Jeshi la polisi hivi mnauhakika wale Trafiki pale mwenge (bagamoyo road) wanafanya kazi ya usalama barabarani?

Jeshi la polisi hivi mnauhakika wale Trafiki pale mwenge (bagamoyo road) wanafanya kazi ya usalama barabarani?

Nahisi kuna matumizi mabaya ya sare za jeshi la polisi trafiki pale Mwenge mataa, tank bovu, interchik n.k (bagamoyo road)

Ukiwatazama utafikili wapo siliazi kabisa kufanya kazi ya jeshi la polisi, wanasimama na vimashine na vikaratasi vyao kukamata madaladala.

Kinachonishangaza ni vile wako team work kila mtu anasonda kila daladala elf mbilimbili yake utazani wamepewa target ya makusanyo na viongozi waliowatuma!

Kama mambo meupe na mepesi kama hayo yanayoweza kuonekana hata na kipofu, napata mashaka na uwezo wa TAKUKURU Vinginevyo hilo Jambo lina BARAKA ZA WAKUBWA!

Hakika hayo ni matumizi mabaya sana ya sare za polisi na kodi za wananchi!

Maana sielewi kama kweli wanafanya kazi za jeshi au wanatumia sare za jeshi kufanya kazi zao binafsi!

Kama hili linabaraka basi halina tofauti na vibaka waliovaa sare!
tulia wewe , aliongea kinana ikapita kama upepo, ndio uje usikilizwe wewe
 
Wengine huwa wanalundikana barabara ya mandela (mbele ya veterinari - bodi ya mikopo elimu ya juu), na Azam....
Kuna siku nipo kwenye gari, abiria wanamwambia dereva ‘usichepuke, trafki yupo mbele pale’, dereva akajibu ‘sichepuki kwa sababu ya yule paleeeee wa mbele, huyu KITENGO chake ni bodaboda tu. Huwa hakamati daladala.’
MANINA 😂
Duh
 
MIMI SIONI TATIZO KUPOKEA BUKU MBILI SGIDA IKO WAPI KWANI..KILA MTU APAMBANIE MAISHA YAKE
Na hata Walimu wa serikali, tusiwalalamikie Wanapotaka michango shuleni.
 
Akikupiga mkono ka una kimeo unasimama mbele kdg unansikilizia akikaribia unamuonesha 5000 kwa chinichini usawa wa gia... Akiiona unahamisha mkono wa dirishan anakwapua chap.... Unasepaaa[emoji1787][emoji1787]

Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
 
Kinachonishangaza ni vile wako team work kila mtu anasonda kila daladala elf mbilimbili yake utazani wamepewa target ya makusanyo na viongozi waliowatuma!

Ina maana hujui kwamba wana hesabu ya kufikisha daily? Na tena hesabu hiyo isipofika mara kwa mara, unahamishwa kabisa kitengo.
 
Kuna mwingine huwa anasimama pale sheri sijui pale ndo ofisi au huwa inakuwaje
 
Maisha yao wanakoseshwa sana haki zao so naona mamlaka zimewapa fursa za kujiwezesha wenyewe, japo ukisikia maonyo ya viongozi wao inapicha tofauti kbsa
Hili nalo neno, je, polisi wanawezeshwa vipi kimaslahi? na kilio ni hikihiki kwa walimu, manesi nk....huenda ni wakati mwafaka sasa kwa serikali kufikiri kuhusu maslahi bora kwa watumishi wa kada mbalimbali..
 
Nahisi kuna matumizi mabaya ya sare za jeshi la polisi trafiki pale Mwenge mataa, tank bovu, interchik n.k (bagamoyo road)

Ukiwatazama utafikili wapo siliazi kabisa kufanya kazi ya jeshi la polisi, wanasimama na vimashine na vikaratasi vyao kukamata madaladala.

Kinachonishangaza ni vile wako team work kila mtu anasonda kila daladala elf mbilimbili yake utazani wamepewa target ya makusanyo na viongozi waliowatuma!

Kama mambo meupe na mepesi kama hayo yanayoweza kuonekana hata na kipofu, napata mashaka na uwezo wa TAKUKURU Vinginevyo hilo Jambo lina BARAKA ZA WAKUBWA!

Hakika hayo ni matumizi mabaya sana ya sare za polisi na kodi za wananchi!

Maana sielewi kama kweli wanafanya kazi za jeshi au wanatumia sare za jeshi kufanya kazi zao binafsi!

Kama hili linabaraka basi halina tofauti na vibaka waliovaa sare!
NAMBA MOJA alishasema, nanukuu, "kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake"..[emoji2]
 
Ni waroho balaaaaaaaaaaa, kuna mmoja alinisimamisha nikaunga akaanza kunikimbiza akanikuta golen akala elf5 tukaachana
Mimi Morogoro walinikamata pale Sokoine nikiwa natokea shamba, nikawaambia sina kitu kabisa, wakaona maembe dodo ndani ya gari wakakomaa mpaka nikawapa 4 aiseeee..
 
MIMI SIONI TATIZO KUPOKEA BUKU MBILI SGIDA IKO WAPI KWANI..KILA MTU APAMBANIE MAISHA YAKE
Watoe risiti ya mashine basi ili tujenge nchi badala ya kujenga matumbo yao..
 
Jeshi la Polisi lina watu wa ovyo sana haswa hicho Kitengo cha Trafiki, Kumejaa wajinga wengi sana hawana hata Common sense
 
Nahisi kuna matumizi mabaya ya sare za jeshi la polisi trafiki pale Mwenge mataa, tank bovu, interchik n.k (bagamoyo road)

Ukiwatazama utafikili wapo siliazi kabisa kufanya kazi ya jeshi la polisi, wanasimama na vimashine na vikaratasi vyao kukamata madaladala.

Kinachonishangaza ni vile wako team work kila mtu anasonda kila daladala elf mbilimbili yake utazani wamepewa target ya makusanyo na viongozi waliowatuma!

Kama mambo meupe na mepesi kama hayo yanayoweza kuonekana hata na kipofu, napata mashaka na uwezo wa TAKUKURU Vinginevyo hilo Jambo lina BARAKA ZA WAKUBWA!

Hakika hayo ni matumizi mabaya sana ya sare za polisi na kodi za wananchi!

Maana sielewi kama kweli wanafanya kazi za jeshi au wanatumia sare za jeshi kufanya kazi zao binafsi!

Kama hili linabaraka basi halina tofauti na vibaka waliovaa sare!
Wanapeleka hesabu kwa bosi! Hilo liko wazi mbona? Bosi ana hesabu yake kwa kila mtu na wao wana target za makusanyo yao!! Ukileta ubishi unapelekwa Mpitimbi au unarudishwa kaunta
 
Kutwa mnawaambia polisi mishahara midogo,mara sijui wanapata laki 3 kwa mwezi,mara wanatumika tu na wanasiasa ila wana maisha mabovu,hivi mnadhani hawasikii?
Mama aliwahi kutamka kua kila mtu ale kulingana na urefu wa kamba yake,mnadhani hawakusikia?
Acheni wale,kwenye halmashauri pesa zinapigwa na hampigi kelele,wao wawaache kwanini?
 
Back
Top Bottom