Nawajuwa kuliko unavyodhaniUnamzunguzia Salah au said chief. Kama hujui kitu ukikaa kimya utapungukiwa na nini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawajuwa kuliko unavyodhaniUnamzunguzia Salah au said chief. Kama hujui kitu ukikaa kimya utapungukiwa na nini.
Ila huyu jamaa 🙌🙌🙌
Ndio ukoo wao hao hao, na yule muhindi aliyemtesa mpaka kumuingiza mavitu nyuma kisa anahisi kapiga pesa? wewe ukiona watu wanajificha nyuma ya team hizi mbili sio bure ni kule kupoteza malengo lakini nyuma ya pazia ni mbwa hawa ni vile wanakula na wakubwa tu.Sio yeye bwana aliyemwagiwa tindikali jaribu kufanya research kabla ya kuongea
Ukiwa tajiti lazima kuna vitu ufanye ili watu wasikuzoeee sana, vinginevyo wahuni watakuibia hovyo, ukionesha mfano kwa mmoja wao hakika watakuogopaWatu hapa wanadhani Makonda shetani lakini Salah ni zaidi ya shetani watu wanajificha nyuma ya matabasamu tu lakini ni watu makatili sana. Ujuwe kwanini walishawahi kumwagiwa tindikali bahati aka survive ila sio mtu mwema.
Hapa tunaongelea Makonda na Salah wana issue zao hakuna mtu msafi hapa, huyu Salah na silent ocean yake JPM alishawaongelea hawa utapeli wanaofanya serikalini ni vile wananunua watu ili wafanya uchafu wao. Kuna muhindi walimtesa vibaya sana mpaka sehemu za siri mambo ya hovyo na yule mfanya biashara wa kariakoo waliomfanyia unyama. Ni vile wanatumia pesa kununua haki za wanyonge. Issue ya Makonda hakuna mtu kaja na ushahidi wowote juu yake. Alipokuwa sio kiongozi si wangetoka watu waseme kawafanyia hivi au vile mbona kimyaa.Huyo Salah ni kiongozi, sisi tunaongelea kiongozi muhalifu.
Ok basi na viongozi wanatumia same tactic, hakuna kuzoeana wacha tuogopaneUkiwa tajiti lazima kuna vitu ufanye ili watu wasikuzoeee sana, vinginevyo wahuni watakuibia hovyo, ukionesha mfano kwa mmoja wao hakika watakuogopa
Sasa si uende ukashtaki? Tuaminije huu upumbavu wako?Watu hapa wanadhani Makonda shetani lakini Salah ni zaidi ya shetani watu wanajificha nyuma ya matabasamu tu lakini ni watu makatili sana. Ujuwe kwanini walishawahi kumwagiwa tindikali bahati aka survive ila sio mtu mwema.
Mtu mwenye rekodi ya jinai na anayeendelea kutishia kudhuru raia ndio mama ameona anafaaaa kwenda kumwakilisha kwenye mkoa wa kimkakati , na Makao makuu ya afrika mashariki ambako mara nyingi atatakiwa kumuwakililisha kwenye masuala ya kimataifaSio tu kutisha anaweza ua na asichukuliwe hatua yeyote
NaamAti leo Makonda ndie alie onekana ana faa kuwa Rc wa Arusha!! Ni vetting ya aina gani hutumika kuwa teua majambazi kuwa watawala?
Kuna mapungufu mengi sana kwenye katiba yetu.
Yaani kiongozi akisha kuwa na mapenzi na mtu hata awe jambazi ana mpa cheo.
Makonda ni mtu wa kuwa jela na sio kuwa Rc.
Tutegemee Mama kwa aibu hii kabla ya 04 Aprili 2024 awe ame tengua uteuzi wa Makonda
Yule naye katupiga sana banaaaaHili hili jeshi au jingine? Labda.
Ila sasa nimeelewa kwanini Mo Dewji ameamua kuhamishia makazi yake Dubai, in a multimillion mansion.
Mbona hatupewi RB Namba kama tukio ni la kweliPolisi wanaingia kazini kuchunguza madai ya Makonda kutishia kumuua Salah.
View attachment 2950558
Haijalishi ikiwa tu kama waliofanyiwa mabaya na huyo Salaa hawajalalamika na pia haiondoi kosa la kiongozi wa umma kutishia kuua Raia. Kama Salaa ana makaosa na makonda akiwa kama kiongozi angemshitaki na sio kumtishia kumuua.Watu hapa wanadhani Makonda shetani lakini Salah ni zaidi ya shetani watu wanajificha nyuma ya matabasamu tu lakini ni watu makatili sana. Ujuwe kwanini walishawahi kumwagiwa tindikali bahati aka survive ila sio mtu mwema.
Taka2Polisi wanaingia kazini kuchunguza madai ya Makonda kutishia kumuua Salah.
View attachment 2950558