Jeshi la israel wafanikiwa kumiliki anga lote la lebanon hakuna ndege kutua bila idhini yao

Jeshi la israel wafanikiwa kumiliki anga lote la lebanon hakuna ndege kutua bila idhini yao

Acha ubishi bro.
Waziri aliiamuru ndege irudi kiusalama.
Na akaamuru Iran isipeleke ndege yeyote kwasasa.
Na ile ndege ilikua ya abiria.
Na hilo amelifanya baada ya kupewa taarifa mfumo wa anga umedunguliwa.
Mule kuna raia hadi wa Lebanon unahatarishaje maisha yao!?
Sasa kama kaudukua mfumo nani anaucontrol jombaa
 
Israel another level nimegundua kwa nini USA anamuheshimu uyu mtu ni hatar sana, yaani anaweza kumpiga hata Putin akiwa anaoga bafuni ndomaana Russian president aliwaambia Iran wasiende kwenye vita na Israel fully combat waende kupitia magaidi.................

Israel kumiliki anga lako kwao ni kitu kidogo sana, kuhack mfumo wa vyom vyako wa Umeme kama vile pasi,simu,remort,tv,gar,deli,redio,Azam kisimbuz n.k hawa jamaa popote kokote wanalianzisha aiseeee, Mwarabu haamini anachokiona.......

Na hapo hawajapandisha mzimu ya King David wanatumia mzimu ya brotherman king Sulemani wakichanganya na King Saul mtu mbad......
 
BREAKING:

Ndege ya mizigo kutoka Iran inayotakiwa kutua katika uwanja wa ndege wa Beirut imegeuka baada ya Israel kufahamisha udhibiti wa usafiri wa anga katika uwanja huo kwamba Israel itaanzisha mashambulizi dhidi ya ndege hiyo iwapo ingetua Beirut.

Israel haitaruhusu silaha za IRGC kuingia Lebanon.View attachment 3109752
Mtoto akililia wembe mpe umkate alie
 
BREAKING:

Ndege ya mizigo kutoka Iran inayotakiwa kutua katika uwanja wa ndege wa Beirut imegeuka baada ya Israel kufahamisha udhibiti wa usafiri wa anga katika uwanja huo kwamba Israel itaanzisha mashambulizi dhidi ya ndege hiyo iwapo ingetua Beirut.

Israel haitaruhusu silaha za IRGC kuingia Lebanon.View attachment 3109752
All the best 🇮🇱
 
Israel another level nimegundua kwa nini USA anamuheshimu uyu mtu ni hatar sana, yaani anaweza kumpiga hata Putin akiwa anaoga bafuni ndomaana Russian president aliwaambia Iran wasiende kwenye vita na Israel fully combat waende kupitia magaidi.................

Israel kumiliki anga lako kwao ni kitu kidogo sana, kuhack mfumo wa vyom vyako wa Umeme kama vile pasi,simu,remort,tv,gar,deli,redio,Azam kisimbuz n.k hawa jamaa popote kokote wanalianzisha aiseeee, Mwarabu haamini anachokiona.......

Na hapo hawajapandisha mzimu ya King David wanatumia mzimu ya brotherman king Sulemani wakichanganya na King Saul mtu mbad......
Watakubishia kobas
 
Israel another level nimegundua kwa nini USA anamuheshimu uyu mtu ni hatar sana, yaani anaweza kumpiga hata Putin akiwa anaoga bafuni ndomaana Russian president aliwaambia Iran wasiende kwenye vita na Israel fully combat waende kupitia magaidi.................

Israel kumiliki anga lako kwao ni kitu kidogo sana, kuhack mfumo wa vyom vyako wa Umeme kama vile pasi,simu,remort,tv,gar,deli,redio,Azam kisimbuz n.k hawa jamaa popote kokote wanalianzisha aiseeee, Mwarabu haamini anachokiona.......

Na hapo hawajapandisha mzimu ya King David wanatumia mzimu ya brotherman king Sulemani wakichanganya na King Saul mtu mbad......
Huu ni urongo.Nimemsikia Covax akilalamika.
 
Msiwe mnapotosha taarifa.
Israel ili hack tower ya kuongoza ndege ya Beirut airport.
Haijadhibiti anga lote.
Na ile haikuwa ndege ya mizigo ILIKUA NI PASSENGER PLANE ndege ya abiria.
Na aliyeiamuru irudi igeuze ni waziri wa anga wa Lebanon kiusalama zaidi maana wakati huo wanakuja kushtuka kumbe IDF wame hack mfumo kwa muda.View attachment 3109834
Eti nasikia Hasani wa hizibulaa amefariki..
 
Back
Top Bottom