Jeshi la Marekani ladai limetungua Makombora ya Iran, inadaiwa mpaka sasa hakuna Madhara yaliyoripotiwa

Jeshi la Marekani ladai limetungua Makombora ya Iran, inadaiwa mpaka sasa hakuna Madhara yaliyoripotiwa

msikaleee wale magoshaa wa herzbollah kazi kwenu
 
Kwani picha za wakati yanashuka zilikuwa censored na nani mpaka picha za madhara tusione?

Kwani zakushuka zinajificha ndugu?

Kwani hukuwahi kusikia hata Yesu ajapo Kila jicho litamwona?
 
Israeli level yake ni kina hamas tu hata houthi hamuwezi
 
Iran wamerusha makombora zaidi ya 200 ya ballistic. Madhara watu wawili kujeruhiwa kidogo sababu ya shrapnel /mabaki ya makombora na mpalestina mmoja aliyeuwawa na hayo mabaki ya makombora yaliyodunguliwa 🤔
 
Iran wamerusha makombora zaidi ya 200 ya ballistic. Madhara watu wawili kujeruhiwa kidogo sababu ya shrapnel /mabaki ya makombora na mpalestina mmoja aliyeuwawa na hayo mabaki ya makombora yaliyodunguliwa 🤔

Iran hailengi makazi ya watu inapiga military assets kama viwanja vya ndege.
Iran siyo Taifa la kihuni kupiga makazi ya watu ili kuua raia wengi iewezekanavyo kama hao Wazayuni wauaji
 
Kauli za US utagundua kuwa killings za HAMAS & HEZBOLLAH zilikuwa coordinated na US wala sio uwezo wa ISRAEL pekee kama dunia ya 3 wanavyopongezana ...
 
Iran hailengi makazi ya watu inapiga military assets kama viwanja vya ndege.
Iran siyo Taifa la kihuni kupiga makazi ya watu ili kuua raia wengi iewezekanavyo kama hao Wazayuni wauaji
Israel kama ikikusudia kushambulia watu basi watakuwa ni magaidi. Kama kuna raia watakufa basi watakuwa walifanywa ngao na hao magaidi /human shield 🤔.
Tusubiri Israeli itakavyolipiza kisasi dhidi ya Ayotollahs 🤔
 
Israel leo Air Dwfence isingeweza kitu maana kwa jinsi Iran alivyorusha isingeweza kitu kabisa kwani pods zake ni 16 missiles yeye katumiwa zaidi ya 180 reload time na muda Missiles zimetoka Iran zimetumia dakika 10 tu
Makombora mengi sana yamepiga target, vyombo vya habari vya wazungu visikupotoshe...
 
US Navy destroyers in the eastern Mediterranean Sea intercepted Iranian ballistic missiles during Tuesday’s launch, according to a US defense official.

The US currently has three guided-missile destroyers operating in the eastern Mediterranean: USS Arleigh Burke, USS Cole, and USS Bulkeley.

US destroyers also took part in intercepting Iran’s barrage of ballistic missiles and drones on April 13, shooting down several of the missiles launched at Israel.
Kujifariji kupo tu atakama wewe ni taifa teule
 
Kauli za US utagundua kuwa killings za HAMAS & HEZBOLLAH zilikuwa coordinated na US wala sio uwezo wa ISRAEL pekee kama dunia ya 3 wanavyopongezana ...
Mmeishindwa Israeli kwenye battle field Sasa mmeanza propaganda. Hao viongozi wa Hezbollah waliouwawa US waliweka mamilioni ya dola juu ya vichwa vyao , wengine ni toka miaka ya 80 sababu ya kushambulia interests na watu wa marekani. Israeli imegundua walipo na kuwauwa wewe unaleta Porojo 🤔
 
Israel leo Air Dwfence isingeweza kitu maana kwa jinsi Iran alivyorusha isingeweza kitu kabisa kwani pods zake ni 16 missiles yeye katumiwa zaidi ya 180 reload time na muda Missiles zimetoka Iran zimetumia dakika 10 tu
Ni kweli kuna makombora dazeni kadhaa yamepenya na kutua Israel.
Kwa faida ya Israel lazima itolewe taarifa iliyo ficha ukweli kwamba hayajaleta madhara yeyote.

Mimi sishabikii yeyote katika vita hivi ila nahisi Iran atapigwa vibaya sana kimkakati na Israel (Israel will punish Iran strategically like killing their military and political leaders including Ayyatolah).
Stop the war.
 
Ni kweli kuna makombora dazeni kadhaa yamepenya na kutua Israel.
Kwa faida ya Israel lazima itolewe taarifa iliyo ficha ukweli kwamba hayajaleta madhara yeyote.

Mimi sishabikii yeyote katika vita hivi ila nahisi Iran atapigwa vibaya sana kimkakati na Israel (Israel will punish Iran strategically like killing their military and political leaders including Ayyatolah).
Stop the war.
Weka ushahidi wa madhara yaliyotokea, kusababishiwa na makombora. Hii dunia ya technology huwezi kuficha kitu. Ukizingua hata satellite zitakuumbua🤔
 
Sasa wewe umeona wapi hayo madhara kama huo ndio utaratibu?
Mkuu wavaa vipedo na misuli hata kama kasoma likija suala la amani ni kama vile kichwa wanatumia kufugia nywele na midevu badala ya kutumia kufikiri 🤔
 
Kauli za US utagundua kuwa killings za HAMAS & HEZBOLLAH zilikuwa coordinated na US wala sio uwezo wa ISRAEL pekee kama dunia ya 3 wanavyopongezana ...
Wewe umegundua nini ili tuzungumze kwa upana wake!
 
Back
Top Bottom