fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
Irani haisaidii magaidi,hamas na hizbollah sio magaidi,hizo ni propaganda tu za israeli,hao wanapigania uhuru na haki yaoIran inatakiwa ijitathmini upya waone kama sera yao ya kufadhili ugaidi bado inaweza kuwasaidia kwani muda unaenda mbio na hauwezi kuwasubiri tena.
Hivi Quran yenu inasemaje kuhusu mwanamke wa kiislam, akienda mbinguni nae anapewa njemba 100 au inakuaje, au nae anagawiwa miongon mwa mabikraMayahud na makafiri mtachomeka siku ya kiyamma
Inshallah
E molla wetu utujalie tuwe miongon mwa watakaopata bikra 😋
Hivi Quran yenu inasemaje kuhusu mwanamke wa kiislam, akienda mbinguni nae anapewa njemba 100 au inakuaje, au nae anagawiwa miongon mwa mabikra
Uchwara wa Igunga wanasemaje kuhusu hoja yako?Iran inatakiwa ijitathmini upya waone kama sera yao ya kufadhili ugaidi bado inaweza kuwasaidia kwani muda unaenda mbio na hauwezi kuwasubiri tena.
Houthi na Hezbollah wanapgania HAKI ipi na uhuru upi?Irani haisaidii magaidi,hamas na hizbollah sio magaidi,hizo ni propaganda tu za israeli,hao wanapigania uhuru na haki yao
Hao ni magaidi tu na anayebisha ni gaidi mwenzao.Irani haisaidii magaidi,hamas na hizbollah sio magaidi,hizo ni propaganda tu za israeli,hao wanapigania uhuru na haki yao
kwani Russia huwa ni waislamu mbona waislamu huwa wana mshabikia sanaRussia aki jitwaalia ardhi mashoga yanapita kelele ila shoga aki jitwaalia ni ushindi
Iran wanajiandaa na msiba alie sema ataifuta Israeli amefutwa akiona kwa machoNi eneo la kimakati lililowaumiza Israel vichwa kwa muda mrefu, kilele cha mlima Hermon kiliwapa advantage kubwa Syria na Hezbollah kuichunguza na kuishambulia Israel.
Israel imetwaa eneo hili bila pingamizi katika kile kinachodhaniwa "hakuna kitu cha Bure", Israel waliweza kutoa msaada mkubwa wa kudhoofisha majeshi ya Assad kwa kufanya mashambulizi ya anga kwenye kambi za Assad, msaada huu umechangia pakubwa waasi kuitwaa nchi, hivyo wamewapa eneo hili la kimkakati kama "Asante"
Faida kwa Israel kuchukua udhibiti wa kilele cha Mlima Hermon
Kilele cha Mlima Hermon ni mahali pa juu kabisa, kinachowezesha Israeli kufuatilia harakati za kijeshi za Syria na Hezbollah kutoka mbali.
Mahali hapa pa juu hufanya kuwa vigumu kwa adui kushambulia Israeli moja kwa moja bila kutambuliwa.
Israel inaweza kusakinisha mifumo ya hali ya juu ya rada na vifaa vya mawasiliano kwa ajili ya kuchunguza harakati za vikosi vya adui, mizinga, makombora, au ndege zisizo na rubani.
Movement za Hezbollah za kusafirisha silaha kutoka Syria kwenda Lebanon au mipango ya uvamizi zinaweza kufuatiliwa mapema.
Kilele hiki kinatoa nafasi nzuri ya kijeshi kulinda mipaka ya kaskazini ya Israel, hasa kutoka kwa shambulio lolote la anga au ardhini.
Milima ya Hermon ni njia muhimu ya usafirishaji wa silaha kati ya Syria na Hezbollah. Udhibiti wa Israel utaifanya kuwa vigumu kwa wapinzani kutumia njia hiyo.
