Sijapanic, Ila kweli hasira ninazo kuona bunge ninalogharamia linakuwa la kipumbavu, polisi wanaofanya kazi kwa kodi zangu wanakuwa wa hovyo!Umepanic alafu una hasira kali mno!
Kunywa maji, kisha nenda kalale huu uzi utakufanya uteseke bure.
InaumaKimada Joyce Mukya ana nguvu kuliko hata mtoto wa kumzaa wa Mbowe.
Mke wa ndoa wa Mbowe Ni daktari Tena bingwa.
Mbowe akaona taarifa hizo zimfikie kimada sio mkewe wa ndoa Wala mwanawe.
Maisha haya puuuui.
Pole Sana mke wa ndoa wa Mbowe
Sijui kwanini jeshi la Polisi hawajifunzi. Kuna dhana kuwa wananchi ni wajinga sana na kwamba kila watakachotupa wananchi watadaka."Pascal Mayalla, post: 35681666, member: 17813"]Mkuu Nguruvi3,This is a shame kwa jeshi letu la polisi!.
Haya dereva wa Mbowe na Mbowe wapo.Katika shambulio la Lissu, there was an excuse, mashahidi walioshuhudia ni wawili tuu na hawapo nchini, lakini hili la Mhe. Mbowe, Mbowe mwenyewe yupo, dereva wake yupo, yule shahidi muhimu yupo, sasa polisi wetu wanakwama wapi?.
I mean inatia aibu, hili linamalizwa na afisa wa dawati tu, ni kitu simple lakini jeshi limejikanyaga na kila likijikanyaga linajichafua sana. Kwanini wasikae kimya!Kama vitu vidogo hivi simple na straight forward ndio wanatoa taarifa za kujiumauma hivi, what about complex issues kama shambulio la Lissu?!.
Mkuu kwani unadhani vita ya kwanza na media ilikuwa kuhusu nini. Ni kuzuia , kuzitisha na kuhakikisha habari kama hizi zinakuwa chini ya udhibiti wa ''jeshi' na utunzi wa tamthilia.Naendelea kusisitiza sisi media tunaweza kusaidia, mwandishi yoyote wa IJ anaweza kuimaliza hii kitu in just some few munutes less than a day!.
Yes it is! hivi tulimuondoa mkoloni ili iweje? Hata jeshi la wakati wa mkoloni lisingekuwa low kiasi hiasi hiki.Shame!.
PoliCCMBadala ya kusubiri kuingia madarakani kulifuta Jeshi la Polisi unaonaje tumshauri IGP wa Jeshi la Polisi naye aamrishe askari wake wajifungie kwa siku 14, kujipima maambukizi ya korona kama alivyofanya Kamanda wa Makanda wenu kwa Wabunge wake kususia bunge la bajeti!!!
Hahahaha... Pasco umeuma na kupuliza!Mkuu Nguruvi3,
This is a shame kwa jeshi letu la polisi!.
Niliwahi kushauri hivi
WanaJF, Je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?
Hata hili tukio la kushambuliwa kwa Mhe. Mbowe, serikali yetu kupitia jeshi letu la polisi, tayari imeishashindwa sasa inakuja na hadithi!.
Katika shambulio la Lissu, there was an excuse, mashahidi walioshuhudia ni wawili tuu na hawapo nchini, lakini hili la Mhe. Mbowe, Mbowe mwenyewe yupo, dereva wake yupo, yule shahidi muhimu yupo, sasa polisi wetu wanakwama wapi?.
Kama vitu vidogo hivi simple na straight forward ndio wanatoa taarifa za kujiumauma hivi, what about complex issues kama shambulio la Lissu?!.
Naendelea kusisitiza sisi media tunaweza kusaidia, mwandishi yoyote wa IJ anaweza kuimaliza hii kitu in just some few munutes less than a day!.
Shame!.
P
Yaani nyie watu Mungu anawaona, duh..sio kwa roho ngumu hizo aisee.Mnavyomtafuta mtatoa ripoti zaidi ya hiyo? Chuki ya wazi kwake mliyonayo hatuoni ajabu!
Kwa jinsi tunavyomfahamu Mbowe na viongozi wake, tukio kama hilo, lilomgusa mwenyewe, asingechukua hatua ya kupata matibabu kisiri. Wangeitwa waandishi wa habari wa ndani na nje kuutangazia ulimwenguLengo la ccm ndio hilo unalolisema wewe , ilipangwa iwe hivi , lakini hii ni mipango ya kishamba , ambayo ni mtu mshamba kama wewe utaiamini , nimekueleza na labda nikueleze tena Ubalozi wa Marekani umerekodi tukio la Mbowe , na ndio maana Polisi wa Tanzania hutawasikia wakitoa picha za cctv camera
Kama anamdanganya mkewe,atashindwa danganya wananchi ?Tabia ya mtu ina reflect sana tabia zake atakapokuwa kiongozi. Kama Magufuli anazaa nje anamletea mama Janet alee. Tunaona yanayotokea leo.Ni nani kaweka imani yake kwa mtu? Ww kuwa na chama au kutokuwa nacho is non of our business. Hakuna anayejali mahusiano binafsi ya kinyumba ya Mbowe na familia yake, maana sio kiunganishi na chama. Mbowe anakunywa hilo wala halina mjadala, hajaanza jana wala hatakaa aache. Ila hayo hayatuhusu, nadhani tukipata CCTV footage, zitaweka ukweli wote hadharani. Haya mengine ni mbwembwe tu.
Unapotafuta Ushahidi huwa hauanzii third party iwe CCTV , majirani au yeyote unaanzia kwa wahusika wenyewe kwanza.Swali Kama walivamiwa kwa Nini hawakuripoti polisi kupata PF3 ? Kama taratibu zinavyotaka.Hili Ni la Kwao wao ndio mashahidi namba moja wa tukio mtape tape vipi Hilo swali lazima wajibu wao sio third party
Yote yatajibiwa kwa ufasaha.Mtoto wa Mbowe alikuwa ndani ila Mbowe alipianguka akarudi kwa mukya kweli PENZI ni habari nyingine
Hawajielewi hawa watu, mbona wengine hawasumbuki na mambo ya Kisarawe? Wala hakuna mwenye kufuatilia na Sundi na kurithishwa mali zingine za umma zilizoporwa?Ni nani kaweka imani yake kwa mtu? Ww kuwa na chama au kutokuwa nacho is non of our business. Hakuna anayejali mahusiano binafsi ya kinyumba ya Mbowe na familia yake, maana sio kiunganishi na chama. Mbowe anakunywa hilo wala halina mjadala, hajaanza jana wala hatakaa aache. Ila hayo hayatuhusu, nadhani tukipata CCTV footage, zitaweka ukweli wote hadharani. Haya mengine ni mbwembwe tu.
Nafasi ya Mbowe katika jamii huwezi kufananisha na hao waliotajwa.Kumbe polisi siku hizi wako makini kwa uchunguzi? Ndani ya siku upelelezi tayari na unafanana kabisa na upelelezi wa BungeView attachment 1476643
Labda waliona si vyema kijana kuja kumuona mzee wake akiwa chakari.James Mbowe, vp mzee hakuamini? Anashindwa kukupa taarifa anatoa kwa nyumba ndogo