Jeshi la Kenya dhidi ya M23: Je, Kenya itaweza kufanya kile ilichofanya Tanzania mwaka 2013?

Jeshi la Kenya dhidi ya M23: Je, Kenya itaweza kufanya kile ilichofanya Tanzania mwaka 2013?

Ningependa KDF wafanikiwe ili wakongo wapate amani.
Na nadhani hii ndio ingpasw kuwa dua yetu na si kumuombea ashindwe na wanaopora rasilimali za Congo.
Vita mbaya watu wanapata tabu miaka nenda rudi ingekuwa ni wakati sahihi wa kuwatia moyo Wakenya ili wamalize hao waasi.
Kwanza wao ni relevant zaidi kupigana kuliko sisi sababu hawapakani moja moja na DRC.
 
Nimewaona Askari wa M23 wako well trained na wananidhamu ya hali ya juu na wana inteligence ya hali ya juu huenda hata kwenye hilo jeshi la Kongo wana "Batu" wao wanaowapa full information za Movement za Jeshi la Kongo na reinforcement zinazokuja😆😂
😄😄 MONUSCO Mara ya mwisho walipewa kichapo na helcopter Yao ikatunguliwa wakasema Hawa jamaa wana silaha za kisasa na nidhamu Kama wanajeshi sio Kama waasi.

Kuna siku FARDC na MONUSCO waliwazunguka hao M23 kuwapiga ambush wakajua leo wamewaweza, ghafla hao jamaa wakajigawa kwny vikundi vidogo vidogo na vikundi hivyo vikiwa na command Yao hapo FARDC na MONUSCO wakala kichapo wakakimbia baada ya hapo boss wa MONUSCO akasema mbinu waliyoitumia Leo ya kujigawa vikundi vidogo kwny ambush na wakatoboa hio sio mbinu ya kundi la waasi Hawa jamaa wana mafunzo ya kijeshi 😄😄.
 
😄😄 MONUSCO Mara ya mwisho walipewa kichapo na helcopter Yao ikatunguliwa wakasema Hawa jamaa wana silaha za kisasa na nidhamu Kama wanajeshi sio Kama waasi.

Kuna siku FARDC na MONUSCO waliwazunguka hao M23 kuwapiga ambush wakajua leo wamewaweza, ghafla hao jamaa wakajigawa kwny vikundi vidogo vidogo na vikundi hivyo vikiwa na command Yao hapo FARDC na MONUSCO wakala kichapo wakakimbia baada ya hapo boss wa MONUSCO akasema mbinu waliyoitumia Leo ya kujigawa vikundi vidogo kwny ambush na wakatoboa hio sio mbinu ya kundi la waasi Hawa jamaa wana mafunzo ya kijeshi 😄😄.
Hahaaaaa ati wakakimbia, yaani upige ambush kisha uzidiwe na kukimbia?
 
Kenya inawamudu vizuri mno hao mamluki wa Rwanda..
Moronight walker mtu chake

Nimesoma comments za watu lakini naamini Nairobi ikidhamiria,M23 watachakazwa na watakikimbia maeneo yote iliyoyashikilia, tunza hii comment! Hakuna nchi makini itawashindwa waasi. Watakachobaki nacho ni kuvuzia lakini na kushambulia wakiwa mafichoni lakini siyo kama ilivyo sasa ambako wanashikiloa miji kabisa. Watafurushwa naamini hivyo. Cha msingi Kenya waongeze Military Intelligence na kujua katika hao M23 nani anawapa siri na je katika jeshi la Congo, na nchi jirani ni nani anawapa taarifa! Hilo likishafahamika, watachakazwa tu!
 
PK anaijua Congo zaidi ya waijuavyo wacongo wenyewe. Kumbuka hao M23 washatumika katika nafasi tofauti tofauti tena nyeti kule Congo. Kwahiyo aliposema hivyo kwa Tshisekedi alikuwa anajua anachomaanisha, hii ni tofauti na ule mkwara wa Tanzania maana system ya Tanzania ni tofauti na system ya nchi nyingi za Afrika mashariki na Afrika kwa ujumla. Ndio maana mpaka leo tupo salama.

Na kwa kulijua hilo JK alitamba kwa kuwaambia watanzania walale usingizi mnono na ikibidi hata waache milango wazi hadi asubuhi, hakuna panya yeyote atakaejaribu kuja kutushambulia iwe kwa upande wa Rwanda, Malawi wala Msumbiji.

Na kweli nchi nyingi za Afrika zinasema kuwa Tanzania iko strong kwa upande wa intelejensia hasa kuhusu swala la usalama wa mipaka.

