Jeshi la Kenya dhidi ya M23: Je, Kenya itaweza kufanya kile ilichofanya Tanzania mwaka 2013?

Jeshi la Kenya dhidi ya M23: Je, Kenya itaweza kufanya kile ilichofanya Tanzania mwaka 2013?

Uzuri watanzania sisi hayo mambo hatuyapi sana nafasi katika akili zetu maana hayana faida katika nyakati hizi za karne ya 21.

Sisi tunapambana na adui yetu anaetuchokoza, hatupambani na kabila la mtu kama ilivyo huko Congo, Burundi nk.
Lakini mimi nimeshajiapiza kama kutatokea Genocide nyingine dhidi ya Watutsi mimi nita volunteer labda niwe nimezeeka sana.
 
Tena kagame alikuwa mkuu wa intelligence kwenye jeshi la museveni
Serikali ya Congo ilikakaa kushirikiana na Rwanda, lakini imekubali kushirikiana na Uganda. Sasa sijui Tshisekedi hajui kuwa Rwanda na Uganda ni kama vile Tanganyika na Zanzibar kwamba ni nchi moja tofauti kila upande ina mtawala wake.
 
Huyu Mkuu wa Kongo wa sasa ni Kubwa Jinga kwanini amekataa kukaana M23 mezani amnao ni Raia wake,

Anaenda ku escalate mgogoro na kuishutumu Rwanda bila ushahidi wowote.

Wapiganaji wa M23 ni Watutsi wa milima ya Mulenge walionyanyasika sana.

Leo nimeona Video moja wakati wanampokea Uhuru Kenyata aliposhuka pale Goma Watu wakamfuata Uhuru Kenyata huku wakilia na mpango mzima ulikuwa staged yule mama anasema ati amepigwa na Watutsi na mwingine anasema kapigwa na Kagame..

Ninahisi hizi chuki zinazotengenezwa na Serikali ya Kongo dhidi ya Watutsi wa Kongo zinaweza kuzaa Genocide dhidi ya Raia wa Mulenge. lakini M23 wasiingie Goma kiasi kuna maongezi huko Angola.
 
Wapiganaji wa M23 ni Watutsi wa milima ya Mulenge walionyanyasika sana.
Ina maana kati ya makabila yote ya huko Drc ni wao tu wananyanyaswa mpaka washike silaha ?
Huyu Mkuu wa Kongo wa sasa ni Kubwa Jinga kwanini amekataa kukaana M23 mezani amnao ni Raia wake,
Waweke silaha chini ili serikali ya Drc ikae nao mezani
 
Hao watusi huwa wanabaguliwaje ?....
Nimeshuhudia wakinyang'anywa Ngombe zao na wao kufukuzwa

Leo hii mimi huwa nikikaa kijiweni pale Runzewe huwa naanzisha mijadala tukifikia topic ya Watutsi Watu wanaaza chuki na kuwashutumu Watutsi kwa kila jambo na nikianza kuwachimba kidogo nagundua baadhi yao ni Wahutu wa Burundi wanaojiita Waha.
 
Ina maana kati ya makabila yote ya huko Drc ni wao tu wananyanyaswa mpaka washike silaha ?
Muonekano wa Kitutsi ni tofauti na Makabila ya Kibantu hapo ndio Wacongo na Interahamwe wanapojustfy kuwa hawa kwasababu hawana pua kubwa therefore sio wenzetu kwa hiyo wanastahili wafukuziwe Rwanda.

Wakongo watembelee Tanzania na haswa Mko wa Manyara na Arusha na Kilimanjaro waone tunavyoishi bila kubaguana na tunaoana bila bugza.
 
Kuna Mmasai wa Tanzania mmoja muuza Dawa za Kimasai alikutana na kipigo cha kutisha huko Ituri wakisema ni Mpelelezi wa Kitutsi,walikuwa hawajawahi kuona Masai katika maisha yao.

Aliokolewa na Madereva wa Malori wa Kenya
 
Watutsi ni lini wamejifanya Spesho? hayo ni maneno yenye lengo la kuwatengenezea chuki.

Mimi nimekaa sana na Ndugu zangu Watutsi sijaona uspesho unaousema

Hii inanikumbusha Wanazi wa Ujerumani walivyokuwa wakiwazushia Wayahudi kila iana ya maneno ikiwemo kuwa Wanaringa na ni Matajiri.

Kwahiyo Ndugu ya Mtanzania acha chuki za kikaburu.
Mi natokea tabora,Pana watusi wengi tabora tangu enzi za milambo huko,wale wamba wanajisikia hatari,na wapo wengi tu serikalini,hawali kuku lakini..kitu Kama na mayai hawali
 
Kitu kingine nilichokigundua kutoka kwa Ndugu zangu Watutsi ni Ma Master wa Disguise anaweza kublend na kuwa Muarusha Mmachame Muhaya na ha Msomali na Muithiopia na Mkenya nk nk hakuna Jamii inayowafikia labda Wayahudi tu, nayote hayo ni kwa sababu ya kuishi kwa Khofu ya kunyanyaswa na hata kuuwawa unaweza ukajifanya kuwatukana Watutsi kumbe uko nao hapo hapo wanakucheki tu na wanaweza kulipa kisasi wakitaka.

Jambo lingine walilojaaliwa na Mungu ni Wanawake wazuri sana Matunda kweli kweli.

Tuache chuki dhidi yao.
 
Huyu Mkuu wa Kongo wa sasa ni Kubwa Jinga kwanini amekataa kukaana M23 mezani amnao ni Raia wake,

Anaenda ku escalate mgogoro na kuishutumu Rwanda bila ushahidi wowote.

Wapiganaji wa M23 ni Watutsi wa milima ya Mulenge walionyanyasika sana.

Leo nimeona Video moja wakati wanampokea Uhuru Kenyata aliposhuka pale Goma Watu wakamfuata Uhuru Kenyata huku wakilia na mpango mzima ulikuwa staged yule mama anasema ati amepigwa na Watutsi na mwingine anasema kapigwa na Kagame..

Ninahisi hizi chuki zinazotengenezwa na Serikali ya Kongo dhidi ya Watutsi wa Kongo zinaweza kuzaa Genocide dhidi ya Raia wa Mulenge. lakini M23 wasiingie Goma kiasi kuna maongezi huko Angola.
Uhuru Yuko zake Congo kufanikisha biashara za familia yake,hata wafe raia wa mulenge wote he don't give a damn.Kama Ali sponsor Mungiki dhidi ya wakenya wenzake itakuja kua hao jamaa wa huko Congo?

Wakenya wao Ni biashara kwanza,ashahakikishiwa soko Congo kifuatacho Ni kukubaliana na matakwa ya Congo then kazi inaendelea.
 
Kuna Mmasai wa Tanzania mmoja muuza Dawa za Kimasai alikutana na kipigo cha kutisha huko Ituri wakisema ni Mpelelezi wa Kitutsi,walikuwa hawajawahi kuona Masai katika maisha yao.

Aliokolewa na Madereva wa Malori wa Kenya
😄😄 Hata Ruto alivyoingia madarakani wacongo walisema wakalenjini Ni watusi waliohamia Kenya zamani 😄😄, wanajeshi wa Congo nao walipoenda Congo picha zao zikawa zinasambazwa huko Twitter zikisema jeshi la Kenya limejaa Watusi 😄😄.

Mimi Kiufupi naonaga wacongo Ni Kama mataahira flani hivi,kwa Maana ya Kwamba madishi Yao hua kama yameyumba hivi, hawanaga uwezo wa kufikiria sawasawa na kua objective.
 
Back
Top Bottom