Vita virefu ni vya miaka mingapi?Taleban waliweza kwasababu Marekani udhaifu wao hawawezi vita vya muda mrefu na pia Marekani vita vya ardhini hawawezi wanategemea technologia ya anga na baharini. Wakija ardhini wanakaa tuu
NakubalJeshi la Marekani linasifika kwa silaha za kisasa iwe za nyuklia, biolojia au kemikali. Bila kusahau mindege yao mikubwa, nyambizi za kisasa, aircraft career nk.
Ila ukweli ni kwamba Marekani haijawahi kushinda vita vyovyote vile. Wala Marekani haijawahi kupigana na kushinda vita vya muda mrefu.
Marekani ni jeshi la waoga sana. Tazama juzi juzi walikimbia Afghanistan na kuwaachia taleban mavifaa ya kisasa ndege pamoja na fedha mamilioni ya dola. Kisa kuogopa wachunga mbuzi wenye AK 47. Taleban hawana bulet proof vest wao vita kwao ni kufa na kupona sio ku cheat kama wazungu.
Marekani alianza chokochoko za kumwondoa bashar al asad raisi wa Syria kiko wapi kimya kimya wameshindwa na wamejitoa kwenye vita na syria arab army wameshinda vita na last week wamerudi arab league
Marekani hawezi pigana vita mwenyewe lazima waungane na nato ili washinde vita. Nionyeshe vita ambayo Marekani kapambana mwenyewe akashinda.
Marekani alipigwa vibaya na vietnam akakimbia vita mpaka sasa hivi ni aibu.
Gadaffi mwenyewe kama asingechangiwa na wamarekani na washirika wao nato angeshinda vile vita imagine nchi zaidi ya 20 ziliungana zikaichangia libya. Wazungu ni waoga sana.
Jeshi la Marekani halina morali na maadili mfano mambo ya lgbtq jeshini. Kwa akili ya haraka haraka Marekani alipigwa hadi na Al- Shabaab hapo Somalia mbona ndege na manowari hazija wasaidiwe.
Huwezi kushinda vita vya anga kama huna boots on the ground.
JWTZ hawana vifaa kivile lakini Marekani hawezi kushindana na JWTZ kubali kataa.
We ndio mzalendo sasaJeshi la Marekani linasifika kwa silaha za kisasa iwe za nyuklia, biolojia au kemikali. Bila kusahau mindege yao mikubwa, nyambizi za kisasa, aircraft career nk.
Ila ukweli ni kwamba Marekani haijawahi kushinda vita vyovyote vile. Wala Marekani haijawahi kupigana na kushinda vita vya muda mrefu.
Marekani ni jeshi la waoga sana. Tazama juzi juzi walikimbia Afghanistan na kuwaachia taleban mavifaa ya kisasa ndege pamoja na fedha mamilioni ya dola. Kisa kuogopa wachunga mbuzi wenye AK 47. Taleban hawana bulet proof vest wao vita kwao ni kufa na kupona sio ku cheat kama wazungu.
Marekani alianza chokochoko za kumwondoa bashar al asad raisi wa Syria kiko wapi kimya kimya wameshindwa na wamejitoa kwenye vita na syria arab army wameshinda vita na last week wamerudi arab league
Marekani hawezi pigana vita mwenyewe lazima waungane na nato ili washinde vita. Nionyeshe vita ambayo Marekani kapambana mwenyewe akashinda.
Marekani alipigwa vibaya na vietnam akakimbia vita mpaka sasa hivi ni aibu.
Gadaffi mwenyewe kama asingechangiwa na wamarekani na washirika wao nato angeshinda vile vita imagine nchi zaidi ya 20 ziliungana zikaichangia libya. Wazungu ni waoga sana.
Jeshi la Marekani halina morali na maadili mfano mambo ya lgbtq jeshini. Kwa akili ya haraka haraka Marekani alipigwa hadi na Al- Shabaab hapo Somalia mbona ndege na manowari hazija wasaidiwe.
Huwezi kushinda vita vya anga kama huna boots on the ground.
JWTZ hawana vifaa kivile lakini Marekani hawezi kushindana na JWTZ kubali kataa.
Hivi hapa baadhi ya vita Marekani amewahi kupigana na kushinda bila washirika wake.Kuna vita ambayo Marekani kapigana kashinda? Mimi sipo hapa kufundisha weakness, tactics wala nini nipo hapa kuleta hoja tuu. Unaweza ukawa na silaha nyingi lakini mbinu huna.
Swali ni moja ushawahi kuskia Marekani kapigana akashinda vita peke yake bila msaada wa nato? Mfano kama vietnam war nk
Mimi najuwa Wewe ni critical thinker kama ungetaka kujifunza kitu kutoka kwenye hii mada usinge nipinga.Hivi hapa baadhi ya vita Marekani amewahi kupigana na kushinda bila washirika wake.
