese capital Beirut after multiple explosions. Israel’s military says it carried out a “precise strike” on the central headquarters of Hezbollah in the capital’s south.

In a televised statement, Israeli military spokesperson Daniel Hagari said the “central command centre” was embedded deep within civilian areas.
More soon.
Nasrullah kaliwa kichwa
 
Baada ya shambulio hili NETANYAU amempigia simu waziri wa ulinzi akimwambia aongeze mashambulizi makali zaidi(NETANYAU ni zaidi ya chizi).

Kama kawaida wakazi wa vitongoji vya kaserwan,kahala,Aley,Jbeil na Tripoli wamepewa SAA moja ya kujiandaa kuhama kwenye nyumba zao na kwenda wilaya nyingine
 
Hali ni mbaya sana Majeshi ya Israel yamelipua Kamandi kuu ya Hezbollah.Milipuko mikubwa imeutikisa mji wa kusini wa Beirut katika shambulio jipya la anga la Israel.

Mawingu mazito ya moshi yanaonekana yakipanda kutoka mji mkuu wa Lebanon, Beirut, baada ya milipuko kadhaa. Jeshi la Israel limesema limefanya “shambulio la kiufundi” kwenye makao makuu ya Hezbollah yaliyoko kusini mwa mji mkuu huo.

Katika taarifa iliyotangazwa kwenye televisheni, msemaji wa jeshi la Israel, Daniel Hagari, alisema “kituo cha amri kuu” kilikuwa kimejificha ndani ya maeneo ya raia.

Soma Pia: Israel yamuua Kamanda Mkuu wa operations za Hezblollah Jijini Beirut

Al Jazeera news

Thick clouds of smoke are rising from the Lebanese capital Beirut after multiple explosions. Israel’s military says it carried out a “precise strike” on the central headquarters of Hezbollah in the capital’s south.

In a televised statement, Israeli military spokesperson Daniel Hagari said the “central command centre” was embedded deep within civilian areas.
More soon.
All the best 🇮🇱
 
Back
Top Bottom