imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Zile zimefeli pakubwa kwenye Vita za Libya naYemen.Tucheki na China anakuwaga na Wing Loong na anazisupply bila milolongo mingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zile zimefeli pakubwa kwenye Vita za Libya naYemen.Tucheki na China anakuwaga na Wing Loong na anazisupply bila milolongo mingi
Mbinu ni kupiga risasi Kijiji kimoja mkifika cha pili raia wenyewe wanataja nani ni mwenyeji nani si mwenyeji na tayari mnawapata.Issue ni kwamba watu wanawasifia M23 wanaotumia raia kama ngao kujificha, lakini jeshi kama KDF likiamua linawafyeka wote, sema madhara kwa raia tu ndicho kinachoogopwa. Lakini ni uongo mkubwa kusema kama kweli M23 eti wana miji waliyoiteka halafu wakawa strong kuzuia jeshi la Kenya, huo ni uongo. Njia wa kutumia raia pekee ndiyo inayowasaidia.
Hivi walikuja kuyajenga na Mkwere wakawa poa?Yule huwa ana mikwala tu,mkwala aliompiga jk na tz tungekua maboya tungenywea,tukafanya tuliyofanya na akaja kuyajenga na mkwere
Hamna waasi wa aina hiyo Drc, waasi wa Drc ni kama Codeco, maimai na wengine kutoka nchi jirani kama Fdlr, Adf.....Nimewaona Askari wa M23 wako well trained na wananidhamu ya hali ya juu na wana inteligence ya hali ya juu huenda hata kwenye hilo jeshi la Kongo wana "Batu" wao wanaowapa full information za Movement za Jeshi la Kongo na reinforcement zinazokuja😆😂
Hizo silaha nzito wamepata wapi?..kama sio ufadhili wa nchi hasimu ?.. kwanini wao tu wawe nazo na sio makundi mengine ya waasi ?Nimejaribu kuwafuatilia M23 sana nimegundua sio wale wa 2013 sasa hivi wana silaha Nzito na wako well organized nimeona wakishambulia possitions za Jeshi la DRC kwa Grad Missille launchers.
Wanazipata kwenye Black Market South Sudan na Sudan na zingine wanazipata kwenye Jeshi l Kongo.Hizo silaha nzito wamepata wapi?..kama sio ufadhili wa nchi hasimu ?.. kwanini wao tu wawe nazo na sio makundi mengine ya waasi ?
Kama zipo tayari je?..Jeshi letu JWTZ linatakiwa liwe na hizo Drones za Kituruki
Rwanda imekanusha kabisa hayo madai na mi Anti Tutsis propaganda.Hao uliowaona ni jeshi vamizi kutoka nchi jirani na Drc linalotumia kivuli cha M23 kuendesha shughuli zao huko.
Mwaka flan UN ilikataa ikabidi wake wàfundishiwe bongo..Askari tunaopeleka ni kwa ajili ya kwenda kuwafunza Jeshi la Kongo jinsi ya Upiganaji na nidhamu ya Jeshi sio kama walivyo sasa Askari yuko Frontline amelewa chakari na ana simu mkononi anasikiliza miziki.
Haikuwa Ambush walifuatwa kambini kwao wao walikuwa Bize kula Githeri.Hiyo ilikuwa ambush na isitoshe Kdf mpaka wanashambuliwa tatizo ilikuwa kukosa intelligence ya kutosha....walijifunza makosa ndio maana mpaka leo hawajapata kadhia kama hiyo.
Kama tayari tunazo lisiwe jambo la kuficha kwenye sikukuu ya Mashujaa zirushwe angalao tuzioe.Kama zipo tayari je?..
Haya mambo sio siri muda mwingine?..
Uongo huuHaikuwa Ambush walifuatwa kambini kwao wao walikuwa Bize kula Githeri.
Kwanini iwe anti tusis propaganda na sio anti hutu ?...Rwanda imekanusha kabisa hayo madai na mi Anti Tutsis propaganda.
Ndio maana nimekuwekea link naona umei ignore.
Huyo mzee ni Luten general mstaafu kwa walio karibu wanadai mzee anaishi zama za mawe yawezekana hata hajui kinachoendelea nowJeshi la Kenya hawajawahi kupigana vita kwenye mazingira ya misitu mikubwa na migumu kama ya Kongo. Unapigana na watu waliozaliwa na kukulia kwenye hiyo misitu!
Ni jaribio kwa KDF ambalo mabwana vita wa ukanda huu wametega sikio kutokana na uzoefu mdogo wa jeshi la Kenya kwenye vita vya msituni! Pengine hata kuhusisha Uganda lengo ni kuchota uzoefu wao kwenye misitu ya Kongo.
Meja General (mstaafu) Mwakibolwa atakuwa na cigar yake anaangalia majirani wanatokaje na hii mbugi [emoji2]
Hiyo ilikuwa ambush (halafu sio vyema kuingiza mjadala mpya ndani ya huu uliopo ).Ndio maana nimekuwekea link naona umei ignore.
Taja waziwazi wao viongozi wakubwa wa kitusi walijipenyeza humu nchini.wasipo muondoa uganda katika kudi lao la opperation ujue watauwawa sana, jeshi zima la uganda ni watusi, watajifanya wapo nao kumbe wanawajulisha wenzao watusi wa m23 position zote, uganda na rwanda na hao m23 woote ni watusi nia yao ni kuitawala africa mashariki yote wawe wao watusi kwenye uongozi, watusi wapo wengi sana tanzania wamejipenyeza serikali na wameshika nafasi kubwa kubwa tatizo hakuna wa kuwachunguza asili zao. tanzania wao wamebaki kuwachunguza wasomali wazawa na wahindi wazawa na warabu wazawa. lakini watusi wamejaa mpaka uhamiaji
Hiyo ni vita ya pwagu na pwaguzi[emoji1][emoji1] Boss wa KDF ana mbwembwe huyo si mchezo.Mimi nataka Marekani isianze kupiga mikwara tuone kdf vs M23 Nani Ni Nani mkuu.
Hili Anti Tutsis Propganda ilianzishwa kipindi cha utawala wa George Kaibanda na ikaendelezwa na Utawala wa Habyarimana ambae alikataa kabisa kuruhusu Wakimbizi wa Kitutsi waliokuwa Uganda kurudi Nyumbani kwao Rwanda.Turudi kwenye lile swali...kwanini iitwe anti-tusis propaganda na sio anti-hutu ?....kwani Rwanda ndio muwakilishi wa watusis wote wa ukanda huu ?