Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maigizo!Polisi wanaingia kazini kuchunguza madai ya Makonda kutishia kumuua Salah.
View attachment 2950558
Acha uongo mo tupo nae hapa hapa bongoHili hili jeshi au jingine? Labda.
Ila sasa nimeelewa kwanini Mo Dewji ameamua kuhamishia makazi yake Dubai, in a multimillion mansion.
Ingekuwa kipindi kile.Sio tu kutisha anaweza ua na asichukuliwe hatua yeyote
mchezaji wa riverpuriSi wote tunamfahamu SALAA mfafanue na eleza kidogo sababu za wao kutishiana kuuana
Huyo Salah ni kiongozi, sisi tunaongelea kiongozi muhalifu.Watu hapa wanadhani Makonda shetani lakini Salah ni zaidi ya shetani watu wanajificha nyuma ya matabasamu tu lakini ni watu makatili sana. Ujuwe kwanini walishawahi kumwagiwa tindikali bahati aka survive ila sio mtu mwema.
Anaangalia Picha za Kihindi halafu anafikiri zile ni ukweli kumbe ni Acting tu alivyo Childish😆
Alikuwa akiwanyima wenzake "HAKI ya KUISHI" na bado alimuambia Saalah "nitakupoteza".
Huyu Jamaa ingekuwa ni Nchi zingine angekuwa Jela za Kilimo anatumikia lakini hapa Tanzania anafanywa kuwa Mkuu wa Itikadi Uenezi na Mkuu wa Mkoa maarufu wa Utalii.