Jeshi la Police kamateni viongozi wa LBL ofisi zote nchi nzima mikoa yote kabla pesa hazijatoroshwa nchini

Jeshi la Police kamateni viongozi wa LBL ofisi zote nchi nzima mikoa yote kabla pesa hazijatoroshwa nchini

Ila kuna watu wanapenda sana michezo ya kutapeliwa
 
Pesa zishatolewa na kila mtu keshakufa na chake wawekezaji subirin apo apo mpigwe tena
 
Hivi Inakuaje uweke laki nne na nusu na alafu kila mwezi urudishiwe laki nne na nusu.Pumbaffff kabisa hata hao waliotapeliwa inabidi wawekwe ndani tupunguze wajinga mtaani.
 
Hawa watu ni wahuni wameshawapiga watz wanataka kusepa na pesa sasa.
Meneja wao huo hapa anaitwa Emily yupo Uingereza +44 7429 429168.
Ukiangalia list ya makampuni ya Uingereza hii kampuni haipo.
Ukiingia google ukasearch scarm company imo so iliwezekanaje hawa wahuni kupewa vibali vya kufanya wizi Tanzania
Vp Hii F I C Nayo Itaondoka Na Kijiji
 
Hakika Hii Ni Kwa Wenye Akili Tu
Hii Ni Michezo Ya Kuwakamua Wananchi Wajinga
Hahaha michezo ya watu Serikalini hio wewe hujui tu km umepigwaa kaa tulia Serikali ishachukua fungu lake
 
Kila siku mkiambiwa hamsikiii 😄😄😄 msiichoshe serikali ni upumbavu wenu tu.
Na kesho itakuja nyingine mtaingia kuchota pesa za bure
Ipo Sasa Hivi FIC Ina Watu Tele
 
Hawa watu ni wahuni wameshawapiga watz wanataka kusepa na pesa sasa.
Meneja wao huo hapa anaitwa Emily yupo Uingereza +44 7429 429168.
Ukiangalia list ya makampuni ya Uingereza hii kampuni haipo.
Ukiingia google ukasearch scarm company imo so iliwezekanaje hawa wahuni kupewa vibali vya kufanya wizi Tanzania
Poleni sana...
Mjifunze sasa
 
Nchi hii mandezi wengi ndio maana watu wenye akili wanaziona fursa kupitia undezi huo.

Tumesema sana humu ndani tena kupitia mifano hai iliyowahi kutokea lakini mjimga ni mjinga tu badala ya kuchukua kama funzo yeye anakuona hater unachukia maendeleo yake.

Sasa kila mtu aliyeingia huko anaamza kubweka bweka kuisumbua serikali eti iingilie kati. Huo ni ujinga.

Na hata hii itapita, itakuja nyingine na kama kawaida vinabo hawata kosekana na mwisho utakuwa kama huu, kwasababu tu ya wajinga wamekuwa ni wengi.
Cc mrangi
 
Hakuna jina kweny website ni la kweli ,wote hao ni fictional characters mpaka address ...Hii mwanzilishi wake hayupo mbali kabisa ,nchi za nje huwezi kuanzisha website ya utapeli ni rahisi kuijui kutokana na mifumo ya mitandao yao.

Server za website wanaweza kuzipa location yoyote ile duniani ili kuendana na masaa ya nchi fulani ila ni danganya toto.

Hao jamaa ni wajanja sana wengine wapo bongo ndio wanasaidia kuunganisha huduma ya mobile money kama mpesa , Airtel money na tigopesa.
Mkuu hilo so kweli kuna websites kama darknet markets hadi sasa bado zipo zinatamba kama abacus,torzon,nexus bidencash na russian market bado zipo hewan na wamiliki hawajakamatwa hadi sasa
 
Back
Top Bottom