Jeshi la Polisi lapewa siku 90 kuhakikisha mitambo ya LUGUMI inafanya kazi vituo vyote

Jeshi la Polisi lapewa siku 90 kuhakikisha mitambo ya LUGUMI inafanya kazi vituo vyote

Siku 90 zikiisha na hakuna lilifanyika huyu naibu aliyejivika usipaka kamili atafanya nini?
 
Ni baada ya Kamati ya Bunge iliyopewa kazi ya kufuatilia Sakata la Lugumi kuthibitisha kuwa vifaa mashine hizo zimefungwa katika vituo vyote.

Agizo hilo limetolewa na Bunge kupitia kwa Naibu Spika, Dr. Tulia Ackson wakati akiahirisha Bunge la 11 leo mjini Dodoma
==========



Habari wakuu,

Leo akihitimisha bunge, naibu spika ametolea ufafanuzi utekelezaji wa mfumo wa kielektroniki wa utambuzi wa alama za vidole(AFIS), hoja iliyojengwa kutokana na mkaguzi wa hesabu za serikali(CAG) kwa kutokamilika kwa mradi huo.

Agizo la bunge lilimtaka afisa masuhuli wa jeshi la polisi kuhakikisha mfumo wa AFIS unafanya kazi ndani ya kipindi cha miezi sita. Ripoti ilieleza mfumo wa AFIS ulikuwa unafanya kazi katika vituo 14 pekee kati ya vituo 108 hivyo agizo la kamati halikuwa limetekelezwa kikamilifu.

Spika ametoa agizo kwa serikali kuhakikisha mfumo huo unafanya kazi ndani ya miezi mitatu ili kuboresha uwezo wa jeshi la polisi kuwa na utambuzi wa haraka wa wahusika wa matukio ya kihalifu katika vituo vyote nchini. Pili masuala yote yaliyobainika kuwa na dosari za kiutendaji yapatiwe ufumbuzi haraka.

Spika anatarajia sasa suala hilo litafikia mwisho na mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali atafunga hoja yake baada ya kujiridhisha na utekelezaji wa maagizo aliyoyatoa.

Kwel maisha sio fair,hapo angekua mtu mdogo kama mimi ningekua nishaingia jela kwa kushindwa kutekeleza ontime na kuitwa mhujumu.Hapa mtu anapewa kbsa muda wa kumalizia kaz badala ya kutoa na adhabu. Kweli mtoa haki ni Mungu tu
 
My country Tanzania , Aaaah! Nimechoka kabisa, yaani hakuna hata aliyeadhibiwa kwa utapeli huu, mbaya zaidi tumezidi kupoteza fedha za walipa kodi kwa kuunda kamati ndogo wakati maazimio yenyewe ndiyo kama haya ya kumpa tapeli muda zaidi badala ya kichukua hatua iwe fundisho
 
Kama kweli wanatafutwa wachochezi katika nchi hii, hawa watu wanaotoa maamuzi ya ajabu hivi ndio wachochezi.

Hawa wanaofanya kila hila ili kuficha na kupotezea wizi mkubwa kiasi hiki, hawa ndio wachochezi halisi.
 
Hivi kweli kampuni inalipwa zaidi ya asilimia 90, bila kutekeleza mkataba kikamilifu, inatokea sintofaham, zinafanyika figisu figisu hizo taarifa zinakandamizwa au kutokupewa kipaumbele, kisha chombo kibachoheshimika kinajitokeza bila aibu kuagiza hiyo kampuni itekeleze mkataba ndani ya miezi mitatu, haiingii akilini.

Naomba niishie hapa nikiongea sana mtanichangia millioni 7 au ntafungwa.
 
Ni baada ya Kamati ya Bunge iliyopewa kazi ya kufuatilia Sakata la Lugumi kuthibitisha kuwa vifaa mashine hizo zimefungwa katika vituo vyote.

