Jeshi la Kenya dhidi ya M23: Je, Kenya itaweza kufanya kile ilichofanya Tanzania mwaka 2013?

Jeshi la Kenya dhidi ya M23: Je, Kenya itaweza kufanya kile ilichofanya Tanzania mwaka 2013?

Kenya ina Jeshi zuri ila limegawanyika Kikabila ni rahisi kutoa siri za jeshi lao kwa adui.
Yah ngoja tuone itakavyokuwa baada ya hao M23 kukataa kutii amri halali iliyotolewa na serikali ya Congo wakishirikiana na viongozi wa nchi za afrika mashariki.
 
Yah ngoja tuone itakavyokuwa baada ya hao M23 kukataa kutii amri halali iliyotolewa na serikali ya Congo wakishirikiana na viongozi wa nchi za afrika mashariki.
Namna Tishekedi anavyolazimisha kuwa Askari wa M23 waweke silaha chini Wasarende ni escalation ngoja ile tume ya Uhuru Kenyeta ndio watu wengi wanaisubiri.

Ila Kenya wajue wanaingizwa kwenye mgogoro wa ndani ya Kongo na wajue kabisa Jeshi la Kongo litawakimbia wabaki pekee yao.
 
Angalia approach ya Wakenya na wanavyoingizwa "kingi" na Majeshi ya Kongo Askari wa Kongo hawajiamini wana lack training na wanavaa nguo za civilian ili kikinuka wachichanganye na civilian. Jionee mwenyewe.

 
Angalia approach ya Wakenya na wanavyoingizwa "kingi" na Majeshi ya Kongo Askari wa Kongo hawajiamini wana lack training na wanavaa nguo za civilian ili kikinuka wachichanganye na civilian. Jionee mwenyewe.


😄😄 Boss wa KDF ana mbwembwe huyo si mchezo.Mimi nataka Marekani isianze kupiga mikwara tuone kdf vs M23 Nani Ni Nani mkuu.
 
PK aliulizwa na CGTN khs madai ya Congo kusema itaishambulia Kigali akasema Congo na Allies wake wanajua Kigali ilipo wafanye hivyo wajionee mambo yatakavyokua.
Yule huwa ana mikwala tu,mkwala aliompiga jk na tz tungekua maboya tungenywea,tukafanya tuliyofanya na akaja kuyajenga na mkwere
 
Angalia approach ya Wakenya na wanavyoingizwa "kingi" na Majeshi ya Kongo Askari wa Kongo hawajiamini wana lack training na wanavaa nguo za civilian ili kikinuka wachichanganye na civilian. Jionee mwenyewe.


Hii ni kama vile mnakwenda porini kuwinda sungura, afu wenzako wanakwambia pitia kwa kule nyuma ya ule mti mkubwa ndo utaweza kufikia mahali walipojificha sungura. Sasa kwa mwenye akili utajiuliza inakuaje mmnakwenda kuwinda wote afu wenzako wanakueleza sehem ya kupitia ili ukakamate hao sungura huku wenyew wakionekana kugoma kwenda huko walipokuelekeza.

Hii inamaana kwamba huenda njia hiyo wanayokuelekeza kuna wanyama wakali kama vile simba, chui nk ndo maana wanakuelekeza wew mgeni ndio utangulie kwenda huko huku wenyew wakijificha kuona matokeo ya ulipokwenda 😂😂😂
 
Hii ni kama vile mnakwenda porini kuwinda sungura, afu wenzako wanakwambia pitia kwa kule nyuma ya ule mti mkubwa ndo utaweza kufikia mahali walipojificha sungura. Sasa kwa mwenye akili utajiuliza inakuaje mmnakwenda kuwinda wote afu wenzako wanakueleza sehem ya kupitia ili ukakamate hao sungura huku wenyew wakionekana kugoma kwenda huko walipokuelekeza.

Hii inamaana kwamba huenda njia hiyo wanayokuelekeza kuna wanyama wakali kama vile simba, chui nk ndo maana wanakuelekeza wew mgeni ndio utangulie kwenda huko huku wenyew wakijificha kuona matokeo ya ulipokwenda 😂😂😂
Uko sahihi kabisa 😂😂😂😂🤣😂
 
Kama Viongozi wa Kongo wana akili wangekaa meza moja na M23 wakayamaliza tofauti zao halafu wakawaingiza kwenye Jeshi la Kongo.

Nakumbuka Jodeph Kabila alifanya hivyo aliwaingiza kwenye Jeshi la Kongo wakepelekwa kwenye makambi ndani ya Kongo unajuu nini kilichotokea waliuwawa na Racist Kongo Soldiers

Ilibidi wakimbilie Kongo Mashariki Joseph Kabila alikuwa ni Smart kuliko Tishekedi.
 
Cargo plane of rwanda arrived 24 NOV 2022,standby for exporting RWANDESE NATURAL RESOUCES AVAILS IN RWANDA

1669476200896.png
 
Cargo plane of rwanda arrived 24 NOV 2022,standby for exporting RWANDESE NATURAL RESOUCES AVAILS IN RWANDA

View attachment 2428245
Hii ndo itatumika kuingiza silaha,, Rwanda na uganda ni landlocked, wanategemea bandari ya dar au mombasa,, ikitokea wakawekewa vikwazo vya kuingiza silaha,,
Zitaingia kwa aircargo
 
Back
Top Bottom