Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Israel amezungukwa na magaidi pandę zote na wote wana uchu wa kumuangamiza.Kuishi kwa kupigana kila siku ni sawa tu na kusema mmelaniwa
Webabu Adiosamigo niliwaambia ni Suala la muda tuHali ni mbaya sana Majeshi ya Israel yamelipua Kamandi kuu ya Hezbollah.Milipuko mikubwa imeutikisa mji wa kusini wa Beirut katika shambulio jipya la anga la Israel.
Mawingu mazito ya moshi yanaonekana yakipanda kutoka mji mkuu wa Lebanon, Beirut, baada ya milipuko kadhaa. Jeshi la Israel limesema limefanya “shambulio la kiufundi” kwenye makao makuu ya Hezbollah yaliyoko kusini mwa mji mkuu huo.
Katika taarifa iliyotangazwa kwenye televisheni, msemaji wa jeshi la Israel, Daniel Hagari, alisema “kituo cha amri kuu” kilikuwa kimejificha ndani ya maeneo ya raia.
Soma Pia: Israel yamuua Kamanda Mkuu wa operations za Hezblollah Jijini Beirut
Al Jazeera news
Thick clouds of smoke are rising from the Lebanese capital Beirut after multiple explosions. Israel’s military says it carried out a “precise strike” on the central headquarters of Hezbollah in the capital’s south.
In a televised statement, Israeli military spokesperson Daniel Hagari said the “central command centre” was embedded deep within civilian areas.
More soon.
Nadhani Mwenyezi Mungu huwa anawashangaa sana wanadamu.Sioni sababu ya msingi ya kupigana (kuuana ) hapa duniani wakati tumekuja kutalii tu kwa muda kidogo kisha turejee tulikotoka.
Nadhani Mwenyezi Mungu huwa anawashangaa sana wanadamu.Sioni sababu ya msingi ya kupigana (kuuana ) hapa duniani wakati tumekuja kutalii tu kwa muda kidogo kisha turejee tulikotoka.
Nasrullah kaliwa kichwaHali ni mbaya sana Majeshi ya Israel yamelipua Kamandi kuu ya Hezbollah.Milipuko mikubwa imeutikisa mji wa kusini wa Beirut katika shambulio jipya la anga la Israel.
Mawingu mazito ya moshi yanaonekana yakipanda kutoka mji mkuu wa Lebanon, Beirut, baada ya milipuko kadhaa. Jeshi la Israel limesema limefanya “shambulio la kiufundi” kwenye makao makuu ya Hezbollah yaliyoko kusini mwa mji mkuu huo.
Katika taarifa iliyotangazwa kwenye televisheni, msemaji wa jeshi la Israel, Daniel Hagari, alisema “kituo cha amri kuu” kilikuwa kimejificha ndani ya maeneo ya raia.
Soma Pia: Israel yamuua Kamanda Mkuu wa operations za Hezblollah Jijini Beirut
Al Jazeera news
Thick clouds of smoke are rising from the Lebanese capital Beirut after multiple explosions. Israel’s military says it carried out a “precise strike” on the central headquarters of Hezbollah in the capital’s south.
In a televised statement, Israeli military spokesperson Daniel Hagari said the “central command centre” was embedded deep within civilian areas.
More soon.
All the best 🇮🇱Hali ni mbaya sana Majeshi ya Israel yamelipua Kamandi kuu ya Hezbollah.Milipuko mikubwa imeutikisa mji wa kusini wa Beirut katika shambulio jipya la anga la Israel.
Mawingu mazito ya moshi yanaonekana yakipanda kutoka mji mkuu wa Lebanon, Beirut, baada ya milipuko kadhaa. Jeshi la Israel limesema limefanya “shambulio la kiufundi” kwenye makao makuu ya Hezbollah yaliyoko kusini mwa mji mkuu huo.
Katika taarifa iliyotangazwa kwenye televisheni, msemaji wa jeshi la Israel, Daniel Hagari, alisema “kituo cha amri kuu” kilikuwa kimejificha ndani ya maeneo ya raia.
Soma Pia: Israel yamuua Kamanda Mkuu wa operations za Hezblollah Jijini Beirut
Al Jazeera news
Thick clouds of smoke are rising from the Lebanese capital Beirut after multiple explosions. Israel’s military says it carried out a “precise strike” on the central headquarters of Hezbollah in the capital’s south.
In a televised statement, Israeli military spokesperson Daniel Hagari said the “central command centre” was embedded deep within civilian areas.
More soon.
Mwenye mdomo mkubwa maana kila siku wanajisifia na kutaka vita sasa wamevipata vita hahahahaAnanyukwa mmoja 🐼
Ajabu wanataka maridhiano baada ya kuona mziki ni mnene hawauweziIsrael wamewavumilia sana Hizbullah imagine Toka 0ct 7 jamaa wanarusha rockets kazi Yako ni kujilinda tu, wameutafuta kwa nguvu sana huu ugomvi ngoja tuone mwisho wao utakuwaje.
Mwamba Netanyahu akitoa speech UN.
Kiboko ya magaidi
View: https://youtube.com/shorts/zGsqsOqxxM4?si=z-Q_g6jquuMZeFXN
Inasemekana kashapelekwaMkuu wa Magaidi ya Hezbola makazi yake yameshambuliwa na "Bunker Busters" target ilikuwa ni yule Ayatolah wao lakini kuna habari zinasema kaponea chupu chupu lakini kilemba kinawaka moto.
Mwanangu acha chuki binafsi kwa kupunguza idadi ya Bikira kwa makusudi, ipo wazi ni vyuma 72 vyenye Bikira.R.I.P Hassan Nasrallah
Israel checking if Nasrallah was at Hezbollah’s Beirut HQ at time of strike
Kama Mzee ambae hajawahi kuliona jua kwa miaka 25 kadedishwa Ayattollah wa Iran is next target kuwahishiwa kwa Mademu 70 wa Allah
Wameambiwa na Israel hawana pa kujificha...Nasrallah akiuwawa, na hili Grupu la Magaidi huenda likasambaratika.