Agizo hilo limetolewa na Bunge kupitia kwa Naibu Spika, Dr. Tulia Ackson wakati akiahirisha Bunge la 11 leo mjini Dodoma
==========



Habari wakuu,

Leo akihitimisha bunge, naibu spika ametolea ufafanuzi utekelezaji wa mfumo wa kielektroniki wa utambuzi wa alama za vidole(AFIS), hoja iliyojengwa kutokana na mkaguzi wa hesabu za serikali(CAG) kwa kutokamilika kwa mradi huo.

Agizo la bunge lilimtaka afisa masuhuli wa jeshi la polisi kuhakikisha mfumo wa AFIS unafanya kazi ndani ya kipindi cha miezi sita. Ripoti ilieleza mfumo wa AFIS ulikuwa unafanya kazi katika vituo 14 pekee kati ya vituo 108 hivyo agizo la kamati halikuwa limetekelezwa kikamilifu.

Spika ametoa agizo kwa serikali kuhakikisha mfumo huo unafanya kazi ndani ya miezi mitatu ili kuboresha uwezo wa jeshi la polisi kuwa na utambuzi wa haraka wa wahusika wa matukio ya kihalifu katika vituo vyote nchini. Pili masuala yote yaliyobainika kuwa na dosari za kiutendaji yapatiwe ufumbuzi haraka.

Spika anatarajia sasa suala hilo litafikia mwisho na mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali atafunga hoja yake baada ya kujiridhisha na utekelezaji wa maagizo aliyoyatoa.



faida ya upinzani akina Lema na chadema/ukawa asante kwa kuwakumbusha wezi na majangili wa nchi hii kuwa tunawaona kwa kila upuuzi wanao fanya, wasipotekeleza tutawaadhi tu
 
Kwa hili la Lugumi hapa kazi tu imekuwa a tale full of sound and fury signifying nothing!
 
Kumbe vifaha vilikuwepo? Au msure alivifuta Israel?
 
Kwa hili la Lugumi hapa kazi tu imekuwa a tale full of sound and fury signifying nothing!

lugumi-jpg.361642
Umenikumbusha mbali sana simplemind...kipindi cha literature tukimsoma Shakespeare's Macbeth;

To-morrow, and to-morrow, and to-morrow,
Creeps in this petty pace from day to day,
To the last syllable of recorded time;
And all our yesterdays have lighted fools
The way to dusty death. Out, out, brief candle!
Life's but a walking shadow, a poor player
That struts and frets his hour upon the stage
And then is heard no more. It is a tale
Told by an idiot, full of sound and fury
Signifying nothing.​
 
Upo s
Roho yangu ina maumivu makali sana kwa haya yanayotendeka, kama vile moto ulio fungwa ndani ya mifupa yangu. Nami nimechoka kwa maumivu.
Upo sahihi kabisa hata mimi naumia sana tena sana.Ila ninasema na MUNGU aliye juu kama upo na unasikia tena MUNGU uliye hai natamka maneno haya kwamba fimbo ya MUNGU itawachapa wote waliohusika na wanaondelea kuhusika kibeba maovu haya.
 
Viiongozi wa Ihichn hii wamelaaniwa
 
lugumi-jpg.361642
Umenikumbusha mbali sana simplemind...kipindi cha literature tukimsoma Shakespeare's Macbeth;

To-morrow, and to-morrow, and to-morrow,
Creeps in this petty pace from day to day,
To the last syllable of recorded time;
And all our yesterdays have lighted fools
The way to dusty death. Out, out, brief candle!
Life's but a walking shadow, a poor player
That struts and frets his hour upon the stage
And then is heard no more. It is a tale
Told by an idiot, full of sound and fury
Signifying nothing.​

Mkuu umenukumbusha mbali, niliwahi kuona film/movie yake inachukua karibu saa tatu kufikia tamati - ndefu sana, sasa hili la wenzetu kuogezewa tena miezi mitatu limeniacha njia panda kama akina Macbeth, MacDuff ,Antony na wale watabiri.
 
Back
Top Bottom