Dominican Republic Occupation 1916
Haiti Occupation 1915
Nicaragua Occupation 1912
Battle of Ambos Nogales(Mexico)1918
Permesta Rebellion(Indonesia)1961
Lebanese civil war of 1958
Operation Just Cause(Panama) 1989
Hadithi yako inatufundisha nini mtoto mzuri?Jeshi la Marekani linasifika kwa silaha za kisasa iwe za nyuklia, biolojia au kemikali. Bila kusahau mindege yao mikubwa, nyambizi za kisasa, aircraft career nk.
Ila ukweli ni kwamba Marekani haijawahi kushinda vita vyovyote vile. Wala Marekani haijawahi kupigana na kushinda vita vya muda mrefu.
Marekani ni jeshi la waoga sana. Tazama juzi juzi walikimbia Afghanistan na kuwaachia taleban mavifaa ya kisasa ndege pamoja na fedha mamilioni ya dola. Kisa kuogopa wachunga mbuzi wenye AK 47. Taleban hawana bulet proof vest wao vita kwao ni kufa na kupona sio ku cheat kama wazungu.
Marekani alianza chokochoko za kumwondoa bashar al asad raisi wa Syria kiko wapi kimya kimya wameshindwa na wamejitoa kwenye vita na syria arab army wameshinda vita na last week wamerudi arab league
Marekani hawezi pigana vita mwenyewe lazima waungane na nato ili washinde vita. Nionyeshe vita ambayo Marekani kapambana mwenyewe akashinda.
Marekani alipigwa vibaya na vietnam akakimbia vita mpaka sasa hivi ni aibu.
Gadaffi mwenyewe kama asingechangiwa na wamarekani na washirika wao nato angeshinda vile vita imagine nchi zaidi ya 20 ziliungana zikaichangia libya. Wazungu ni waoga sana.
Jeshi la Marekani halina morali na maadili mfano mambo ya lgbtq jeshini. Kwa akili ya haraka haraka Marekani alipigwa hadi na Al- Shabaab hapo Somalia mbona ndege na manowari hazija wasaidiwe.
Huwezi kushinda vita vya anga kama huna boots on the ground.
JWTZ hawana vifaa kivile lakini Marekani hawezi kushindana na JWTZ kubali kataa.
Amka bro punguza kuotaKuna watu mambo ya duniani yamewapita kushoto yaani mpaka Leo unaamini taleban imewakimbiza marekani[emoji848].
Watu wamekamilisha mission zao kwa kutokomeza magaidi, kumuua Osama na wkt wanaondoka wameenda kwa Amani tu bila shuruti huku talebani wakibeba mabegi ya wageni wakiwasindikiza uwanja wa ndege halafu leo unasema usa ameshindwa vita na taleban.
Usa wapo makini sn mkuu.
Ni usitazi eeeOsama sio gaidi
Wazeee wa vibanda umiza haooooNaona umewachokonoa LGBTQ. Marekani ni maneno mengi na Propaganda na ushoga ndo anavyoweza.
Ndio na tunamkubali 💯💯Ni usitazi eee
wewe mwenye plan print ela zako bureMarekani hawana plani kwasababu wana print dollar bure
Sijui umeshiba maharage ya wap ww unaropoka tu.. anyway lakin wanaongoza Dunia.tuishie hapo!!!Jeshi la Marekani linasifika kwa silaha za kisasa iwe za nyuklia, biolojia au kemikali. Bila kusahau mindege yao mikubwa, nyambizi za kisasa, aircraft career nk.
Ila ukweli ni kwamba Marekani haijawahi kushinda vita vyovyote vile. Wala Marekani haijawahi kupigana na kushinda vita vya muda mrefu.
Marekani ni jeshi la waoga sana. Tazama juzi juzi walikimbia Afghanistan na kuwaachia taleban mavifaa ya kisasa ndege pamoja na fedha mamilioni ya dola. Kisa kuogopa wachunga mbuzi wenye AK 47. Taleban hawana bulet proof vest wao vita kwao ni kufa na kupona sio ku cheat kama wazungu.
Marekani alianza chokochoko za kumwondoa bashar al asad raisi wa Syria kiko wapi kimya kimya wameshindwa na wamejitoa kwenye vita na syria arab army wameshinda vita na last week wamerudi arab league
Marekani hawezi pigana vita mwenyewe lazima waungane na nato ili washinde vita. Nionyeshe vita ambayo Marekani kapambana mwenyewe akashinda.
Marekani alipigwa vibaya na vietnam akakimbia vita mpaka sasa hivi ni aibu.
Gadaffi mwenyewe kama asingechangiwa na wamarekani na washirika wao nato angeshinda vile vita imagine nchi zaidi ya 20 ziliungana zikaichangia libya. Wazungu ni waoga sana.
Jeshi la Marekani halina morali na maadili mfano mambo ya lgbtq jeshini. Kwa akili ya haraka haraka Marekani alipigwa hadi na Al- Shabaab hapo Somalia mbona ndege na manowari hazija wasaidiwe.
Huwezi kushinda vita vya anga kama huna boots on the ground.
JWTZ hawana vifaa kivile lakini Marekani hawezi kushindana na JWTZ kubali kataa.