Jeshi la Polisi lapekua nyumba ya Boniface Jacob, laenda na GJ Malisa Moshi kupekua nyumba yake

Anajodhalilisha sana, pia analidhalilisha Jeshi la Polisi, Bora Angekaa kimya na kuchukua hatua za kushughulikia suala hili kimya kimya bila ya kuushitua umma wa Wananchi.
Polis wa Tanzania anapoteuliwa kuwa RPC wa Dar huwa anajiona ni mjanja kuliko hata Rais wa Nchi , ndio shida inayompata Murilo
 
Sasa wanaenda kupekua nini kwa kesi ya uchochezi, kifaa kilichotumika ni simu ama kama huo anatumia bangi ndiyo anapost πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Polisi wa tz ni mizigo kichwani wamejaa hewa tu hizo gharama wanazotumia hapo nani analipia?
 
Tanzania hatuna polisi kwa maana ya polisi.
 
So, hiyo ndiyo Police Force yenu inavyofanya kazi katika zama hizi?
Kazi mnayo
 
πŸ“πŸ”ŠπŸ†’πŸ‘ŒπŸ‘πŸ‘πŸ‘ŠπŸ€πŸ™
 
Kwa taarifa hizo, huko Moshi wakifika watakuta ndizi TU.
Hukawii kusikia Murilo akiita press kusema kuwa katika upekuzi wamefanikiwa kukamata kilo nne za cocaine, bunduki mbili aina ya AK47 na nyingine gobore la kienyeji na magazine yenye risasi 13 nyumbani kwa Malisa pale Old Moshi.
 
Umesoma ulichoandika mkuu na ukaona umeandika kitu kinachoeleweka?
 
Umesoma ulichoandika mkuu na ukaona umeandika kitu kinachoeleweka?
for beginners in political scene, I'm sorry, I know you must be confused completely on what I commented concerning what is going on, up on these two political activists as per motion raised above πŸ’

nisamehe sana aise πŸ’
 
for beginners in political scene, I'm sorry, I know you must be confused completely on what I commented concerning what is going on, up on these two political activists as per motion raised above πŸ’

nisamehe sana aise πŸ’
You don't make sense. You mean they shouldn't raise their voices for fear of not getting chances of being appointed to take a public office? You mean they will ruin their chances of occupying a public office just because the police have slapped false accusations on them?

Your thinking is of a very silly selfish man. You don't even deserve to take a wife and have children.

You lack any sense.
 
Taasisi ya kuwachunguza polisi ni Mahakama. Sio Mahakama chombo badi Mahakama mhimili wa dola. Hivi ni vitu viwili tofauti japo wengi huvichanganya.

Inaundwa kamati ya uchunguzi itakayoongozwa na Jaji wa Mahakama Kuu kwa ajili ya hiyo kazi.

Ila wakitaka kulinunua watawawahi kwa kupitia Bunge na kamati/kamisheni husika
 
Hit em up bro
 
that's why I said very sorry at very bigining of my comment....

you know sometimes some one must be very good in both understanding and replaying. basing on one side will ends you up on panic mode as well as confusing this......

I said among difficulties the gentleman might face in coming days especially in his leadership carrier will be disqualifications on contesting political positions...

and that will happen if this saga ends badly up on his side πŸ’

so don't confuse, and take it as it must be as I commented, it is just very simple political analysis....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…