Jeshi la Marekani ladai limetungua Makombora ya Iran, inadaiwa mpaka sasa hakuna Madhara yaliyoripotiwa

limedungua machache, ila mengi yamefika na yameiathiri sana Israel. Myahudi ana hasira sasaivi ukikutana naye usimwongeleshe, atakukwida. Ila wana mpango kulipiza, na watalipiza.
 
limedungua machache, ila mengi yamefika na yameiathiri sana Israel. Myahudi ana hasira sasaivi ukikutana naye usimwongeleshe, atakukwida. Ila wana mpango kulipiza, na watalipiza.
Iran wameweka wazi, Israel akishambulia atampa vitu hata bunker hazitasaidia
 
Wakiristo wa jf propaganda mnasomea wapi?

Hawa watu tulishawazoea, na Qur’an imeshawazungumzia.

Hivyo wanachokaririshwa ni wepesi wa kuamini na kutuletea humu uongo wao, kombora zaidi ya 400 halafu zisilete madhara kweli!!
 
Hawa nyoyo zao zimepigwa mhuri, hivyo usitegemee wawe upande wa wenye haki.
 
Hivi unaelewa maana hyper Sonic? Maana kuna super sonic pia hilo likifyatuliwa ni dk 3 liko tele vivi hilo limewekwa kando kama ikijibu na tangazo atakae fungua anga huo msako wake wasije laumiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…