hip hop uchwara
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,616
- 1,282
Bashite
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si wote tunamfahamu SALAA mfafanue na eleza kidogo sababu za wao kutishiana kuuana
Sacar face ya salaa kwaajiri ya tindi kali?? Na ilikuwajeWatu hapa wanadhani Makonda shetani lakini Salah ni zaidi ya shetani watu wanajificha nyuma ya matabasamu tu lakini ni watu makatili sana. Ujuwe kwanini walishawahi kumwagiwa tindikali bahati aka survive ila sio mtu mwema.
Hii stori mbona ilivuma sana mitandaoni hata humu jf ilijadiliwa sana! Au ulikuwa bado upo shule?Sacar face ya salaa kwaajiri ya tindi kali?? Na ilikuwaje
Duu shule tena kuna wazee humu na hawamjui huyo salaa na ishu zake he is not famous figure as suchHii stori mbona ilivuma sana mitandaoni hata humu jf ilijadiliwa sana! Au ulikuwa bado upo shule?
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Basi kama ndo hivyo makonda kazi anayo kubwa sanaMdogo wa GSM wa Yanga...
Sio yeye bwana aliyemwagiwa tindikali jaribu kufanya research kabla ya kuongeaWatu hapa wanadhani Makonda shetani lakini Salah ni zaidi ya shetani watu wanajificha nyuma ya matabasamu tu lakini ni watu makatili sana. Ujuwe kwanini walishawahi kumwagiwa tindikali bahati aka survive ila sio mtu mwema.
punguza uwongomchezaji wa riverpuri
Unamzunguzia Salah au said chief. Kama hujui kitu ukikaa kimya utapungukiwa na nini.Watu hapa wanadhani Makonda shetani lakini Salah ni zaidi ya shetani watu wanajificha nyuma ya matabasamu tu lakini ni watu makatili sana. Ujuwe kwanini walishawahi kumwagiwa tindikali bahati aka survive ila sio mtu mwema.
Sasa huyo ndio mwanamuke tena apewe nchi nitafurahi sana makonda baba tunakutgemea na tunakukubal sanaAlihusika kumteka Roma na kuongoza genge kwenye shambulizi la Lissu, kuvamia studio za Clouds na silaha, ni kitu Gani asichoweza kufanya!? Wale waliompiga ban asikanyage kwao sio kwamba ni wajinga, taarifa zake wanazo. Ana ujasiri wa shetani huyo kichaa.
Ila asisahau, hizi sio zile zama za yule jamaa wa Chato, hao anaowatisha wanaweza kumshughulikia pia.
Duh 🙄 !Sio tu kutisha anaweza ua na asichukuliwe hatua yeyote
Ati leo Makonda ndie alie onekana ana faa kuwa Rc wa Arusha!! Ni vetting ya aina gani hutumika kuwa teua majambazi kuwa watawala?Hili hili jeshi au jingine? Labda.
Ila sasa nimeelewa kwanini Mo Dewji ameamua kuhamishia makazi yake Dubai, in a multimillion mansion.
Basi kama ndo hivyo makonda kazi anayo kubwa sana
Makonda amekuwa mwanamke Tena? Punguza matusi.Sasa huyo ndio mwanamuke tena apewe nchi nitafurahi sana makonda baba tunakutgemea na tunakukubal sana
Number moja ndio ana matatizo kutukera Kwa dhati na huyo jambazi, mnyang'anyi, mtumia vyeo vibaya, mwenye Siasa uchwaraAlikuwa akiwanyima wenzake "HAKI ya KUISHI" na bado alimuambia Saalah "nitakupoteza".
Huyu Jamaa ingekuwa ni Nchi zingine angekuwa Jela za Kilimo anatumikia Mvua kadhaa lakini hapa Tanzania anafanywa kuwa Mkuu wa Itikadi Uenezi na Mkuu wa Mkoa maarufu wa Utalii.
Big point👍Watajuana wenyewe, wote makada wa CCM labda watasuluhishwa chamani...