Jeshi la Kenya dhidi ya M23: Je, Kenya itaweza kufanya kile ilichofanya Tanzania mwaka 2013?

Jeshi la Kenya dhidi ya M23: Je, Kenya itaweza kufanya kile ilichofanya Tanzania mwaka 2013?

Attachments

  • images (3).jpeg
    images (3).jpeg
    22.8 KB · Views: 7
  • images (6).jpeg
    images (6).jpeg
    10.6 KB · Views: 7
Issue ni kwamba watu wanawasifia M23 wanaotumia raia kama ngao kujificha, lakini jeshi kama KDF likiamua linawafyeka wote, sema madhara kwa raia tu ndicho kinachoogopwa. Lakini ni uongo mkubwa kusema kama kweli M23 eti wana miji waliyoiteka halafu wakawa strong kuzuia jeshi la Kenya, huo ni uongo. Njia wa kutumia raia pekee ndiyo inayowasaidia.
Mbinu ni kupiga risasi Kijiji kimoja mkifika cha pili raia wenyewe wanataja nani ni mwenyeji nani si mwenyeji na tayari mnawapata.
Mbona hii mbinu ilitumika hata hapo Uganda baada ya Tz kumshinda Amin ambapo wanajeshi wa Uganda walivua gwanda na kupigana kea kustukiza wakiwa kama raia.
 
Nimewaona Askari wa M23 wako well trained na wananidhamu ya hali ya juu na wana inteligence ya hali ya juu huenda hata kwenye hilo jeshi la Kongo wana "Batu" wao wanaowapa full information za Movement za Jeshi la Kongo na reinforcement zinazokuja😆😂
Hamna waasi wa aina hiyo Drc, waasi wa Drc ni kama Codeco, maimai na wengine kutoka nchi jirani kama Fdlr, Adf.....

Hao uliowaona ni jeshi vamizi kutoka nchi jirani na Drc linalotumia kivuli cha M23 kuendesha shughuli zao huko.
Richard Moronight walker
 
Nimejaribu kuwafuatilia M23 sana nimegundua sio wale wa 2013 sasa hivi wana silaha Nzito na wako well organized nimeona wakishambulia possitions za Jeshi la DRC kwa Grad Missille launchers.
Hizo silaha nzito wamepata wapi?..kama sio ufadhili wa nchi hasimu ?.. kwanini wao tu wawe nazo na sio makundi mengine ya waasi ?
 
Askari tunaopeleka ni kwa ajili ya kwenda kuwafunza Jeshi la Kongo jinsi ya Upiganaji na nidhamu ya Jeshi sio kama walivyo sasa Askari yuko Frontline amelewa chakari na ana simu mkononi anasikiliza miziki.
Mwaka flan UN ilikataa ikabidi wake wàfundishiwe bongo..
Baadae tz ilashambuliwa na m23 mda mchache tu baada ya mizinga na silaha zingine kurudishwa nyumbani baada ya agizo LA UN
 
Jeshi la Kenya hawajawahi kupigana vita kwenye mazingira ya misitu mikubwa na migumu kama ya Kongo. Unapigana na watu waliozaliwa na kukulia kwenye hiyo misitu!

Ni jaribio kwa KDF ambalo mabwana vita wa ukanda huu wametega sikio kutokana na uzoefu mdogo wa jeshi la Kenya kwenye vita vya msituni! Pengine hata kuhusisha Uganda lengo ni kuchota uzoefu wao kwenye misitu ya Kongo.

Meja General (mstaafu) Mwakibolwa atakuwa na cigar yake anaangalia majirani wanatokaje na hii mbugi [emoji2]
Huyo mzee ni Luten general mstaafu kwa walio karibu wanadai mzee anaishi zama za mawe yawezekana hata hajui kinachoendelea now
 
wasipo muondoa uganda katika kudi lao la opperation ujue watauwawa sana, jeshi zima la uganda ni watusi, watajifanya wapo nao kumbe wanawajulisha wenzao watusi wa m23 position zote, uganda na rwanda na hao m23 woote ni watusi nia yao ni kuitawala africa mashariki yote wawe wao watusi kwenye uongozi, watusi wapo wengi sana tanzania wamejipenyeza serikali na wameshika nafasi kubwa kubwa tatizo hakuna wa kuwachunguza asili zao. tanzania wao wamebaki kuwachunguza wasomali wazawa na wahindi wazawa na warabu wazawa. lakini watusi wamejaa mpaka uhamiaji
 
wasipo muondoa uganda katika kudi lao la opperation ujue watauwawa sana, jeshi zima la uganda ni watusi, watajifanya wapo nao kumbe wanawajulisha wenzao watusi wa m23 position zote, uganda na rwanda na hao m23 woote ni watusi nia yao ni kuitawala africa mashariki yote wawe wao watusi kwenye uongozi, watusi wapo wengi sana tanzania wamejipenyeza serikali na wameshika nafasi kubwa kubwa tatizo hakuna wa kuwachunguza asili zao. tanzania wao wamebaki kuwachunguza wasomali wazawa na wahindi wazawa na warabu wazawa. lakini watusi wamejaa mpaka uhamiaji
Taja waziwazi wao viongozi wakubwa wa kitusi walijipenyeza humu nchini.
 
Turudi kwenye lile swali...kwanini iitwe anti-tusis propaganda na sio anti-hutu ?....kwani Rwanda ndio muwakilishi wa watusis wote wa ukanda huu ?
Hili Anti Tutsis Propganda ilianzishwa kipindi cha utawala wa George Kaibanda na ikaendelezwa na Utawala wa Habyarimana ambae alikataa kabisa kuruhusu Wakimbizi wa Kitutsi waliokuwa Uganda kurudi Nyumbani kwao Rwanda.

Umma wa Rwanda uliaminishwa kuwa Watutsi ni INYENZI

Watutsi walipoamua kurudi kwao kwa kutumia Mtutu Habyarimana akaja kusaidiwa na Majeshi ya Zaire DRC ya leo kwa hiyohiyo ajenda ya Anti Tutsi ajenda.

Mimi nimekaa sana Rwanda ya Habyarimana nilkuwa najionea live.
 
Back
Top Bottom