Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Wanafanana tu si yeye.Yeye yupo salama salmini anaongoza wapiganaji wa Hezbollah!Eti nasikia Hasani wa hizibulaa amefariki..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanafanana tu si yeye.Yeye yupo salama salmini anaongoza wapiganaji wa Hezbollah!Eti nasikia Hasani wa hizibulaa amefariki..
Allah ndo nini?Hakuna binadamu anayeweza kumiliki anga lote la sehemu yoyote duniani, anga linamilikiwa na Allah 🇱🇧☪️
Hakuna binadamu anayeweza kumiliki anga lote la sehemu yoyote duniani, anga linamilikiwa na Allah 🇱🇧☪️
Waarabu koko wauawe
Astaghifilullah!🙏😎Mtoto Kauta Mtoto Kauta, Mtoto Kauta,Mtoto Kautaka
بَدِيعُ ٱلسَّمَـٰوَٰتِ وَٱلْأَرْضِ ۖ أَنَّىٰ يَكُونُ لَهُۥ وَلَدٌۭ وَلَمْ تَكُن لَّهُۥ صَـٰحِبَةٌۭ ۖ وَخَلَقَ كُلَّ شَىْءٍۢ ۖ وَهُوَ بِكُلِّ شَىْءٍ عَلِيمٌۭ ١٠١Allah ndo nini?
Unakata hangover kwa supu ya mchicha!?Karibu tukate hangover kwa supu ya kabeji mkuu.Muda huu naangalia Al jazeera ya kiinglishi ndugu zangu katika imani wanavyopokea mkong'onto kutoka kwa mazayuni.🤣🤣🤣🤣
Wewe ndiye umeishiwa kabisa!Mkia wa au kongoro?Yani nilipe hela kununua ngozi ya ng'ombe?Hiyo ibiwa wewe.Mimi nimekataa.Bora nipate supu ya bamia tu.Unakata hangover kwa supu ya mchicha!?
Aiseee ndio maana mkuu upo out of your sanity.
Piga supu ya mkia au kongoro.
Usije ukaanguka tukakuokota.
*Kutesa kwa zamu.
Aiseee😂😂😂😂 kama shem yupo mbali atakuta msiba home.Wewe ndiye umeishiwa kabisa!Mkia wa au kongoro?Yani nilipe hela kununua ngozi ya ng'ombe?Hiyo ibiwa wewe.Mimi nimekataa.Bora nipate supu ya bamia tu.
Mimi rastafari nakula majani tu.Aiseee😂😂😂😂 kama shem yupo mbali atakuta msiba home.
Mkia wa ng'ombe una nyama tamu sana na una virutubishi vingi vya kukata mkojo wa firauni.
Kongoro ndio kabisa.
🙌🙌🙌🙌Bisha umfuate Ismail Haniyeh alipo.
Missiles na drones zipi hizo?Zile zinazoishia targets za vichakani?😂😂😂Anga yao wameshindwa kuzuia, missile na drones zinaingia kila siku.
Warabu wa buza hawawezi kuelewa hii aidiaKama huwezi kupambana naye, kubaliana naye. Au nasema uongo ndugu zangu.
Wanabubujikwa machozi kila wakimkumbuka kipenzi chao Nasrallah.😂Warabu wa buza hawawezi kuelewa hii aidia
Mtu ukiamini sana mambo ya dini, muda mwingine unakuwa kama mjinga.Hakuna binadamu anayeweza kumiliki anga lote la sehemu yoyote duniani, anga linamilikiwa na Allah 🇱🇧☪️
Vipi mama msibani hatuendi..?Anga yao wameshindwa kuzuia, missile na drones zinaingia kila siku.