Jeshi la Marekani Hamna kitu zimebaki sifa tuu in short US military is overrated

Amka usije jikojolea Bure!!
 
Amka usije jikojolea Bure!!
Sikia wewe uliye lala dunia inajuwa na wewe ni zamu yako kujua. Marekani wanatawala bahari na anga ndio mana kupitia jeshi lao wanaweza kuweka vikwazo nchi yoyote waitakayo. Ila kwa kuwa Mungu hakupi vyote vita vya ardhini Marekani mtupu sana ukilinganisha na JWTZ ambao vita vya ardhini tupo juu sana. Nipe vita ambavyo Marekani kashinda
 
JWTZ bado sana kam talebani waliweza kupelekana na marekeni sas jwtz???
Taleban waliweza kwasababu Marekani udhaifu wao hawawezi vita vya muda mrefu na pia Marekani vita vya ardhini hawawezi wanategemea technologia ya anga na baharini. Wakija ardhini wanakaa tuu
 
hii mijitu ya hovyo ikiambiwa na marekan fulani mbaya nayo inapokea hivyo hivyo ni mbaya
kwa hiyo wew upo zako huko MPANDA katavi unaleta habari zako za afughan stan kuna magaidi kama mlivyo ambiwa na hao marekan wenu sijui russia
dah.!
 
Na dollar inaseleleka,hili hawakuliona?

Kinachoniacha mie mdomo wazi,S.Korea ni mshirika mkubwa wa USA,Kwa Nini waachane na dollar?
 
Alisikika Mrusi wa Manzese.
 
Urusi kakimbia Bakhmut
Wagner Group ndio walikuwa front line Bakhmut wakaishiwa ammunitions wakatishia kuachia position bt boss wao akaweka mambo sawa ila vita vya ukraine ni proxy war against Russia kinachofanyika hapo ni kuimaliza nguvu Russia waishiwe silaha alafu Marekani aje amalizie mzoga kama kawaida yake
 
Hayo ni maoni yako wewe muhimu Russia amerudishwa nyuma
 

Hujaandika why and how, no technical details, no tacticts, nothing yaani. Rudi kasome upya
 
Hujaandika why and how, no technical details, no tacticts, nothing yaani. Rudi kasome upya
Kuna vita ambayo Marekani kapigana kashinda? Mimi sipo hapa kufundisha weakness, tactics wala nini nipo hapa kuleta hoja tuu. Unaweza ukawa na silaha nyingi lakini mbinu huna.

Swali ni moja ushawahi kuskia Marekani kapigana akashinda vita peke yake bila msaada wa nato? Mfano kama vietnam war nk
 

Unachouliza ni history, unataka hoja yako iwe mashiko? Lazima uweke hivyo vitu, hamaanishi unafundisha vita nope, bali una shed light of why and how ni overrated. Otherwise unauliza mawaswali mepesi sana, go deep bro
 
Unachouliza ni history, unataka hoja yako iwe mashiko? Lazima uweke hivyo vitu, hamaanishi unafundisha vita nope, bali una shed light of why and how ni overrated. Otherwise unauliza mawaswali mepesi sana, go deep bro
Unanitoa kwenye mada mkuu. Na wewe weka hoja ukisema kwamba Marekani kashinda vita dhidi ya nchi gani superiority ya Marekani inashuka kwa kasi sana
 
Kuijua marekani kuna hitaji kutuliza akili yako nasio kuongozwa na mahaba na hisia zako mwenyewe za kile ulichokiona na kutoa hukumu kwamba jeshi lao Mara liko hivi Mara liko vile, hayo ni mambo ya kawaida tu Wala yasikuchanganye.

Bali unachopaswa kufahamu ni kujua yaliyo nyuma ya pazia kuhusu taifa la marekani, hapo ndio unakutana na invisible government, ambapo mipango yao niya mda mrefu na Yale ambayo wamesha yatekeleza, yanatugusa na kutuumiza sote duniani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…