View attachment 3172549
Unapenda utani!!!!Mayahud na makafiri mtachomeka siku ya kiyamma
Inshallah
E molla wetu utujalie tuwe miongon mwa watakaopata bikra 😋
Unapenda utani!!!!Mayahud na makafiri mtachomeka siku ya kiyamma
Inshallah
E molla wetu utujalie tuwe miongon mwa watakaopata bikra 😋
Swali zuri lililokosa majibu ya maana kwa muda mrefu, kobazi mwenye uelewa atandaze darsa.Hivi Quran yenu inasemaje kuhusu mwanamke wa kiislam, akienda mbinguni nae anapewa njemba 100 au inakuaje, au nae anagawiwa miongon mwa mabikra
(Zaburi 133:3)-Kama umande wa Hermoni ushukao milimani pa Sayuni. Maana ndiko BWANA alikoamuru baraka, Naam, uzima hata milele.Oh great! What about this one - Mt. Hermoni!? Uko kwenye maandiko yoyote?
Halafu wabongo nao wanashangilia huu ujinga wa nchi moja kuchukua sehem ya nch nyingineRussia aki jitwaalia ardhi mashoga yanapita kelele ila shoga aki jitwaalia ni ushindi
Ndiyo, Mlima Hermoni unatajwa katika Biblia kwenye maandiko kadhaa, hasa katika Agano la Kale. Mlima huu upo kaskazini mwa Israeli na unatambulika kama sehemu muhimu kihistoria na kiroho. Mfano wa maandiko yanayomtaja Mlima Hermoni ni:Oh great! What about this one - Mt. Hermoni!? Uko kwenye maandiko yoyote?
Mayahud na makafiri mtachomeka siku ya kiyamma
Inshallah
E molla wetu utujalie tuwe miongon mwa watakaopata bikra
Walivyoupamba kwa uzuri dah! Sema ni vile tone la maji jangwani huwa na thamani kuu!Ndiyo, Mlima Hermoni unatajwa katika Biblia kwenye maandiko kadhaa, hasa katika Agano la Kale. Mlima huu upo kaskazini mwa Israeli na unatambulika kama sehemu muhimu kihistoria na kiroho. Mfano wa maandiko yanayomtaja Mlima Hermoni ni:
1. Kumbukumbu la Torati 3:8-9
“Basi wakati ule tulitwaa nchi mikononi mwa hao wafalme wawili wa Waamori waliokuwa ng'ambo ya Yordani, toka kijito cha Arnoni hata mlima wa Hermoni.”
(Hermoni pia huitwa Seniri na Waamori.)
2. Zaburi 133:3
“Ni kama umande wa Hermoni, ushukao milimani pa Sayuni; maana hapo Bwana aliamuru baraka, naam, uzima hata milele.”
(Hii inaonyesha umuhimu wa kiroho wa Mlima Hermoni kama chanzo cha baraka.)
3. Yoshua 12:1
Mlima Hermoni unatajwa katika orodha ya maeneo yaliyochukuliwa na Waisraeli wakati wa ushindi wao chini ya Yoshua.
4. Wimbo Ulio Bora 4:8
“Njoo pamoja nami toka Lebanoni, bibi arusi, njoo pamoja nami toka Lebanoni; utazame toka kilele cha Hermoni...”
(Inaonyesha Mlima Hermoni kama sehemu ya mandhari ya kifahari.)
Mlima Hermoni unahusiana na mipaka ya kihistoria ya Israeli na unachukuliwa kama eneo la umuhimu wa kimazingira kwa sababu ya chemchemi zake nyingi. Pia, unatajwa kwa ishara za uzuri, baraka, na utukufu wa Mungu.
Kuna hadithi ya Mtume Muhammad Israel atafika mpaa Damascus, afu bada ya hapo ndipo itakombolewa Palestine, na haswa Masjid Al Aqsa.Kwa Mara nyingine tena historia inajirudia. Israel inasambaratisha adui zake na kujitwalia maeneo.