Jeshi la Kenya dhidi ya M23: Je, Kenya itaweza kufanya kile ilichofanya Tanzania mwaka 2013?

Jeshi la Kenya dhidi ya M23: Je, Kenya itaweza kufanya kile ilichofanya Tanzania mwaka 2013?

Maadui wa Watutsi wamezidi kuongezeka. Watutsi wasibweteke wajizatiti kama Waisraeli.

Ili kila anaekuja kwa shari wanatoa dozi kamili.
danceurs_9rqp.jpg

Tutsi Warriors
Tumezoea kusikia Antisemitic
Na sasa Anti Tutsis ni Antihamitic.
 
[emoji1][emoji1] MONUSCO Mara ya mwisho walipewa kichapo na helcopter Yao ikatunguliwa wakasema Hawa jamaa wana silaha za kisasa na nidhamu Kama wanajeshi sio Kama waasi.

Kuna siku FARDC na MONUSCO waliwazunguka hao M23 kuwapiga ambush wakajua leo wamewaweza, ghafla hao jamaa wakajigawa kwny vikundi vidogo vidogo na vikundi hivyo vikiwa na command Yao hapo FARDC na MONUSCO wakala kichapo wakakimbia baada ya hapo boss wa MONUSCO akasema mbinu waliyoitumia Leo ya kujigawa vikundi vidogo kwny ambush na wakatoboa hio sio mbinu ya kundi la waasi Hawa jamaa wana mafunzo ya kijeshi [emoji1][emoji1].
Nilishiriki hii ambush
 
Linaweza likawa nazo na zaidi ya hizo mkuu,si unajua tena mambo ya kijeshi Ni siri.
Wana faita jet 14 za vita ya kwanza ya dunia alafu wanasema jeshi ni siri

Kuna skari mmoja wa JW ni koplo nilikuwa namuuliza kambi muhimu zaidi ya JW ipo wap akajibu zipo tano atataja brigedia zile akianza na faru hiyo faru yenyewe kama ina mizinga mingi ni bm-21 kumi na vifaru vyepesi 8
 
Maadui wa Watutsi wamezidi kuongezeka. Watutsi wasibweteke wajizatiti kama Waisraeli.

Ili kila anaekuja kwa shari wanatoa dozi kamili.
View attachment 2428354
Tutsi Warriors
Tumezoea kusikia Antisemitic
Na sasa Anti Tutsis ni Antihamitic.
Acheni kujifanya spesho,na kile kiburi chenu Cha kitusi,sisi watanganyika ukiingia anga zetu utakuta,na mtahusiana vizazi kwa vizazi juu yetu
 
Stop antihamitism Watutsi ni Ndugu zetu na ni Waafrika wenzetu acha chuki za kijinga jinga

No Hate no Fear!.
Tutsi ni kabila kama yalivyo makabila mengine hapa Afrika. Kwahiyo haina haja ya kuwabagua wala kuwachukia kwa sababu ya muonekano wao.

Tukianza na watutsi kesho tutahamia kwa wasomalia matokeo yake itakuwa vita ya ukanda mzima wa Afrika mashariki kuanzia Somalia, Eritrea, Ethiopia, Kenya, South Sudan, Tanzania, Uganda, Rwanda, Burundi nk maana tunamuingiliano mkubwa wa makabila.

Mtu au watu wachukiwe kwa matendo yao lkn sio kwa makabila yao.
Bantu wangapi wanafanyiana unyama wenyewe kwa wenyewe huko Center Africa, Nigeria, Cameroon nk.

Mbona hakuna mtu anaewa judge kuhusiana na makabila yao?
 
Wana faita jet 14 za vita ya kwanza ya dunia alafu wanasema jeshi ni siri

Kuna skari mmoja wa JW ni koplo nilikuwa namuuliza kambi muhimu zaidi ya JW ipo wap akajibu zipo tano atataja brigedia zile akianza na faru hiyo faru yenyewe kama ina mizinga mingi ni bm-21 kumi na vifaru vyepesi 8
Wacha weee 😂😂😂... kama nakuona unavyochapa togwa lako na mihogo ya kuchemsha ili ulipe tumbo joto ukalale 😂😂😂
 
Waasi walipokimbia usidhani kuwa walikimbia mikono mitupu, wanaweza kuwa waliacha migobole lkn wakakimbia na dhahabu, almasi na rasilimali zingine ambazo zilikuwa rahisi kwao kubeba. Na nchi ambayo iliwapokea kwa wingi hao vijana ni Rwanda ikifuatiwa na Uganda.

Sasa hivi ishapita miaka 8 au 9 kwahiyo zile rasilimali walizokimbia nazo huko Rwanda zimeisha, kwahiyo wameamua kujipanga tena ili wakapambane na ikiwezekana wachote zingine.

Kwahiyo kwa sasa inawezekana na Burundi nayo imeamua ikatumie njia wanazotumia majirani wengine kujineemesha kupitia shamba la bibi kwa kujifanya kutuma jeshi la kupambana na hao M23 pamoja na Red tabara. Uganda yeye tayari ana sehemu yake ya kuchota since alipoingiza majeshi yake Congo kupambana na kina Joseph Kony nk.

Kenya inatoka mbali na haijui vizuri nini kinachoendelea katika eneo hilo. Imeingia kichwa kichwa na sasa itashangaa jinsi itakavyopokea kichapo huku wenzake Burundi na Uganda anaowategemea washirikiane wakiwa katika mashimo yao ya kuchimba dhahabu wakitorosha mzigo fasta fasta usiku kupitia katika mipaka yao inayopakana na Congo [emoji23][emoji23][emoji23]
Kifupi Kenya yuko katika vita hii peke yake na atahenyeshwa kweli kweli.
Kwahiyo Kenya hajui nini kinaendelea ila wewe unajua[emoji23][emoji1787] mbona mna dharau hivyo. Kwahiyo m23 wakienda Kenya wataichukua kwa mda mfupi tu kwa jinsi mnavyoidharau hiyo kenya
 
Acheni kujifanya spesho,na kile kiburi chenu Cha kitusi,
Watutsi ni lini wamejifanya Spesho? hayo ni maneno yenye lengo la kuwatengenezea chuki.

Mimi nimekaa sana na Ndugu zangu Watutsi sijaona uspesho unaousema

Hii inanikumbusha Wanazi wa Ujerumani walivyokuwa wakiwazushia Wayahudi kila iana ya maneno ikiwemo kuwa Wanaringa na ni Matajiri.

Kwahiyo Ndugu ya Mtanzania acha chuki za kikaburu.
 
Tukianza na watutsi kesho tutahamia kwa wasomalia matokeo yake itakuwa vita ya ukanda mzima wa Afrika mashariki kuanzia Somalia, Eritrea, Ethiopia, Kenya, South Sudan, Tanzania, Uganda, Rwanda, Burundi nk maana tunamuingiliano mkubwa wa makabila.
Itakuwa Bantu dhidi ya Ndugu yake Hamite/Cushite.

Tuombe mungu asitufikishe kwenye Madness
 
Itakuwa Bantu dhidi ya Ndugu yake Hamite/Cushite.

Tuombe mungu asitufikishe kwenye Madness
Uzuri watanzania sisi hayo mambo hatuyapi sana nafasi katika akili zetu maana hayana faida katika nyakati hizi za karne ya 21.

Sisi tunapambana na adui yetu anaetuchokoza, hatupambani na kabila la mtu kama ilivyo huko Congo, Burundi nk.
 
Back
Top Bottom