Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Visasi haviishi na hadhulumiki mtu.Kitaeleweka tu.Apelekwe kwa Wahouthi aliotaka kuwazulumu Nyumba 😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Visasi haviishi na hadhulumiki mtu.Kitaeleweka tu.Apelekwe kwa Wahouthi aliotaka kuwazulumu Nyumba 😁
Sasa unakosea Salah ni mtu na nusu sema kama humjui sana. Hao wengine sawa inawezekana lakin pia mtu hawez kukufuata kama hujamwingilia maslah yake. Ni kama vile umkute mbwa anakula nyama yake halafu utake kumwingilia lazima kuna moto flan utatokea kushika hela sioYes nilikuwa namaanisha as family ni mafia hao tena wana ukatili sio kawaida.
Polisi wanaingia kazini kuchunguza madai ya Makonda kutishia kumuua Salah.
View attachment 2950558
Sasa sote tukiwa wanyama tukiingiliwa maslahi yetu nchi hii itakalika? mtu kakuibia mchukue mpeleke vyombo vya usalama haki itatendeka lakini sio kuwa na private jela nakutesa watu hii sio Afghanistan.Sasa unakosea Salah ni mtu na nusu sema kama humjui sana. Hao wengine sawa inawezekana lakin pia mtu hawez kukufuata kama hujamwingilia maslah yake. Ni kama vile umkute mbwa anakula nyama yake halafu utake kumwingilia lazima kuna moto flan utatokea kushika hela sio
Uhalifu aliokuwa anafanya Makonda ulikuwa na mkono wa dhalimu magu, hakuna anayeweza kuchunguza maana kungeleta picha mbaya kiutawala. Hizo ndio huitwa Siri za serekali. Lakini kukitokea mabadiliko ya serekali hasa nje ya ccm, Makonda atakuwa mfungwa namba Moja wiki ya kwanza ya rais mpya kuapishwa. Ushahidi wa uhalifu wake uko wazi.Hapa tunaongelea Makonda na Salah wana issue zao hakuna mtu msafi hapa, huyu Salah na silent ocean yake JPM alishawaongelea hawa utapeli wanaofanya serikalini ni vile wananunua watu ili wafanya uchafu wao. Kuna muhindi walimtesa vibaya sana mpaka sehemu za siri mambo ya hovyo na yule mfanya biashara wa kariakoo waliomfanyia unyama. Ni vile wanatumia pesa kununua haki za wanyonge. Issue ya Makonda hakuna mtu kaja na ushahidi wowote juu yake. Alipokuwa sio kiongozi si wangetoka watu waseme kawafanyia hivi au vile mbona kimyaa.
Mtu hawez kukufanyia huo ujinga kama wewe hujaufanya mkubwa zaid lakin pia sio kila kitu kinafuata sheria mzee. Tuishie hapoSasa sote tukiwa wanyama tukiingiliwa maslahi yetu nchi hii itakalika? mtu kakuibia mchukue mpeleke vyombo vya usalama haki itatendeka lakini sio kuwa na private jela nakutesa watu hii sio Afghanistan.
MBONA MAKONDA ALIPOVAMIA CLOUDS TV HAMKUMCHUNGUZA?Polisi wanaingia kazini kuchunguza madai ya Makonda kutishia kumuua Salah.
View attachment 2950558