Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
Kwanini hakuna sanamu ya huyu mwamba wa kiafrica aliyetengeneza Jeshi la Kiafrica lililokua na ufanisi dhidi ya waarabu kama vile IDF ya israel.
Mwamba toka Uganda alikuja Zanzibar akaona waswahili wamebong’aa kutawaza wazungu ndipo akaamua kuunda jeshi la Kibantu ambaro lilikua muarobaini wa Sultani na Waarabu wake.
Alichokosea hakuwamaliza vibaraka wake.
Inasadikika mwamba na jeshi lake walifyeka Wakoloni waarabu 20,000.
Viva sana mwamba ulituwakilisha sisi wabantu werevu ambao kamwe hatukubali kutawaliwa tena na mvaa kanzu wa jangwani huko.
Naamini ipo siku Jeshi lilile imara litazaliwa tena kwene hii jamii inayoongozwa na vibaraka wa nje ya mipaka yetu.
Mwamba toka Uganda alikuja Zanzibar akaona waswahili wamebong’aa kutawaza wazungu ndipo akaamua kuunda jeshi la Kibantu ambaro lilikua muarobaini wa Sultani na Waarabu wake.
Alichokosea hakuwamaliza vibaraka wake.
Inasadikika mwamba na jeshi lake walifyeka Wakoloni waarabu 20,000.
Viva sana mwamba ulituwakilisha sisi wabantu werevu ambao kamwe hatukubali kutawaliwa tena na mvaa kanzu wa jangwani huko.
Naamini ipo siku Jeshi lilile imara litazaliwa tena kwene hii jamii inayoongozwa na vibaraka wa nje ya mipaka yetu.