Tanzania ni kama Marekani, viongozi wengi wa ukanda huo sisi ndio tumewaweka, hata hao wahutu wa Burundi kuwa leo katika serikali ni kwa sababu ya msaada mkubwa wa Tanzania, halikadhalika M7 na wengine ambao haina haja ya kuwataja.

So tunawafahamu ki nje ndani na tunajua ni jinsi gani ya kuwadhibiti pale wanapotaka kuleta kiburi.

Ila kwa upande wa Congo PK anafahamu hadi mahali anapoendaga kuoga Tshisekedi, na muda ambao huwa anakwenda kulala nk.
Tuko vizuri, Mzee ila tunahitaji Drones za masafa kama zile za kuturuki Bayractar TB 2 ambazo zinatufaa kwenye mpaka wetu na Msumbiji ili kusaidia kuwapiga wale Magaidi.
 
Hahaaaaa ati wakakimbia, yaani upige ambush kisha uzidiwe na kukimbia?
😄😄 Hivi FARDC unawajua mzee? Wale jamaa Wana vituko Sana hata jeshi la sungusungu la bongo linawatandika vibaya mno, MONUSCO wao wako pale kupiga per diem zao, Nani anataka kufa kwa ajili ya nchi nyingine afu aache pesa tamu ya UN?😄
 
Tuko vizuri Mzee ila tunahitaji Drones za masafa kama zile za kuturuki Bayractar TB 2 ambazo zinatufaa kwenye mpaka wetu na Msumbiji ili kusaidia kuwapiga wale Magaidi.
Kweli mkuu, Rwanda walipozinunua hizo drone za turkey 1st batch wakasema zitaenda kupiga magaidi huko Mozambique,afu hazijaenda Wala Nini wametulia nazo tu,wameagiza batch nyingine ya hizo drones tena.
 
Nimesoma comments za watu lakini naamini Nairobi ikidhamiria,M23 watachakazwa na watakikimbia maeneo yote iliyoyashikilia, tunza hii comment! Hakuna nchi makini itawashindwa waasi. Watakachobaki nacho ni kuvuzia lakini na kushambulia wakiwa mafichoni lakini siyo kama ilivyo sasa ambako wanashikiloa miji kabisa. Watafurushwa naamini hivyo. Cha msingi Kenya waongeze Military Intelligence na kujua katika hao M23 nani anawapa siri na je katika jeshi la Congo, na nchi jirani ni nani anawapa taarifa! Hilo likishafahamika, watachakazwa tu!
Sahihi kabisa
 
Vita kama hizo huwa zinamalizwa kwa kuingia eneo husika na kupiga wanaume wote risasi tuone mpiganaji gani atabaki.

Issue ni kwamba watu wanawasifia M23 wanaotumia raia kama ngao kujificha, lakini jeshi kama KDF likiamua linawafyeka wote, sema madhara kwa raia tu ndicho kinachoogopwa. Lakini ni uongo mkubwa kusema kama kweli M23 eti wana miji waliyoiteka halafu wakawa strong kuzuia jeshi la Kenya, huo ni uongo. Njia wa kutumia raia pekee ndiyo inayowasaidia.
 
Battle of El Adde Battle of El Adde - Google Search

Mpaka leo KDF inaficha idadi ya Askari waliouwawa kwenye Mapigano hayo.
Hiyo ilikuwa ambush na isitoshe Kdf mpaka wanashambuliwa tatizo ilikuwa kukosa intelligence ya kutosha....walijifunza makosa ndio maana mpaka leo hawajapata kadhia kama hiyo.
.
KDF kwa sasa wameimarika mno hao M23 wajiandae kukimbilia tena Rwanda na Uganda kwa wafadhili wao.
T14 Armata Richard Bukyanagandi
 
Kati ya fdrl na jesh la drc nani mwenye uwezo kidogo kimapigano? Au wote hamna kitu
Kwa sasa M23 wana nguvu na mbinu za medani kuliko Jeshi la Kongo Jeshi la Kongo ni corrupt sana asilimia kubwa ya Silaha za M23 wanazichukua kutoka kwenye Jeshi la Kongo kimachofanyika M23 imawahonga maafisaa waamdamizi wa Jeshi la Kongo halafu wanaachiwa waziteke.
 
Raia wa Kongo wanasema fldr
aka "Inrerahamwe" inapigana bega kwa bega,na Jeshi la Kongo japokuwa Jeshi la Kongo limekanusha lakini mimi naamini ni kweli.
Hio mbona Ni dhahiri mzee,FARDC mambo ya kufa hawapendi walichokifanya wamewavalisha nguo za kijeshi Fdlr na waasi wa Nyatura kupigana na M23.
 
Back
Top Bottom